Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
- Thread starter
- #241
Tukiongea kwa lafudhi zetu za kisukuma tabu....tukiiga za kimarekani tabu.......kazi ipo
Ukiongea kwa lafudhi ya kikwenu ni burudani, ila unaheshimika kwa sababu ndivyo ulivyo. Ila watu wanaolazimisha lafudhi za watu ndio dah! kuna zinaowakubali, wanatoka fresh.