Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Sasa mbona unajichanganya Mkuu, Kwa sasa ushoga ni kinyume cha sheria, halafu unasema tena Fungua NGO, kwamba NGO inafanya kazi nje ya sheria?? Mimi nimeuliza ulitakiwa ujibu kama hufahamu basi hakuna tatizo.
NGO si huwa zinawatetea mashoga?

Join the forces
 
Ooooooh dear telling my kids it's right kutobolewa nyuma ni fine?? Ilianza kidogo ushoga,, right now in US wanafundishwa kuwa a Man can get pregnant,,, ushoga hauji solo,, unakuja na vtu vngne vng
okay...orodhesha vitu vyake vyote na madhara yake kwa jamii
 
hapo mimi mkuu nakupinga,,,siamini kama mwanaume kamili straight anaweza kutoa jicho dogo ili apate macho matatu.....mashoga wengi ukiwafuatilia walianza utotoni sio ukubwani baada ya kuijua Dubai na Nguvu ya dollar...hata kama wa hivyo wapo basi kwenye kumi ni mmoja
Hii ishu inaanzia utotoni
 
Mimi nilijua kushinikiza ulimaaniisha ile kulazimisha watu wasio mashoga wawe mashoga...Kama ni hivyo basi na wahubiri wote wafungiwe maana kuhubiri ni kushinikiza watu waone imani yako ni sahihi..
Sasa ishu sidhani kama ni ushinikizaji bali ni nini kinachoshinikizwa.

Na mada iliyopo inaongelea meya wa serikali na ushoga. kwahiyo kwenye mfano wako wa handicapped kwenye daladala umeitoa serikali isihusike hapo lakini kwenye ushoga unataka serikali ijihusishe,,,,

Again mimi sijasema ushoga ni right au wrong....nilichouliza ni unahusiana nini na serikali?
 
Watu wana tamaa sana, unajua mkuu tamaa ndo uwa inatuponza. Na ndo maana ili mtu akushawishi ufanye kitu flani uwa kwanza anakuonyesha what you will earn from that.
Mfano nataka uue, nakuketea briefcase ya pesa nasema ndo malipo ukikamilisha.
Utakataa ila pichs ya fedha itabaki kichwani mwako ukienda unaanza piga hesabu ile pesa ungeifanyia hiki na kile.
Watu wanapenda mseleleko.
Kama humu kuna thread vjana wanatafta mganga wa kuwapa utajiri wa kuishi miaka kadhaa halafu wafe, watashindwaje kuwepo vijana ambao wako tayari kugawa ndogo
 
[emoji124][emoji124]
 
Hivi mwanaume mzima na tena rijali,unajisikiaje kuingiliwa na mwanaume mwenzio?? Unapapaswa makalio nk unajisikiaje??? Wakati huo dude lako limesinyaa or???
Yaani mnakera sanaaa,na siku hizi mnaona kama fashion yaani. Ninyi ndo mnaosababisha majanga nchini!! Mrudieni basi Mungu,ili kuepuka hii laana na dhambi .

Jehanam ipo! Ole wako wewe unaeingiliwa,nawewe unaewaingilia. Maandiko yanasema,mwisho wenu ni katika ziwa la Moto. BADILIKENII
 

Leta hilo brifcase mzee ule mzigo
 
kilifanyika wapi ? ushaidi wa pic unao? ulimuona ? wewe kwenye kikao ulikuwa unatafuta nini? usije kuwa unamchafua mtu kwa mambo yenu binafsi
Kwanza watueleze n kosa la jinai? Kwa sheria kanuni na taratibu zipi?
 
Waambie hao waelewe lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujinga n kwako wee, sio kwa watu wote. Khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngumu kumeza hii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umma hautaki kukubali, ushoga ni ruksaaaaaah Bongo, weuweeeeeeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…