Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Ni story tu,hiyo dhahabu wakiitoa wapi?wakitumia mitambo gani kuchimba.,na ilikwenda wapi,maana dhahabu haiozi

Mzee unajua dhahabu imeanza kuchimbwa lini duniani.yaan mtu kitu hujui halafu bado kifua mbele kubishana,hebu ingia kwanza google utafute historia ya dhahabu halafu urudi tena hapa.
 
Hivi ile hadithi ya mashimo ya mfalme suleiman ina husiana nahuyu kwenye hii mada
 
Zamani hata watoto na wake walihesabika kuwa "mali" au utajiri,kwa hiyo kama alikuwa na Migoma halali 300,uongeze na michepuko 700,+watoto rundo!! Kweli alikuwa tajiri,ila ki siku hizi angeonekana Lofa tu.
Kwa kweli alipendelewa. wanawake buku inamaana kama kila mmoja alimpitia mara 1 kwa mwaka basi kila siku alipitia watatu. Mweeee
 
kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,

Hapo sas mkuu ni Dini na historia... Nivtu ambavyo maranyng havioani...
 
Msukuma mmoja alinambia Sulemain alikunywa pia maji ya wasukuma(ziwa victoria)
 
1449686375098-jpg.310110
 
Back
Top Bottom