Mercenaries kutoka Romania waomba njia Rwanda kurudi kwao

Mercenaries kutoka Romania waomba njia Rwanda kurudi kwao

wacongoman watayafikiria hayo ya Nyerere.
Sio swala la kufikiria ni swala la kuukaa mezani na kumalizana na Watutsi wa Kongo kama ikishindikana wataamua kujitenga na DRC na kuanzisha Jamhuri ya Kivu.
 
Ripoti za UN zimethibitisha hilo.....

Rwanda ina askari wake 4000+ wanaoshirikiana na M23 kupigana na jeshi la Drc.
Huenda kuna Ukweli kuhusu suala hili.
Taarifa nilizopata masaa mawili hivi yaliyopita zinaobyesha kwamba Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Serikali ya DR Congo waliokufa kwenye mapigano/Vita hiyo idadi yake ni zaidi ya elfu moja (1,000), hawa wamekufa ndani ya Siku zisizozidi Tano(5). Ni hatari kubwa sana huko Goma.
Aidha, taarifa hiyo pia inaonyesha kwamba Vikosi vyote kabisa vya Wanajeshi Walinda amani kutoka kwa nchi za SADC pia vimetekwa na Waasi wa M23, ikiwamo na Wanajeshi kutoka Tanzania, hata silaha zao zote kabisa pia zimetekwa na Waasi wa M23.

Waasi hao wa M23 wamedai kwamba hawatawaua hao Wanajeshi kutoka nchi za SADC na Wala hawataweza kuwafunga vifungo kama Wafungwa wa Vita isipokuwa leo hii tarehe 30 Januari 2025 watafukuza Wanajeshi hao wote kabisa na kuwarudisha kwenye nchi zao walikotokea hao Walinda amani.
 
Yaani Tshekedi aliingize jeshi la Rwanda kwenye jeshi la nchi yake?....
Upende usipende, huu mzozo wa siku nyingi. Kagame aliwahi mwambia Kabila(aliekuwa raisi enzi hizo), kwamba kama hawa watu unawafukuza, waje Rwanda, kwa kuwa wanaongea kinyarwanda, ntawapokea. Ila sasa, hakikisha wanakuja na mali zao na ardhi yao. Hawa watu, kabla ya 1886, wakati wakoloni wanakata mipaka, Kivu zote zilikuwa ardhi ya Rwanda. Mpaka sasa majina mengi yasiyopungua 80%,ya vijiji na maeneo tofauti tofauti huko, ni ya Kinyarwanda. Uganda, ilikuwa hivo hivo. Kama si matango tunayolishwa, Karagwe inasemekana ilikuwa Rwanda(nivitabu tunasoma tu uhakika wanajua wazungu). Uganda kuna kabila linaitwa Banyarwanda. Ndo hao hao waliojikuta Uganda baada ya mipaka kukatwa. Wakzaliwa na kuzaliana na kuoana na waliobaki Rwanda, mpaka leo. Hao watu, waende wapi!? Ni wa nchi gani hapo!?
 
KWA hiyo Trump hajui hilo hadi kuwataka Rwanda watoe vikosi?..umoja wa mataifa unawasingizia, tshisekedi nae anawasingizia?
We nae wale wale. Nikupe mfano wa karibu: nini kiliondoa SADC Mozambique!? Mradi wa Total wa wafaransa unalindwa na nani huko(kama hujui ni jeshi la Rwanda). Msaada wa milioni karibia 50 za Euro waliopewa Rwanda kuhusu Mozambique, unadhaniulikuwa wa nini? Haya, leo hii Mfaransa ajitenge na mnyarwanda!? Madini ya Congo si ndo yanayengeneza hizo Iphone unazotumia!? Kwa hiyo, Trump yupo tayari kuzuia biashara hiyo!? Ukisikia siasa ni mchezo mchafu, elewa. Kukemea wanakemea wanayoyajua wao. Kwani unadhani Traoré anavyojitenga haelewi kinachoendelea!? Ogopa maraisi wanaojibu kwa nyodo, wanaoishi maisha ya kifahari, wana business zaona hao wanaojiita wanajua kukemea.

Hivi uliwahi kujiuliza, kuliko yule mbwa mmoja wa wale makomando afe, bora wafe raia 100. Uliwahi jiuliza kwa nini!?
 
