GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #121
Hiyo inaitwa ALINUNUA BABU MPAKA MJUKUU AKALIENDESHAUtafiti wao unadai kwamba, G Wagon tokea waanze kuzizalisha, 80% bado zipo road. Huku kwetu zile za miaka 80-90 bado zinaonekana road.
Basi tushadanaganywa mengi😄Hakuna gari mpya niliyoendesha ina zero mile
Ya chini kabisa ilikuwa Audi Q8 ilikuwa na 3 miles tu
Waswahili ndio wameleta huo msemo wa zero km 😄
Gari lazima lijaribiwe kiwandani na matairi lazima yazunguke
hizi unyama sanaaa
Hiyo pesa namiliki kituo cha mafuta kabisa aisee!Jipya kabisa (zero kilometre) ni kwenye milioni 800 hadi 900.
Mitumba ni kwenye milioni mia tano, mia sita, n.k. kutegemeana na hali ya gari!
1978 ushatimba america yan wengine hata atujazaliwa hapo,kweli baharia azeekiMarahaba
Hakika kabisa, nilikimbia ujamaa nikiwa mdogo 😄
1978 nikakuta wenzetu wamebarikiwa na kila kitu kwq ajili ya wese
TV nikakuta wanazo zamani na ndinga za America yaani American Muscles kama GMC wanachungia mbuzi na ngamia
Nikajipiga ndinga mshahara wa Tatu tu GT
Na baadae nikanogewa ikawa kubadili tu
Mafuta ni kama bure huko yaani jamaa wamefaidika na mafuta yao kwa kutaka wawekewe kila kitu Kama wazungu
Sisi madini yetu tunauza kama kokoto tu maana watoto bado wanakaa chini bila madawati
Wao wakwao niliwakuta wanacheza Atari games kama Ps sasa
Wanaotunga ushuru wa namna wenyewe wanakua na misamaha ya kodi ndio maana hawajaliroho mbaya tu za watu hasa wenye kutunga hayo masheria ya kodi. tungekuwa na viwanda ndani hapo sawa tungesema wanatengeza mazingira tununue vya ndani. mtu una mtoza ushuru sawa na bei aliyonunulia dah
Ishu ni kwamba huko unakolipia Gwagon unalipia kwa dollar sio Shilingi. Imagine unalipa dola robo hadi nusu milioni kwa ajili ya gari. Ndio maana ushuru unapanda kutokana na aina ya gari. Magari ya kifahari yenye bei yana ushuru mkubwa. Hapa hatuna kiwanda kinacho export kwenda Marekani au Ulaya kwenye Euro na Dollar. Ukiangalia bishara zote zinazohitaji dollar wameshikilia watanzania wenye asili ya Asia. Wanaomiliki Tenda za kuagiza mbolea na mafuta uwekezaji wao hapa nchini haulingani na faida wanayoipata na Tenda hizo. Watu wana viwanda huku wamepanga Upanga hela inawekezwa nje. Inabidi tukomae na biashara zinazoweza kuzalisha dollar kama Utalii. Lakini cha kushangaza Serengeti na uwanja wa KIA tumewapa waarabu. Tunalalamika hatuna dola wakati kinachotuzalishia dollar tumeshakigawa ?Dollar, nchi ilitakiwa iuze vitu nje, sio kuongeza ushuru. Ongezeko lao la ushuru na uhaba wa dollar havihusiani.. maana huo ushuru bado unalipwa kwa local sarafu..
Wala sina ubishi na hilo mkuu, magari yote na technology ya mjerumani ipo juu sanaUtafiti wao unadai kwamba, G Wagon tokea waanze kuzizalisha, 80% bado zipo road. Huku kwetu zile za miaka 80-90 bado zinaonekana road.
😆 😂1978 ushatimba america yan wengine hata atujazaliwa hapo,kweli baharia azeeki
Safi sana mkuu 😂Wala sina ubishi na hilo mkuu, magari yote na technology ya mjerumani ipo juu sana
Wako makini sana kwa wanachokifanya kulinda heshima yao
Hata muingereza kwa Land Rover alikuwa hivyo ila kamuuzia Mhindi sasa
Mjerumani anasema hauzi
😆 😂
Sio USA mkuu ni kuna mataifa yana amani na hela huko mashariki ya kati
Tuzeeke wapi yaani kama Mishipa ya damu inapitisha damu vizuri hata 100 unagonga 😄 🤣
Kimoja tu? Au vituo 2 vya mafuta?Hiyo pesa namiliki kituo cha mafuta kabisa aisee!
Ni Ngorongoro tu mkuu! Serengeti tunaimiliki wenyewe na kuendesha wenyewe ila sina uhakika kama na mapato yake tunayafaidi wenyewe!Ishu ni kwamba huko unakolipia Gwagon unalipia kwa dollar sio Shilingi. Imagine unalipa dola robo hadi nusu milioni kwa ajili ya gari. Ndio maana ushuru unapanda kutokana na aina ya gari. Magari ya kifahari yenye bei yana ushuru mkubwa. Hapa hatuna kiwanda kinacho export kwenda Marekani au Ulaya kwenye Euro na Dollar. Ukiangalia bishara zote zinazohitaji dollar wameshikilia watanzania wenye asili ya Asia. Wanaomiliki Tenda za kuagiza mbolea na mafuta uwekezaji wao hapa nchini haulingani na faida wanayoipata na Tenda hizo. Watu wana viwanda huku wamepanga Upanga hela inawekezwa nje. Inabidi tukomae na biashara zinazoweza kuzalisha dollar kama Utalii. Lakini cha kushangaza Serengeti na uwanja wa KIA tumewapa waarabu. Tunalalamika hatuna dola wakati kinachotuzalishia dollar tumeshakigawa ?
🤣🤣🤣Mimi naliona Lina shape ya probox
Ni sawa na nyumba mpya, fundi alishaingia na kutoka sana tu na pengine alishalala na kujisaidia humo ila akikukabidhi unaita marafiki kuwa nina nyumba mpya kabisa.Hakuna gari mpya niliyoendesha ina zero mile
Ya chini kabisa ilikuwa Audi Q8 ilikuwa na 3 miles tu
Waswahili ndio wameleta huo msemo wa zero km 😄
Gari lazima lijaribiwe kiwandani na matairi lazima yazunguke
Lakini utamisi kinachopatikana kwa G Wagon!Kweli ni Bora ninunue Range Autobiography 3 kuliko ninunue Wagon 1.
HaswaaaaNi sawa na nyumba mpya, fundi alishaingia na kutoka sana tu na pengine alishalala na kujisaidia humo ila akikukabidhi unaita marafiki kuwa nina nyumba mpya kabisa.
bora ninue Golf R .. mzigo utaobaki wanikome wananchiKweli ni Bora ninunue Range Autobiography 3 kuliko ninunue Wagon 1.
Kama ni hili basi sina hamu nalo. Yaani mafuta huishia njiani kabla hujafika uendako? Sisi wa Mpalange halitufai Hilo.