Ni kaka ake Mbappe, anaishi huko Kibiti nchi Malawi, sema now yupo Yombo Dovya bhn yeye na watoto wake wote waliopo Mpwapwa Ngarenorooo Arusha the Geneva of Africa. Hope umemjua vyemaaaaaaaNdiye nani huyo?
Commune ya Stavanger Norway ilishangaa sana. Ilijitolea kuwanunulia jengo Waislamu. Sheikh wa hapo eti akataa. Sheikh ni asili ya Ghana lakini ana uraia wa Norway.
Eti alikataa hawakubali michango ba pesa za mashoga na walevi. Hadi Waislamu wengine walimmaindi.
Kinachohuzunisha huto Sheikh anapokea hela za serikali social watoto wake wote na wajukuu wanasoma norway bure. Nyumba anayoishi ni social wanamjengea.
Nyie jamaa mna pepo ya peke yenu aiseehSalah ni mwislamu na wanaomshambulia ni baadhi ya waislam so vizuri kuwajumuisha waislam wore Kwa ujinga wa wachache
π€£ sawa
Mkuu Salah ni kafiri sio muislam yuleKwanza polen Sana kwa kuteseka na Uislamu, hakika Uislamu ni Vita kuu ya tatu ya dunia.
Je msingi wa kupinga kushiriki siku hii ni upi?
Ni itikadi kuwa Leo amezaliwa Mungu,tatizo liko hapo Lau ingekuwa Leo kazaliwa Nabii Yesu kusingekuwa na shida,kwasababu Yesu kwetu ni Mtume wa Allah na tunampenda Sana kwasababu itikadi ya kiislamu ni kumuamini Mungu Mmoja,kuamini Malaika wake,kuamini Vitabu vyake na kuamini Mitume wake akiwepo Yesu.
Nadhani mpaka hapo mmepata picha nazungumzia nini hapa.
Sasa baadhi ya waislamu huenda wanasahau juu ya Imani Yao na mafundisho Yao au huenda wanafanya ili kuwafurahisha watu fulani,lakini hatakiwi kuogopwa kiumbe chochote au kufurahishwa kiumbe chochote linapo kuja swala la Imani isipokuwa Mola WA Viumbe wote.
Kwahiyo naomba tuelewe hili,na tuvumiliane , mtuache na itikadi yetu na nyinyi sheherekeeni kuzaliwa kwa Yesu mwokozi wenu.
Kukua ni kukubaliana kutokukubaliana,Maisha ni rahisi Sana kama ukiwa open minded
Msiteseke hata kidogo.
Nawapenda Sana.
ππ‘ππ π’π¬ ππ‘π«π’π¬ππ¦ππ¬?Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742
Mkwendree hao wenye dini yao hawana tatizo nyie mliyoletewa mnashupaza mnajifanya kushupaza shingo.ππ‘ππ π’π¬ ππ‘π«π’π¬ππ¦ππ¬?
It is the day in which they celebrate the birth of the βsonβ of Allah Ψ³Ψ¨ΨΨ§ΩΩ ΩΨͺΨΉΨ§ΩΩ, authu billa!
Saying merry Christmas is a statement of kuffur!
β’ it goes against the shahada
β’ it goes against tawheed
β’ it goes against the Quran
β’ it goes against all the prophets of Allah Ψ³Ψ¨ΨΨ§ΩΩ ΩΨͺΨΉΨ§ΩΩ
πππ§ ππ₯-πππ²π²π’π¦ Ψ±ΨΩ Ω Ψ§ΩΩΩ π¬ππ’π:
"Congratulating the kuffaar on the rituals that belong only to them is haraam by consensus, as is congratulating them on their festivals and fasts by saying βA happy festival to youβ or βMay you enjoy your festival,β and so on. If the one who says this has been saved from kufr, it is still forbidden. It is like congratulating someone for prostrating to the cross, or even worse than that.
It is as great a sin as congratulating someone for drinking wine, or murdering someone, or having illicit sexual relations, and so on. Many of those who have no respect for their religion fall into this error; they do not realize the offensiveness of their actions. Whoever congratulates a person for his disobedience or bidβah or kufr exposes himself to the wrath and anger of Allaah."
[ ππ‘π€ππ¦ ππ‘π₯ππ₯ ππ’π¦π¦ππ‘ ]
Do not leave Islam to please others!
Muislamu yoyote anae sherekea hiyo siku jua tu ajitambui na ni jahilliya asie jua misingi ya Dini yake.Ndugu zangu hivi hawa jamaa huwa zipo vizuri kweli vichwani mwao?
Baada ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Misri na Liverpool ya wingereza Mohammed Salha kuposti picha katika mtandao wa instagram.
Akisherekea sikuku ya Christmas yeye pamoja na familia yake, ajabu hawa ndugu zetu wamemshambulia kana kwamba amefanya kosa kubwa kwa mujibu wa dini yao.
Ndugu zetu nyie waislamu nyie jamaa mna roho mbaya, hivi nyie ni pepo ya wapi mtaiona? [emoji15][emoji15][emoji15]
View attachment 2457743
View attachment 2457739
View attachment 2457740
View attachment 2457742