Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Japo anadharau jamaa yupo vizuri ata ukicheki vitini vyake anajua ila apunguze tu dharau

Dah haya maisha Mungu tu anajua. Yaani jamaa na degree yake ya Petroleum anauza vitini wakati kuna washkaji nawafahamu wana vidiploma vya DIT wanapiga pesa ndefu kwenye makampuni ya PUMA Oryx nk. Full mikoko ya kutembelea mishahara ya hatari. Mungu ambariki aendelee kutengeneza vitini ndo wito wake alioitiwa na mwenyezi Mungu
 
Ila kiukweli MA TO wa Tz hawafiki mbali kuliko vichwa vyao..... Mi mshkaji wangu aliyemaliza na TO Elias PETROLEUM yupo kitaa, wkt alikuwa nae To 2013
Hivi Kihombo alimaliza bachelor 2017? Mbona alipostponed masomo akiwa fourth year? (not sure)
 
Kwa namna ulivyomuelezea bila shaka yeyote huyu bwana si mzima!...trust me. Anakaelementi ka uwendawazimu!

Si kwa sababu ya ufaulu wake, hapana bali kwa maana ya matendo na maamuzi yake!
Haiwezekani mtu wa ufaulu na uwezo huo akawa anafikiri si mbali zaidi ya pua yake!

Leo huyu bwana kama angekuwa "mzima kichwani" wala asingekuja hapa kujipigia pande namna hii!

Huyu ni mgonjwa!
 
Jamaa hakumaliza labda amemaliza mwaka huu, engineermate mwenzangu even though professional tofaut ila tulianza nae 2013 but 2017 alisitisha masomo, so automatically hakumaliza bachelor yake, Kihombo talented man without vision......
Basi ana matatizo sana huyu jamaa
 
Mkuu nlkua namwmba sana mungu nisifel hesabu [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi yule jamaa anayeongoza kwa kusolve millenium problems anaitwa nan nmemsahau
Grigori Perelman. Jamaa alipewa zawadi ya dola milioni akaikataa. Anasema hana muda wa kuendekeza shobo za umaarufu.

Grigori Perelman - Wikipedia

Hii hapa documentary yake (Kirusi, subtitles Kiingereza)

 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…