As if pesa ndio kila kitu. Wenye pesa then walipaswa kuwa the happiest men. Mtafute Bezos akupe hints. Life is more than money. When you have life money is valuable. Else it is catastropheMh. Mayor hajavunja sheria yoyote hapa ,nani sisi katupa haki ya kuhukumu?mtu akiamua kuwa gay, lesbian au straight ni haki yake, vijana wa dot.com tafuteni fedha katika Maisha yenu!...pale Mother City wenye Pesa nyingi ni lesbian &gays wanapitwa na Jewish!nyie endeleeni kupiga domo
Against our social valuesHivi kwasababu gani serikali ipinge ushoga?
Hao mapadri na nuns, wako wangapi dunia nzima??,,, je hao wanaweka shinikizo kwa watu wengine ili wawe kama wao??okay...na vipi mapadri na masista...mbona mnaruhusu waendelee kupunguza human existence?
Umeuliza swali la kitindiga mwamba!nimeuliza swali tu...jibu lake unalijua?
... dah; umeshaambiwa ni mapenzi ya jinsia moja halafu unatafuta base ya serikali kukataa! Tamaduni, mila, na desturi zetu haziruhusu huo uchafu!Swali la jamaa ni zuri sana, Likijibiwa vizuri litatoa ukakasi kwa wengi; Mfano Serikali inazuia matumizi ya Bangi kwa sababu fulani, Inazuia matumizi ya Madawa ya Kulevya kwa sababu fulani, inaruhusu Matumizi ya vileo vilivyoidhinishwa kwasababu fulani? Base ya Serikali kupinga ipo wapi? Mimi siungi mkono ila nahitaji kujua base ya Serikali kukubali/ kukataa Mapenzi ya jinsia Moja
Kaka mimi nimejaribu kuwaza kwa mapana, Kwani Pombe, Sigara, Mila, Dini na Desturi zetu zinaruhusu? ni suala la kujibu kama unafahamu, kama hufahamu pia sio tatizo.Tamaduni, mila, na desturi zetu haziruhusu huo uchafu!
okay lets say serikali imekusikia na haipromote.....lakini vikaendelea, serikali inapaswa kuingilia?Mimi nasema serikali isipromote ushoga, the more promo zinavyozidi the more watu wanaona kawaida and the more watu wengine wanaingia.
Jiulize mwaka 2000 shoga alikuwa anaonekanaje mbele ya jamii na sasa anaonekanaje?
Now ni watangazaji wanapeea airtime ya kutosha hivyo vijana wanaona kawaida tu
kwahyo huna jibu la swali la kitindiga?? mwamba mbona unaniaibishaUmeuliza swali la kitindiga mwamba!
Serikali ijiweke tu mbali, na viongozi wasijihusishe na haya mambo. La msingi wasiruhusu hawa watu kupewa promo kwenye media. Ila hili ni tatizo kubwa kuliko watu wanavyofikiri.okay lets say serikali imekusikia na haipromote.....lakini vikaendelea, serikali inapaswa kuingilia?
kwani mashoga huwa wanawashinikiza/ kuwalazimisha watu wengine wawe kama wao?Hao mapadri na nuns, wako wangapi dunia nzima??,,, je hao wanaweka shinikizo kwa watu wengine ili wawe kama wao??
Wao mapadri na nuns ni minority group kwa Tanzania ( kwa namba) na wanaongozwa na kanuni za their ethical institutions tena wanafanya hvo for their special purpose and calling,,,
Vipi kuhusi hao mashoga?? Je by ethics ni sahihi??
yep, lakini social values zinahusikaje na serikali?Against our social values
Do they affect our society negatively??yep, lakini social values zinahusikaje na serikali?
Tunajua kwenda kanisan/msikitini au kuoa/kuolewa ni social values zetu hapa Tz
Je kwa watu wanaokiuka hivyo vitu, serikali iingilie kati?
kwahyo kwa maana nyingine...serikali isijihusishe kusapoti/kupinga vitendo vya ushoga?Serikali ijiweke tu mbali, na viongozi wasijihusishe na haya mambo. La msingi wasiruhusu hawa watu kupewa promo kwenye media. Ila hili ni tatizo kubwa kuliko watu wanavyofikiri.
Kuna watu wengi wanajihusisha na hii michezo kuliko tunavyofikiri na hawajiweki wazi kabisa. Wengine wanapandwa na kupanda.
ukimpata muumini mzuri wa hivo vitu lazima akuoneshe how kutovifuata kutaaffect society negatively......Do they affect our society negatively??
Fungua NGO mkuuSwali la jamaa ni zuri sana, Likijibiwa vizuri litatoa ukakasi kwa wengi; Mfano Serikali inazuia matumizi ya Bangi kwa sababu fulani, Inazuia matumizi ya Madawa ya Kulevya kwa sababu fulani, inaruhusu Matumizi ya vileo vilivyoidhinishwa kwasababu fulani? Base ya Serikali kupinga ipo wapi? Mimi siungi mkono ila nahitaji kujua base ya Serikali kukubali/ kukataa Mapenzi ya jinsia Moja
Shinikizo la kutaka everyone aone what wanafanya ni right, regardless of society waliopo,,, a good example ni USAkwani mashoga huwa wanawashinikiza/ kuwalazimisha watu wengine wawe kama wao?
Vipi kuhusu ethics? serikali inasimamia ethics au sheria? Maana tukifata ethics hata mwanamke kutokereketwa huko mara ni kuvunja miiko na ethics..je serikali iingilie kati kulazimisha wakereketwe?
Isiruhusu wafanyiwe promosheni, kuafunga haiwezi kuwa good move.kwahyo kwa maana nyingine...serikali isijihusishe kusapoti/kupinga vitendo vya ushoga?
Yeah mashoga ni wengi Tz...unahisi chanzo ni nini?
Sasa mbona unajichanganya Mkuu, Kwa sasa ushoga ni kinyume cha sheria, halafu unasema tena Fungua NGO, kwamba NGO inafanya kazi nje ya sheria?? Mimi nimeuliza ulitakiwa ujibu kama hufahamu basi hakuna tatizo.Fungua NGO mkuu
Mteteane vizuri
ILA Kwa sasa ushoga ni kinyume na sheria
Ooooooh dear telling my kids it's right kutobolewa nyuma ni fine?? Ilianza kidogo ushoga,, right now in US wanafundishwa kuwa a Man can get pregnant,,, ushoga hauji solo,, unakuja na vtu vngne vngukimpata muumini mzuri wa hivo vitu lazima akuoneshe how kutovifuata kutaaffect society negatively......
Ushoga unaafect vipi society negatively?