DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Jamaa anatema nyongoKighoma malima anakaangwa maskini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anatema nyongoKighoma malima anakaangwa maskini
Na wewe utakua umesomea kukusanya kodi ila sio kuendesha biashara au kulea biashara ikue. TRA na Wizara ya fedha ndio walezi wa kwanz akwa biashara kwahiyo wanabidi wafanye mambo kwa weledi nasio mihemko.Hakuna hoja. Wafanyabishara walipe kodi.
AiseeMnatalajia nini bungeni la kina Babu Tale? Hili ndio bunge alilolitaka mungu wa Chato ili ageuze Tanzania Mali yake binafsi.
Okay Okay 👍Huyo sio wa Pemba ni wa Tanga. Ila ni kweli kuwa waliochangia wengi ni Wachagga
Unamkosoa mwenzio wakati wewe mwenyewe hujui kuandika. kuxoma, vixuri ndio nini sasaHuyu darasa la ngapi ajui ata kuxoma vixuri
Hatari sana. Huyu wa sasa ameliamsha, kavaa t-shirt ya njanoHahahaha.
Mkutano ni bam bam
Ameshaambiwa mara mbili muda umeisha lkn kakomaa tuJamaa anatema nyongo
Ametisha sana.Hatari sana. Huyu wa sasa ameliamsha, kavaa t-shirt ya njano
Katiba ni matatizo yenu wanasiasa wala siyo ya wananchi.......Mgomo wa Wafanyabiashara KARIAKOO kudumu Kwa siku tatu Si jambo lililozoeleka nchini.
KATIBA mpya inaandikwa Kwa Wino wa Dhahabu.
Bring back our Rasimu ya Warioba 💪
Sana. Katoka Tanga. Aisee Tanga kama TangaAmetisha sana.
mimi mtoto wa mkulima, unalingine la kusema? unaambiwa watu wana mali kwenye magodauni hawataki kulipa kodi! fuatilia issue au hoja iliyopoHivi nyie mnaishi Tanzania ya wapi?
Au ndio watoto wa vigogo hamjui misoto kwasababu dingi ni ofsa?
HuooooTANESCO wamekata umeme hawajataka watu tusikie maovu ya Mwigu.
Hii nitai download ntaaza nayo kwanzo mpaka mwisho
Bado Anawachinja chaa chaaa. Hahahahaha. Kashauri bungeni zile nafasi 10 wapewe na wafanyabiashara wanasiasa wametosha.Sana. Katoka Tanga. Aisee Tanga kama Tanga
Kero zote zilizotolewa na wafanyabiashara KARIAKOO ni za kimfumo, ni za kikatiba.Katiba ni matatizo yenu wanasiasa wala siyo ya wananchi.......
Wananchi Shida zao huwa wanazisema kama hivi.
Hawajawahi hata fungua hiyo katekisimu sijui katiba.