gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Unamaanisha nini? Kwamba ukiwa mnene huwezi fanya martial arts au ukifanya martial arts huwezi kunenepa?Mimi nimefanya na naendelea kufanya marshal arts jiu jitsu ya Kibrazili, hakuna mtu anayefanya marshal arts akawa kibonge na mentally unstable namna hiyo kama tundu lisu, ondoeni porojo zenu hapa, ...
Kuna 'mwanangu' alikuwa akinifundisha hizo mambo miaka ya 2000 mwanzoni, kwa sasa ni komando wa jeshi. Huyu jamaa ni bonge kabla hajawa soldier na sasa bado ni bonge.
Nilikutana naye kipindi flani hapa nyuma, nikamtania kwa mwili huu we ni 'komando hewa', kuna tukio alilifanya pale mbele ya watu kila mtu akabaki mdomo wazi. Jamaa ni bonge ila ni mwepesi kuliko 'vimbaumbau'.