Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Hi wastani wa abiria wa4 kwa siku umeipata wapi, while ndege yenyewe inaenda mara 3 kwa wiki?
Hii inamanisha abiria 63 kwa wiki (250÷4 weeks of the month)
Pia inamaanisha abiria 21 kwa wiki 250÷(4x3)
Km bombadia inauwezo wa abiria 76 ikitokea mwanza au ikiwa inaenda mwanza then 28% inachangiwa na huo uwanja....which is not bad
 
Hi wastani wa abiria wa4 kwa siku umeipata wapi, while ndege yenyewe inaenda mara 3 kwa wiki?
Hii inamanisha abiria 63 kwa wiki (250÷4 weeks of the month)
Pia inamaanisha abiria 21 kwa wiki 250÷(4x3)
Km bombadia inauwezo wa abiria 76 ikitokea mwanza au ikiwa inaenda mwanza then 28% inachangiwa na huo uwanja....which is not bad

..wako wauza genge wanahudumia wateja wengi per month kuliko huo uwanja wa ndege.
 
Usikariri maisha! Ushawahi kuuliza wakati JNIA au Kilimanjaro airport inaanza walianzaje? Nyinyi akili zenu zinawaza leo utafikiri Tanzania haitakuwepo baada ya miaka 50!
Unajua nyie ndio mlimpotosha Mwendazake...
kuna kipaumbele kipi kinafaa sasa hivi na kipi kinafaa baadae...
Na hata kama unataka kujenga uwanja wa ndege kijijini kwenu... Ndio ujenge uwanja wa runway kilometer 3? Yaani km 3 ni level za uwanja wa Dar au KIA ambapo kuna movements za kutosha.. Abiria..
Kuna hospital ya kanda Chato ni afadhali mara elfu imejengwa.. itaokoa maisha ya wachache au jirani kuliko kuweka liuwanja ambalo halitarudisha hela ya investment
 
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.

My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.


Wewe si ulitwambia uwanja sasa watu wanaaka mhogo na mahindi?
 
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.

My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.


CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Bas

Kaka ndege sio basi! Unaposema uhakika maana yake unafikiria ndege unakata kiket hapo kwa papo! Usijifanye kuwa unahuruma na Kahama! Hata ungejengwa Kahama ungekuja hapa kurarama kwa nini wilaya iwe na uwanja wa ndege! Nyinyi hamna jema akili zenu zinaona leo tu!
Ndege unaofanya booking,Sasa unaweza kufanya booking ukapande ndege Chato ambayo ipo mara Moja Kwa wiki?Ni ngumu sana mtu kutoka Geita kwenda kupanda Chato,hata Mimi siwezi!Incase safari ikaahirishwa kutokana na sababu zozote,Huoni utapaa usumbufu mkubwa kuliko Mwanza ambapo ikitokea hivyo unaweza kucheki kama Kuna ndege nyingine siku hiyo au siku inayofuata!
Ninachosema ni kuwa viwanja vya ndege vijengwe penye uhitaji wa Sasa!Sehemu ambazo bado hazihitaji viwanja basi maeneo yatengwe Ili huko mbeleni ikihitajika basi eneo la ujenzi liwepo!
Hata hivyo ndivyo ilivyo,wilaya nyingi zimetenga maeneo Kwa ajili ya viwanja vya ndege,kama ilivyokuwa Chato kabla haujajengwa uwanja!
Kilichofanyika ni upendeleo sababu JPM ni mzawa wa huko!Kiuhitaji Ilikuwa bado!
Sasa tuseme wilaya zote nchini zijengwe viwanja vya ndege vya kimataifa,eti kwasababu tu miaka 50 au zaidi ijayo vitahitajika,Huo utakuwa Ujinga!
 
Hi wastani wa abiria wa4 kwa siku umeipata wapi, while ndege yenyewe inaenda mara 3 kwa wiki?
Hii inamanisha abiria 63 kwa wiki (250÷4 weeks of the month)
Pia inamaanisha abiria 21 kwa wiki 250÷(4x3)
Km bombadia inauwezo wa abiria 76 ikitokea mwanza au ikiwa inaenda mwanza then 28% inachangiwa na huo uwanja....which is not bad
Mkuu ndege ikitoka Mwanza na watu 76,wakatua Chato na akapanda mmoja basi uwanja unarecord umehudumia watu 76!
 
Kwa hesabu hiyo ina maana hiyo ndege ya ei ti sii inakwenda na 10 kwa route 1 so hope inawalipa. Ama ni kadege kadogo
250÷24route =10 person per route
 
Hoja yangu haiko hapo,hoja yangu ni kuwa Je,uwanja Huo ulihitajika Sasa?Halafu hao 250 ni Pamoja na wale wanaoenda Mwanza!Yaani ndege ikitoka dar na watu 60,wawili wakashuka Chato na wengine 58 wakaenda kushukia Mwanza,basi wanarecord uwanja umehudumia watu 60!
watu hawajashuka kwenye ndege or sio final destination yao una wahesabu vp?
na km hesabu zako ndizo then hu uwanja unahudumia watu wengi zaidi ya waliotajwa...
e.g 60x3times a week x 4weeks of the month = U do the math
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Kwani uwanja wa Songea mfano unahudumia watu wangapi kwa siku.
 
Huo ni mwezi gani wenye siku nne? Au CCM ndo mnavyohesabu mwezi una siku nne ili kuhalalisha huo uwanja?
[/QUOT
Safari nne kwa mwezi, kwa wiki safari moja. Nihalalishe nini? Naweka hesabu Sawa tu.
 
Kiuchumi safari nne Kwa wiki haijakaa vizuri!Halafu ikumbukwe hizo safari kunakuwa na abiri wa kwenda Mwanza au dar ila wanalazimika kutua Chato!Mfano ndege destination ni Mwanza imetoka Dar,basi itapitia Chato kushusha abiria wawili watatu ndio iende Mwanza!Au ikitoka Mwanza,itatua Chato kupakia abiria kadhaa ndie iende Dar!
Hakuna route ambayo destination au Mwanzo wa safari ni Chato!
Okay
 
Sina hakika kama zinatua hapo kushusha abiria au kuchukua abiria! Huenda zinatua hapo tu wakati zikiwa safarini kuelekea mikoa mingine just may be kwa heshima ya mwendazake!
 
Back
Top Bottom