Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

Waziri lazima doc atakuwa nazo kutokana na sura ya sakata hilo lilivyoanza.
Mkuu jitahidi kusoma comments ili uzielewe,sijaongelea documents,nimeongelea police docket!,waziri hana kwa sababu hajaenda kituo cha police kufungua hii docket ili apate case number itakayowawezesha police kuchunguza tuhuma hizi,hizi ni draconian rules zinazowapa watawala kuwaweka watu kizuizini
 
Mkuu jitahidi kusoma comments ili uzielewe,sijaongelea documents,nimeongelea police docket!,waziri hana kwa sababu hajaenda kituo cha police kufungua hii docket ili apate case number itakayowawezesha police kuchunguza tuhuma hizi,hizi ni draconian rules zinazowapa watawala kuwaweka watu kizuizini
Haya mkuu ulitaka waziri afanyaje

Ova
 
Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court

Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court
Probing aliofanyiwa kabla ya kukabidhiwa kwa police hujaisikia au kwa sababu mnafanyaga wote utapeli unatafuta sababu tu zisizo na mashiko. Nyie ndo mnatetea wezi kwa kutaka ziundwe tume za ajabu ajabu. Mtu kaiba ushahidi upo dhahiri tume ya nini?
 
Probing aliofanyiwa kabla ya kukabidhiwa kwa police hujaisikia au kwa sababu mnafanyaga wote utapeli unatafuta sababu tu zisizo na mashiko. Nyie ndo mnatetea wezi kwa kutaka ziundwe tume za ajabu ajabu. Mtu kaiba ushahidi upo dhahiri tume ya nini?
Huu ni upumbavu mwingine,Nkanini sijasema kuundwe tume,Nkanini hapendi kabisa tume wakati police wapo,ninachouliza je kuna police docket (case number)na police walishafanya uchunguzi wa tuhuma hizi?Nkanini anapenda nchi iongozwe kwa mujibu wa kisheria na sio mihemko ya kisiasa,suspect anakutana na waziri na baada ya mahojiano waziri anahukumu kuwa suspect apelekwe kituoni,hii ni craze na upumbavu wa police yule anatii maamuzi ambayo sio ya kiutendaji wao,ndio maana Urais wangu police wote above 40 yrs nitawastaafisha ,nita recruit new young guys below 35 yrs na kuwapeleka nje kwenye mafunzo,traffic officer's Botswana,police wa kawaida UK&Canada,immigrations &customs New Zealand,special units Iran &Israel,foresinc guys USA,within 5yrs nchi itasimama wima
 
Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court
Watu huwa wanatapeliwa hadharani lakini.
 
Mkuu jitahidi kusoma comments ili uzielewe,sijaongelea documents,nimeongelea police docket!,waziri hana kwa sababu hajaenda kituo cha police kufungua hii docket ili apate case number itakayowawezesha police kuchunguza tuhuma hizi,hizi ni draconian rules zinazowapa watawala kuwaweka watu kizuizini
Tatizo ni unaweza kuta huko polisi kuna RB kibao za kumkamata anakamatwa anatoka. Ukishaona makesi yamemfikia hadi waziri ujue huku chini yeshashindikana.
 
Tatizo ni unaweza kuta huko polisi kuna RB kibao za kumkamata anakamatwa anatoka. Ukishaona makesi yamemfikia hadi waziri ujue huku chini yeshashindikana.
Nakubaliana nawe mkuu ndio maana nchi inahitaji TAASISI IMARA ZENYE KUJITEGEMEA na sio super power person,police ingekua inafanya kazi kwa ufanisi ,judiciary nayo ipo above board haya yasingejitokeza kabisa,sasa kila mtu anakimbilia kwa politicians hii sio Sawa mkuu,sio sheria makonda ndiye awe mahakama ya kuleta haki kwa wadhulumiwa
 
Makonda alimuassist sana jamaa kutubana watu tunaokodisha movies.

