Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
Wapi? maana pale kinondoni Sekenke st kwa mama kitunguu ni kama uchochoroni, hakuna kiwanja kabisa, labda DJ atoe eneoMfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
CCM walishajenga jengo gani.
Majengo ya NHC ya serikali waliyodhulumu ongeza na jengo la Lumumba na Jengo la Vijana la Taifa.
[emoji116]mzigo huo.ndani kuna mabenchi na vistuli vya kutosha.Kwani jengo la sasa hivi la chadema lipoje mpaka wanahitaji jipya?
Mbona hawakujenga kipindi cha kikwete wakati wana ruzuku na marupurupu kede kede zikiwemo safari za nje, posho za vikao kwenye mashirika ya uma na safari za ikulu?Hilo jengo likijengwa sasa itakuwa POA sana. Lakini lingejengwa kipindi Cha mwendazake lingevamiwa na kuchomwa moto.
Chadema jengeni kipindi hiki ambapo Tanzania kuna kiongozi Bora.
Kipindi kile Cha marehemu roho mbaya lingebomolewa na kikundi Cha wasiojulikana.
Soon nitajiunga rasmi chadema
Makao makuu DodomaCCM walishajenga jengo gani.
Pabovu hata NGOs zinapangisha maeneo mazuri kuliko kwenye hii picha.[emoji116]mzigo huo.ndani kuna mabenchi na vistuli vya kutosha.View attachment 2225257
Maccm nyie ni mataahira kabisaUzuri ni kwamba hata hao viongozi wao wanajua kama wafuasi wao ni mazamwamwa hawahoji..wao wanachojua ni kukandia tu serikali,sasa hivi washawaandalia vimada wao zile nafasi kule bungeni na ndio maana wanalazimisha.
Wivu tuMajengo ya NHC ya serikali waliyodhulumu ongeza na jengo la Lumumba na Jengo la Vijana la Taifa.
Ila mwenyekiti kupatikana kwa kushindana na kivuli ndio demokrasia😀Baada ya kusemwa sana
Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5
Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Shangaa na wewe,majitu yamepora viwanja vya umma na kujimilikisha kimabavu. Shenzi kabisa.CCM walishajenga jengo gani.
Litajengwa wapi na kwa fedha gani?Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
waziri wa Ardhi na IGP watatoa kibali?🤣Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
Mtasubiri sana😀Baada ya kusemwa sana
Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5
Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Kwenye kiwanja cha MboweMjengo mzuri. Nimeukubali. Mjengo umejengwa eneo gani.
Mkuu na wewe uwe unatupia haraka haraka kama unaona wenzako wamekuzidi keteChadema mna haraka gani? Ujenzi haujaanza mmeshaanza kutuma picha, Mbona CCM huwa hawafanyi hivi?
Ni mfano tuMjengo mzuri. Nimeukubali. Mjengo umejengwa eneo gani.
Hata mimi nimewaza hivyo hivyo🤣Hilo jengo likijengwa sasa itakuwa POA sana. Lakini lingejengwa kipindi Cha mwendazake lingevamiwa na kuchomwa moto.
Chadema jengeni kipindi hiki ambapo Tanzania kuna kiongozi Bora.
Kipindi kile Cha marehemu roho mbaya lingebomolewa na kikundi Cha wasiojulikana.
Soon nitajiunga rasmi chadema