Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sio wa Pemba ni wa Tanga. Ila ni kweli kuwa waliochangia wengi ni WachaggaIsmaeli Masoud kutoka Pemba sio mchagga.
😂😂😂 Mtanikumbuka!"Mtanikumbuka tu"
Mlidhani jamaa anatania.
Tz hamna bungeKuliko wabunge 100 wa CCM waliopo bungeni.Wafanyakazi wa serikali wao ni wasomi,wanaikalia sheria mwezi au mwaka halafu wanafikiria mfanyabiashara yeye anaelewa kama wao na ndio maana baadaye inakuwa vurugu kwa kuwa mpitisha sheria,anayehakikisha sheria inatekelezwa na mfanyabiashara ambaye wala haelewi chochote na hajaelemishwa kuhusu hiyo sheria.TRA rushwa tu
Yani kila sehemu mnataka kujamba tu, yes tunamkumbuka kwa mauwaji na roho Mbaya."Mtanikumbuka tu"
Mlidhani jamaa anatania.
Tu assume una akili na wewe ni mfanya biashara na mimi sina akili na ndio mlaji wa mwisho.Usivyo kua na akili we hujui wewe kama mlaji wa mwisho ndio unahasara
Mnatalajia nini bungeni la kina Babu Tale? Hili ndio bunge alilolitaka mungu wa Chato ili ageuze Tanzania Mali yake binafsi.Tz hamna bunge
Nashangaa watu wasio na exposure inakuaje wanatunga sheria za Nchi?
Huu mjadala nimeona wafanya Biashara wapo na akili Sana kuyazidi makundi yote hapa TANZANIA wapo a head of time
Hakuna hoja. Wafanyabishara walipe kodi.Mkuu umefikiria padogo sana..tatizo sio kodi. Tatizo ni utaratibu na mrundikano wa kodi.
Mwiguli hoja yako wewe ni ipi ?Hakuna hoja kabisa...
Hivi nyie mnaishi Tanzania ya wapi?Nadhani wameona soft point ya kubonyeza wasilipe kodi. Pia Watasema mama Namba 1 awasaidie wasilipe kodi
Sana Mkuu, kuna haja zipelekwe Bungeni kwaajili ya maboresho.Kabisa...sheria zinamapungufu Sana....