Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣 🤣 🤣Sio pipe tu na konyagi juu anamnywesha..ili apate vibe zile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Sio pipe tu na konyagi juu anamnywesha..ili apate vibe zile.
Mkuu ni kweli, tudhiti matapeli na waporaji wa ardhi kwa kufuata utaratibu wa sheria.Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court
KweliSema Ruge naye kaibua watu wengi sana waliokuwa hawana mwelekeo wowote... mtu kama B12 na Mchomvu walikuwa vijana tu mtaani wenye elimu ya kuunga ila akawainua.
Matapeli wanatakiwa washughulikiwe kama tunavyowashughulikia majambazi.Mkuu ni kweli, tudhiti matapeli na waporaji wa ardhi kwa kufuata utaratibu wa sheria.
KAWAIDA WAIMBA NYIMBO ZA KUKUSIFIA, NDIO WANUFAIKA WAKUBWA.Huyu si alikuwa akimsifu mama kila siku kipindi fulani hapa nyuma?
Kumbe ilikuwa janja yake ya kutapeli watu.
Mahakamani atapelekwa tu. Kwani mchakato wa jinai unaanzia wapi? Ni Polisi, TAKUKURU au Taasisi ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya. Kuwa na subiraApelekwe mahakamani
Mama isaka au ?Nilishasemaga humu huyu jamaa
Ni mzushi sana...
Kwa wanaomjuwa huyu jamaa
Wala hawahangaiki,dili zake issue zake nyingi ni longolongo
Ukifanya naye jambo kulipa napo
Mtihani!
Pale alipopangaga mgahawa wa food point opposite na bestbite
Napo alitaka kumletea usanii mwenye eneo pale,mama yangu mama naniii---kwenye mkataba
Msama sjui alimchukulia poa yule mama,yule mama alipomuhusisha mme wake mtu ambaye tena yuko kwenye mfumo,alimtoa baru msama pale kama mwizi
Huyu msama anajifanya pekee yake anaijuwa hela
Alafu sasa kwa kujifanya mchamungu [emoji1]
Ova
Wale vijana wanashule kwa kipindi kile wote uliowataja wamemaliza six ya miaka ileSema Ruge naye kaibua watu wengi sana waliokuwa hawana mwelekeo wowote... mtu kama B12 na Mchomvu walikuwa vijana tu mtaani wenye elimu ya kuunga ila akawainua.
[emoji16][emoji16]Nenda kamfungulie mashtaka waziri kwa kumdhalilisha basha wako.
Hawa ndio wenye ccm , kama huwajui maana yake hauko ccmNdio kwanza namuona huyu mtu anaishi wapi!
Nina mashaka sana na hii drama.Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli viwanja vinne vya Beatrice Mshumbuzi, vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 800.
Msama amekabidhiwa kwa polisi leo na Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa.
View attachment 2968425
We ndo mpumbavu hujui nilichomaanishaWewe ni mpumbavu na mshamba mno. Unadhani wauza madawa, magaidi na majambazi wakubwa huwa hawajitoi kwa jamii? Hiyo hela aliyokusaidia wewe ni machozi ya watu wengi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watuu, khaaahSio pipe tu na konyagi juu anamnywesha..ili apate vibe zile.
msama ndy alimpa stress rose mhando,mpaka akamuingizaTapeli namba 3 Dar es Salaam wa viwanja, huyo Msama amemtapeli sana Rose Mhando na kumuibia sana kwenye nyimbo za Injili, so nitapeli kila kona..!! Anajifanya mlokole kuficha uovu wake, ila tapeli nyang’au sana huyo jamaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Linajifanya macho kumchuzi kumbe jizi.
Rose Muhando popote alipo anacheekaHuyu jamaa inaonekana ni tapeli mzoefu sana
🙆🙆😅😅🙆🙆🙆Sio pipe tu na konyagi juu anamnywesha..ili apate vibe zile.