2018 Modric won it because of World cup's POTT
Unaweza kuprove hiki ulicho kiandika kwa kutumia valid resources
"
Au hisia zako?
2010 Bingwa Spain Ballon Dior winner Messi
2014 Bingwa Germany Ballon DIor winner Ronaldo
2018 Bingwa France Ballon Dior winnwe Modric
Mpaka 2006 World Star ndio automatic aliyekua anakua mshindi ila hii criteria ilikufa automatic baada ya hapo na ndio mana hakuna mshindi mwengine aliyeshinda hiyo tunzo baada ya Cannavaro
We mpira umeanza kufuatilia lini ?Toka lini Kombe la dunia likawa lina uzito kwenye Ballondor? Hili ndio swali langu.......
Mechi saba ndio mtu apewe Mchezaji bora wa mwaka? Kuweni serious basi.....
If Ingekuwa hivyo Iniesta Angechukua 2010.
Simba alivyomtoa Nkana......We mpira umeanza kufuatilia lini ?
Ndio maana umeuliza swali la kipuuziSimba alivyomtoa Nkana......
Kweli aseeEbu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon dior.
Ni issue tu ya mapenzi tu kwa huyu jamaa ndio maana tena atabeba lakini kuna watu lukuki wamefanya vyema zaidi yake kwa kipindi hichi.
View attachment 2792549
Kwahiyo kilitokea nini kwa Iniesta?Ndio maana umeuliza swali la kipuuzi
Mwaka 98 zidane anachukua kisa world cup
2002 de lima anakaa msimu mzima nje inafika wc anakiwasha sio mchezo anabeba hiyo tuzo
Mwaka 2006 azzuri wanabeba wc captain wao Fabio canavarro anatwaa hiyo tuzo kwa ajili ya mechi saba tu
Kwa hiyo maswali ya kipuuzi hatuyataki
We unaona nani anastahili na kwa kigezo gani ?
Kwani nani alikuwa mchezaji bora wa mashindano 2010 ?Kwahiyo kilitokea nini kwa Iniesta?
Ndugu Mkongwe
2006 - CannavaroBado huja prove ulicho kiandika niliomba reference ya hiki cha chini hujanipa ilipo andikwa?
Hayo na yajua mimi nataka reference ya hiko ulicho kiandika, hapo umeniwekea list ambayo nikigoogle naipata.2006 - Cannavaro
2002 - Ronaldo
1998 - ZIdane
1994 - ROmario
1990 - Lothar Matthaus
1986 - Maradona (baada ya kura za mara ya pili)
1982 - Rossi
1978 - Kampes (Baada ya kura za mara ya pili)
Mpaka 2006 World Star ndio automatic aliyekua anakua mshindi ila hii criteria ilikufa automatic baada ya hapo na ndio mana hakuna mshindi mwengine aliyeshinda hiyo tunzo baada ya Cannavaro
Kwani nani alikuwa mchezaji bora wa mashindano 2010 ?
Hayo na yajua mimi nataka reference ya hiko ulicho kiandika, hapo umeniwekea list ambayo nikigoogle naipata.
"
Nakuuliza wewe nani anastahili hiyo tuzoForlan, na hakuingia hata kwneye top 3 ya Ballon Dior. Kwa kifupi last winner wa mchezaji bora wa mashindano ya World Cup Ukitoa Modric ambae sambamba na uchezaji bora wa World cup pia alishinda champion league, alikua ni Romario.
Sasa iweje leo from no were Messi awe favorite sababu alishinda tunzo ya uchezaji bora world cup huku akiwa na average club season? Mbona hao wengine wa nyuma hawakupewa?
Nakuuliza wewe nani anastahili hiyo tuzo
Maana unamuatack messi na wewe mtaje anayefaa tupime vigezo baada ya hapo tuanze kujibiana maswali
Hebu taja avarage season ya messi ilikuwaje magoli mangapi assist ngapi na makombe mangapiForlan, na hakuingia hata kwneye top 3 ya Ballon Dior. Kwa kifupi last winner wa mchezaji bora wa mashindano ya World Cup Ukitoa Modric ambae sambamba na uchezaji bora wa World cup pia alishinda champion league, alikua ni Romario.
Sasa iweje leo from no were Messi awe favorite sababu alishinda tunzo ya uchezaji bora world cup huku akiwa na average club season? Mbona hao wengine wa nyuma hawakupewa?
Kwanini sio de bruyne ?Hakuna anestahiki zaidi ya Haland.
Mafanikio aliyoyapata Haland msimu uliopita yangelimtosheleza Messi au Ronaldo kushinda tunzo na wala isingelijaalisha nani kabeba world cup au nani kubeba tunzo ya uchezaji bora wa world cup. Kwanini Haland akoseshwe tunzo?
Kwani De Lima kwa nini alikuwa anachukua hiyo tuzo (list umeweka mwenyewe) na hajawahi kushinda medali ya UEFA mpaka anastafu.refrence yanini ndugu unayotaka? Top performer wa winning team always alikuwa ndio favorite wa tunzo, hiyo imebadilika kwa zaidi ya miaka 15 sasa. Messi na Ronaldo walishinda tunzo kwa kupitia mazingira kama hayo kwanini Haland anyimwe?
Kwanini sio de bruyne ?