Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Mlio karibu nae mwambieni ajiunge na JF pia kutoa huduma!
 
miaka ya hivi karibuni huko USA imeibuka taarifa kwamba wanasayansi wa taasisi ya DARPA ambayo ipo chini ya idara ya ulinzi wa jeshi la marekani, wakishirikiana na wenzao wa taasisi ya HAARP, wanafanya kitu kinachoitwa "weather modification".

yaani wana uwezo wa kusababisha mvua ya kimbunga mwanza halafu mbeya ikanyesha mvua ya rasharasha au isinyeshe kabisa.
 
alianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION'' CfaN'''
Kwa sasa hiyo huduma ipo na mtumishi DANIEL KOLENDA na yeye ni fire asee maana walitembea wote wakati bonke anapiga injili
 

Attachments

  • daniel_kolenda1.jpg
    22.5 KB · Views: 3
  • bonnke.jpg
    72.5 KB · Views: 3
namkumbuka viwanja vya furahisha mwanza miaka ya tisini.
PA system yake sio ya kitoto. Naona kama kawaachia watoto wake kwa sasa maana juzijuzi walikuwa mwanza.

Ni kweli huyu jamaa alifufua mtu huko nigeria?
Ni kweli jamaa alifufuka Baada ya kuwa amekufakwa ajali.
 
namkumbuka viwanja vya furahisha mwanza miaka ya tisini.
PA system yake sio ya kitoto. Naona kama kawaachia watoto wake kwa sasa maana juzijuzi walikuwa mwanza.

Ni kweli huyu jamaa alifufua mtu huko nigeria?
Nilikuepo kuhudumu kwenye mkutano huo tulipewa T-shirt zimeandikwa Jesus Alive ministry kipindi nimemaliza form four tulipata temple jobs za maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…