imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kama Jeshi la Kongo linapigana bega kwa bega na FLDR kwanini Rwanda ikae tu inaangalia?!KWA hiyo Trump hajui hilo hadi kuwataka Rwanda watoe vikosi?..umoja wa mataifa unawasingizia, tshisekedi nae anawasingizia?