Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Ni Kwa namna gani katiba mpya itakusaidia?Kwa Sababu utakuwa katiba IPO na wanasiasa Wanavunja Tu kama kawaida.
 
Mkuu umemsikia Vunja Bei Jamaa anaongea madini Kama wewe.
 
Kwa hiyo wameishi kwa maumivu kwa miaka yote 2?

Basi wasingemlaumu Mwigulu namna hiyo bali wangemlaumu sana Mpango
 
Wanawarekodi kwa TV ili wawafuatilie na kuwabinya chini chini hii nchi mnaijua vizuri kweli au mnaisikia.Baada ya hapo hutasikia mgomo tena,Wataanza kutishwa waliowapangisha frames hao wafanya biashara hawa mapaka watawatoa mikataba ikiisha.
 
Hakuna mwanasiasa anayeweza kuwazuia wafanyabiasha wakigoma Kwa Sababu ya unyeti wao na matatizo mengi ya Kodi na tozo yametokea ndani ya serikali hii.
Kwa kiongozi yeyote anayefuata demokrasia hilo linawezekana

Dikteta hiyo nafasi hakupi
 
Mama amemkumbatia mwingilu kwa gharama na maumivu makubwa sana! Huyu jamaa kala matusi yakutosha kabisa hadharani, mbali na madudu yake hapo nyuma likiwamo la ndege yeye kama muhusika

Ifike mahala hata yeye alie bebwa ajitathimini na aone aibu, " ukibebwa tulia, sasa yeye anamtekenya alie mbeba kwa kiasi ambacho naona hata alie mbeba hawezi vumilia " amuachie tu aende asimkumbatie tena

Tumuonee huruma Raisi pia tuoneane huruma watanzania hii cake ya wote
 
Mkuu umemsikia Vunja Bei Jamaa anaongea madini Kama wewe.
Sijafanikiwa msikiliza mkuu, nipo hapa nafatilia comment.

TRA bado wanafanya kazi zaidi katika theory na sio practical, ingawa kuna baadhi ya maafisa wao ( wachache walio waadilifu) wanaelewa na hata mkikaa mezani mapata solution nzuri, ila ukikutana na vimeo unaweza funga biashara. Binafsi nilitelekeza Company kwa ajiri ya ubabe wao usio na tija na kubaki nafanya kazi kama consultancy tu, nipe changu nisepe basi. Mfumo wa company nilishapiga chini
 
Hakuna utofauti wowote wa faida. VAT unalipa wewe?

Unajua kweli hiyo VAT kiongozi wangu?
Kwanini mnunuzi akanunue kwenye VAT iwapo bidhaa hiyo hiyo inauzwa na asiye na VAT jirani hapo? Watu wanaogopa kufika M100 hawatoi risiti sababu ya hichi kitu ukiachilia mbali gharama za kutunza mahesabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…