Japo anadharau jamaa yupo vizuri ata ukicheki vitini vyake anajua ila apunguze tu dharau
Hivi Kihombo alimaliza bachelor 2017? Mbona alipostponed masomo akiwa fourth year? (not sure)Ila kiukweli MA TO wa Tz hawafiki mbali kuliko vichwa vyao..... Mi mshkaji wangu aliyemaliza na TO Elias PETROLEUM yupo kitaa, wkt alikuwa nae To 2013
Mleta mada anatupa story aliyosimuliwa[emoji4] [emoji4]Point of correction; he didnt graduate class of PE 2017. Fatilia vizuri.
Ngoja nitamuuliza rafiki angu amesoma darasa moja nae... Yy aligraduateHivi Kihombo alimaliza bachelor 2017? Mbona alipostponed masomo akiwa fourth year? (not sure)
Jamaa hakumaliza labda amemaliza mwaka huu, engineermate mwenzangu even though professional tofaut ila tulianza nae 2013 but 2017 alisitisha masomo, so automatically hakumaliza bachelor yake, Kihombo talented man without vision......Ngoja nitamuuliza rafiki angu amesoma darasa moja nae... Yy aligraduate
Basi ana matatizo sana huyu jamaaJamaa hakumaliza labda amemaliza mwaka huu, engineermate mwenzangu even though professional tofaut ila tulianza nae 2013 but 2017 alisitisha masomo, so automatically hakumaliza bachelor yake, Kihombo talented man without vision......
Mambo yanabadilika mbeleniHawa Ma TO sijui wanaishiaga wapi
Acha wivu ondoa hilo fundo kifuani!Yani mtu aliyepata bachelor degree baada ya miaka 11 ndo unamsifia hivi!!?
Nlivoanza kusoma uzi nlifikiri ntakutana na mtaalamu aliyevumbua kitu fulani kumbe ni mwalimu wa tuition.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]T.O namba moja wa kumpinga Mungu mambo?[emoji53][emoji53]
Mkuu nlkua namwmba sana mungu nisifel hesabu [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijasema hesabu ya kiwango cha juu.
Nimesema hesabu.
Sasa kwa nini unatumia qualifier ambayo mimi sijaiweka?
Halafu hesabu ya kiwango cha juu inaanzia wapi? Na kwa nini ianzie hapo na si pengine? Ya kiwango cha juu kwa nani?
Mathematics ni somo rahisi kwa kigezo gani? Toa sababu tujadili.
Unaweza kusema mathematics ni somo rahisi kwa sababu unaweza kuhesabu moja mpaka mia vile vile.
The more abstract something is, the harder it is to pin it down. Mathematics is the most abstract of the sciences. Therefore, it is the hardest.
Hivi yule jamaa anayeongoza kwa kusolve millenium problems anaitwa nan nmemsahauMtu anasema hesabu rahisi halafu hata Millennium Problems hazijui.
Grigori Perelman. Jamaa alipewa zawadi ya dola milioni akaikataa. Anasema hana muda wa kuendekeza shobo za umaarufu.Hivi yule jamaa anayeongoza kwa kusolve millenium problems anaitwa nan nmemsahau
Hawez kumzd sir God kwa kusolve huyu mkuuGrigori Perelman. Jamaa alioewa zawadi ya dola milioni akaikataa. Anasema hana muda wa kuendekeza shobo za umaarufu.
Grigori Perelman - Wikipedia
Sir God kashindwa ku solve dawa ya UKIMWI tu hana nyimbo.Hawez kumzd sir God kwa kusolve huyu mkuu
Ni haki yako ya kikatiba. Sasa unaniambia mimi ili iweje?Mkuu nlkua namwmba sana mungu nisifel hesabu [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]