Wanyarwanda wanamatatizo mkuu Hammaz kamwambia imhotep kua ni Mnyarwanda lakini hataki kukubali. Watanzania walio wengi wanajua M23 ni warwanda pure.
Hao viumbe kutokana na tabia zao wanasababisha jamii nyengine kuanza kujiuliza maswali kuhusu mwenendo wao na wakiambiwa ukweli kuhusu tabia zao mbovu utasikia wanasema ubaguzi.
 
Usiwaamini sana UN, unakumbuka wakati wa Mauaji ya Kimbari ya Rwanda UN walikuwa wanasema Interahamwe zilizokimbila kongo zinakimbia mauaji yanayofanywa na RPF.

UN ni biashara kubwa sana na hii migogoro inachochwlewa ili isiishe.
Kwani uongo?

Unapambana sana kumtetea mtutsi mwenzako PK na mambo yake ya hovyo!

Nyinyi watutsi matatizo sana!
 
Unapambana sana kumtetea mtutsi mwenzako PK na mambo yake ya hovyo!
Mbona wewe ulikuwa unapambana sana kumtetea Gaidi lako la Kiarabu Yahya Sinwar?
Ninyi Waarabu mnamatatizo sana.
 
Mbona wewe ulikuwa unapambana sana kumtetea Gaidi la Kiarabu Yahya Sinwar?
Kwa wababu Palestina wanaonewa!

Na jana uliandika maneno yako kuhusu mimi, nikujibu tu Sheikh wangu!

Hata kama mimi nikiwa mwarabu au nina damu ya kiarabu ila bado haiondoi ukweli kuhusu wewe na nitaendelea kushikilia msimamo huo huo!

Kwa hii nchi yetu ya Tanzania wewe ni mhaini. Full stop!
 
Watutsi pia wanaonewa!

Mwarabu hawezi kunishika uhaini.
Watutsi wameshajithibitishia wenyewe ni blood suckers!

Ni virus!

Ni lazima wadhibitiwe!

Nani kakuambia kutetea upalestina ni kutetea udini! South Africa mbona wanaitetea Palestina?
 
Sio swala la kufikiria ni swala la kuukaa mezani na kumalizana na Watutsi wa Kongo kama ikishindikana wataamua kujitenga na DRC na kuanzisha Jamhuri ya Kivu.
Na Mimi naiona hiyo Nchi ,miaka michache ijayo ! Je,ila dhana ya Bahima Empire itakuwa imetimia?
 
Shida ni kwamba unaenda kupambana na jeshi linalosadikika ni maadui, baada ya muda unagundua ni personal interest.
 
We nae wale wale. Nikupe mfano wa karibu: nini kiliondoa SADC Mozambique!? Mradi wa Total wa wafaransa unalindwa na nani huko(kama hujui ni jeshi la Rwanda). Msaada wa milioni karibia 50 za Euro waliopewa Rwanda kuhusu Mozambique, unadhaniulikuwa wa nini? Haya, leo hii Mfaransa ajitenge na mnyarwanda!? Madini ya Congo si ndo yanayengeneza hizo Iphone unazotumia!? Kwa hiyo, Trump yupo tayari kuzuia biashara hiyo!? Ukisikia siasa ni mchezo mchafu, elewa. Kukemea wanakemea wanayoyajua wao. Kwani unadhani Traoré anavyojitenga haelewi kinachoendelea!? Ogopa maraisi wanaojibu kwa nyodo, wanaoishi maisha ya kifahari, wana business zaona hao wanaojiita wanajua kukemea.

Hivi uliwahi kujiuliza, kuliko yule mbwa mmoja wa wale makomando afe, bora wafe raia 100. Uliwahi jiuliza kwa nini!?
Unaandika togwa gani hili wewe!?
 
Hakuna mtu kaiumiza Tanzania kama Mwl Nyerere,huyu kwa asili ni mtutsi.
Kwahiyo unataka kusema Tanzania tunahitaji raisi mwenye asili ya Kihutu ndio tutapata maendeleo?!
 
Watutsi wameshajithibitishia wenyewe ni blood suckers!

Ni virus!

Ni lazima wadhibitiwe!
Si huwa mnasema hivyo hivyo kuhusu Waisraeli kwahiyo sasa imehamia kwa Watutsi?!
 
Back
Top Bottom