Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati hiyo Coca-Cola ni TSH 500 huko Kenya ilikuwa ngapiKENYA COCACOLA YA MIL 350 ni KSH 48.
Hiyo ni sawa na TSH 746.
Achana na hii uongo.
Mkuu sio kila mfanyabiashara ana malalamiko. Usipende kufanya ama kuingia kwenye ujinga ama matatizo ya akili yanayoitwa generalization syndrome.Na wewe utakua umesomea kukusanya kodi ila sio kuendesha biashara au kulea biashara ikue. TRA na Wizara ya fedha ndio walezi wa kwanz akwa biashara kwahiyo wanabidi wafanye mambo kwa weledi nasio mihemko.
Get back to school?Kero zote zilizotolewa na wafanyabiashara KARIAKOO ni za kimfumo, ni za kikatiba.
Get back to school.
Bring back our Rasimu ya Warioba 💪
Leo CHADEMA hawajatajwa! Mungu mwemaNi jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Naunga mkono hoja, badala ya kujaza michepuko ya watu bungeni hizi nafasi ziende kwenye makundi maalum.''Tunaomba Mh Waziri Mkuu, nafasi kumi za bunge, chukueni wafanyabiashara. Chagueni makundi ya production kwenye uchumi'' - kutoka kwa Ismail Masudi kutoka Tanga
Jamaa kachafukwa hasa yani katema nyongo.Huyu jamaa wa Tanga ni kiboko.....Kwamba TRA inabadilisha tu sentesi kwamba gari imeshikiliwa kwasababu imebadilisha maumbile...🤣
Tulia kama Tulia ackson. Tulishasema bahari imechafuka hamuelewi.Kwa hiyo sasa, baada ya kupewa vidonge vyao nini kinafuatia?!
Mtoto wa mkulima ushazoea life la bush kukimbizana na nyani kwenye mashamba, changamoto za town hapa utazijuaje?mimi mtoto wa mkulima, unalingine la kusema? unaambiwa watu wana mali kwenye magodauni hawataki kulipa kodi! fuatilia issue au hoja iliyopo
Unafanya biashara mzeeHao wafanyabiashara ni wanaa, si wa kuwachekea wala kuwabembeleza hawana hoja za msingi, kodi walipe. Kwanza hawana jeuri ya kufunga maduka yao muda mrefu watakufa njaa, wakome kuitishia serikali
😂😂😂 CCM tumekabwa koo Mnazi mmoja!Leo CHADEMA hawajatajwa! Mungu mwema
SawaMtoto wa mkulima ushazoea life la bush kukimbizana na nyani kwenye mashamba, changamoto za town hapa utazijuaje?
TRA ni wezi ambao adhabu yao sio kuachishwa kazi tu bali na kifungo juu plus kutaifishwa na mali zao
Yuko vizuri ofcoz.Ameamza Biashara mwaka 1992