Marie Antoinette
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 426
- 412
Kundi la wazungu 288, waliokuwa wakioigana vita na M23 upande wa DRC, leo wametolewa kwenye kambi ya MONUSCO huko Goma, kuelekea mpakani mwa Rwanda na DRC. Wakisindikizwa na jeshi la M23, kundi hilo limekabidhiwa serikali ya Rwanda, ambayo itawasafirisha mpaka uwanja wa ndege Kigali, na wanatalajia kuondoka nchini humo leo jioni.
Afrika kusini pia, imeiomba M23 kutowadhulu wanajeshi wake, kwa ahadi ya wao kukusanyika sehemu moja na kutoendelea na vita, wakifanya utaratibu wa kuwarudhisha nchini kwao. Uwepo wao toka mwanzo, ulioingwa na chama cha upinzani, kilichosema hawana vifaa vya kutosha kukabiliana na kundi la M23, na kwamba walichoenda kukifanya ni kulinda mali za raisi tu.
Kwa sasa mipaka ya DRC mashariki mwa Kivu kasikazini inalindwa na M23. Raia waliokuwa wamekimbilia Rwanda, wameanza kurudi majumbani kwao huko Goma.
View: https://x.com/rbarwanda/status/1884556998353486105?s=46
Afrika kusini pia, imeiomba M23 kutowadhulu wanajeshi wake, kwa ahadi ya wao kukusanyika sehemu moja na kutoendelea na vita, wakifanya utaratibu wa kuwarudhisha nchini kwao. Uwepo wao toka mwanzo, ulioingwa na chama cha upinzani, kilichosema hawana vifaa vya kutosha kukabiliana na kundi la M23, na kwamba walichoenda kukifanya ni kulinda mali za raisi tu.
Kwa sasa mipaka ya DRC mashariki mwa Kivu kasikazini inalindwa na M23. Raia waliokuwa wamekimbilia Rwanda, wameanza kurudi majumbani kwao huko Goma.
View: https://x.com/rbarwanda/status/1884556998353486105?s=46