Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

TRA inabidi iandae short course ya VAT kwa wafanyabiashara, wengi awaielewi.

Inaonekana wengi awadai wanayolipia wakishanunua bidhaa. VAT sio kodi ya mfanyabiashara.
Swala la kodi ni la kitaifa. Inabidi lifundishwe mashuleni ili kuwajengea Watanzania uelewa wa umuhimu wa kulipa kodi na masuala yote ya kikodi yanavyotakiwa kufanyika.
 
Back
Top Bottom