Hadi Siro akatumika kwenye hilo sakata. Kama alinyimwa vibali na Makonda labda kwa mambo mengine lakini hao wanajuana
Nyie nao mlikuwa wezi ka wezi wengine
 
Nakubaliana nawe mkuu ndio maana nchi inahitaji TAASISI IMARA ZENYE KUJITEGEMEA na sio super power person,police ingekua inafanya kazi kwa ufanisi ,judiciary nayo ipo above board haya yasingejitokeza kabisa,sasa kila mtu anakimbilia kwa politicians hii sio Sawa mkuu,sio sheria makonda ndiye awe mahakama ya kuleta haki kwa wadhulumiwa
Tapeli anakuwa ameshachora ramani yote utakayopita anajiandaa. Umetapeliwa kiwanja cha M20, wakati wewe unatafuta haki mwenzio anahifadhi M10 ya kuchelewesha mambo kukudhibiti.
 
Huu ni upumbavu mwingine,Nkanini sijasema kuundwe tume,Nkanini hapendi kabisa tume wakati police wapo,ninachouliza je kuna police docket (case number)na police walishafanya uchunguzi wa tuhuma hizi?Nkanini anapenda nchi iongozwe kwa mujibu wa kisheria na sio mihemko ya kisiasa,suspect anakutana na waziri na baada ya mahojiano waziri anahukumu kuwa suspect apelekwe kituoni,hii ni craze na upumbavu wa police yule anatii maamuzi ambayo sio ya kiutendaji wao,ndio maana Urais wangu police wote above 40 yrs nitawastaafisha ,nita recruit new young guys below 35 yrs na kuwapeleka nje kwenye mafunzo,traffic officer's Botswana,police wa kawaida UK&Canada,immigrations &customs New Zealand,special units Iran &Israel,foresinc guys USA,within 5yrs nchi itasimama wima
Una akili za kingese ndo maana huwezi kuwa kiongozi wa nchi hii. Endelea kuota
 
Huu ni upumbavu mwingine,Nkanini sijasema kuundwe tume,Nkanini hapendi kabisa tume wakati police wapo,ninachouliza je kuna police docket (case number)na police walishafanya uchunguzi wa tuhuma hizi?Nkanini anapenda nchi iongozwe kwa mujibu wa kisheria na sio mihemko ya kisiasa,suspect anakutana na waziri na baada ya mahojiano waziri anahukumu kuwa suspect apelekwe kituoni,hii ni craze na upumbavu wa police yule anatii maamuzi ambayo sio ya kiutendaji wao,ndio maana Urais wangu police wote above 40 yrs nitawastaafisha ,nita recruit new young guys below 35 yrs na kuwapeleka nje kwenye mafunzo,traffic officer's Botswana,police wa kawaida UK&Canada,immigrations &customs New Zealand,special units Iran &Israel,foresinc guys USA,within 5yrs nchi itasimama wima
Hivi wwe na DPP nani anajua sheria zaidi, makosa yote ya kijinai yanapelekwa mahakamani na office ya Taifa ya mashitaka, na taratibu zote za.kisheria wanazijua usijali, wwe tafuta nukta ya kumtetea Tapeli wako mahakamani!!
 
Hivi wwe na DPP nani anajua sheria zaidi, makosa yote ya kijinai yanapelekwa mahakamani na office ya Taifa ya mashitaka, na taratibu zote za.kisheria wanazijua usijali, wwe tafuta nukta ya kumtetea Tapeli wako mahakamani!!
Wewe ni pumbavu mkubwa,soma comment kwanza ili uielewe,DPP atapeleka mashitaka gani mahakamani bila ya police kuchunguza na yeye DPP ku apply mind ili kuona ana winnable case?,tatizo la nchi hii imejaa wapumbavu wengi kama wewe ambaye umeshaona ni sawa kuishi ndani ya draconian rules
 
Wewe ni pumbavu mkubwa,soma comment kwanza ili uielewe,DPP atapeleka mashitaka gani mahakamani bila ya police kuchunguza na yeye DPP ku apply mind ili kuona ana winnable case?,tatizo la nchi hii imejaa wapumbavu wengi kama wewe ambaye umeshaona ni sawa kuishi ndani ya draconian rules
Hamia Burundi.
 
Back
Top Bottom