Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

Mkuu ni kweli, tudhiti matapeli na waporaji wa ardhi kwa kufuata utaratibu wa sheria.
 
Mama isaka au ?
 
Sema Ruge naye kaibua watu wengi sana waliokuwa hawana mwelekeo wowote... mtu kama B12 na Mchomvu walikuwa vijana tu mtaani wenye elimu ya kuunga ila akawainua.
Wale vijana wanashule kwa kipindi kile wote uliowataja wamemaliza six ya miaka ile
 
Nina mashaka sana na hii drama.

People are taking risks to save some other necks in N.eC
 
Tapeli namba 3 Dar es Salaam wa viwanja, huyo Msama amemtapeli sana Rose Mhando na kumuibia sana kwenye nyimbo za Injili, so nitapeli kila kona..!!

Anajifanya mlokole kuficha uovu wake, ila tapeli nyang’au sana huyo jamaa, mara nyingi watu wenye mimacho iko upande ni kuwa nao makini sana, ni tapeli naturally..!!
 
Tapeli namba 3 Dar es Salaam wa viwanja, huyo Msama amemtapeli sana Rose Mhando na kumuibia sana kwenye nyimbo za Injili, so nitapeli kila kona..!! Anajifanya mlokole kuficha uovu wake, ila tapeli nyang’au sana huyo jamaa
msama ndy alimpa stress rose mhando,mpaka akamuingiza
Kwenye matatizo
Kumdhulumu hela

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…