Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Watu walitaka kumpopoa alipoanza kumsifu Madelu. Ikabidi abadili gear angani.Aliyevaa suti ya dark blue bila shaka ni member wa JF, Ametema cheche kwa utulivu sana. Japo amesifu sifu kimtindo.
AiseeAliyevaa suti ya dark blue bila shaka ni member wa JF, Ametema cheche kwa utulivu sana. Japo amesifu sifu kimtindo.
Mwigulu Leo anaondoka Leo asipoangalia....Team Majaliwa wamemmaliza..Mwiguli hoja yako wewe ni ipi ?
Tuliambiwa awamu hii wafanyabishara wanafanya kazi kwa uhuru, hakuna vurugu za kodiHuyo mama haondolewi kwa poroja za wapumbavu. Yaan mpuuzi mmoja huko apangwe la kusema then waziri aondolewe?
Uchochezi..jeuri ya Tra inasababishwa na Mwigulu.
..jeuri ya Mwigulu inasababishwa na Samia.
..jeuri ya Samia inasababishwa na Katiba mbovu tuliyonayo.
Swala la kodi ni la kitaifa. Inabidi lifundishwe mashuleni ili kuwajengea Watanzania uelewa wa umuhimu wa kulipa kodi na masuala yote ya kikodi yanavyotakiwa kufanyika.TRA inabidi iandae short course ya VAT kwa wafanyabiashara, wengi awaielewi.
Inaonekana wengi awadai wanayolipia wakishanunua bidhaa. VAT sio kodi ya mfanyabiashara.
600Wakati hiyo Coca-Cola ni TSH 500 huko Kenya ilikuwa ngapi
Yes zilipungunzwa,kuna asililimia ilifutwa,fuatilia budget ya mwaka jana iliposomwa.Betting company kodi zimefutwa lini?
Watu walikuwa wanauawa mkuuKipindi cha mzee wa chato hatukuona watu kuandamana wala kufunga maduka mambo yalikuwa super wamekuja wapigaji tunayashuhudia5
Jamaa anazomewa atoke lakini ana forceHuyu kiongozi wa Dar Uccm unamsumbuwa ameshindwa kujificha.
Haya majitu ya Ccm ni laana kwa Taifa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sasa mkuu ungeuwa Rais ungebadilisha watu kila siku kisa kelele za kinafiki.Mwigulu kama ataendelea kubaki waziri kweli nitathibitisha watu wana roho pea mbili
Tafuta hela uache kushangilia umeme ukirudi.Huoooo
Swala la kodi ni la kitaifa. Inabidi lifundishwe mashuleni ili kuwajengea Watanzania uelewa wa umuhimu wa kulipa kodi na masuala yote ya kikodi yanavyotakiwa kufanyika.