proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
𝐟𝐚𝐜𝐭Ki protocol hapa tayari waziri mkuu amewapiga chenga watu kwa kutokumpa Mwigulu nafasi ya kuzomewa kwa aibu kubwa na Watanzania.
Waziri mkuu kawanyima watu haki yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𝐟𝐚𝐜𝐭Ki protocol hapa tayari waziri mkuu amewapiga chenga watu kwa kutokumpa Mwigulu nafasi ya kuzomewa kwa aibu kubwa na Watanzania.
Waziri mkuu kawanyima watu haki yao.
Sasa huna receipt mzigo ameutoa wapi lazima mkwepa kodi, kama wewe umekwepa kodi utaweza vipi kudai kodi wakati huyo mtu ni muhujumu uchumi.Na ndo tatizo lingine. Kuna watu wana mzigo mkubwa hawana risiti za manunuzi inabidi awape machinga. Akiuza yeye kwa Tin yake hawezi claim VAT.
Halafu kuna wale sasa ambao input zao hazina VAT mfano hoteli ila Output keshafika M100 anatakiwa kuwa VAT.
Dah ningeshangaa sana kama ame graduate miaka mingi iliyopita na anahela nyingi si angekuwa ashalipa tu kwa mkupuo mmoja.Na amemaliza deni lake la HESLB mwaka huu....
Natania[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tanzania intelligence and security service𝐓𝐈𝐒𝐒 𝐬𝐚𝐦𝐚𝐡𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐢 𝐮𝐬𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐰𝐚 𝐓𝐚𝐢𝐟𝐚 𝐤𝐢𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐜𝐡𝐚𝐤𝐞 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐬𝐚𝐦𝐚𝐡𝐚𝐧𝐢
𝐚𝐬𝐚𝐧𝐭𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐮𝐮Tanzania intelligence and security service
Safi sana!Mafisadi yana nguvu sana awamu hii. Hivyo hakuna waziri atasimama awamu hii ambaye atapingana na mafisadi
Ukifanya biashara utaelewa.Sasa huna receipt mzigo ameutoa wapi lazima mkwepa kodi, kama wewe umekwepa kodi utaweza vipi kudai kodi wakati huyo mtu ni muhujumu uchumi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa wa Tanga ni kiboko.....Kwamba TRA inabadilisha tu sentesi kwamba gari imeshikiliwa kwasababu imebadilisha maumbile...[emoji1787]
Mkinga yule[emoji28][emoji28][emoji28]Dah ningeshangaa sana kama ame graduate miaka mingi iliyopita na anahela nyingi si angekuwa ashalipa tu kwa mkupuo mmoja.
Waziri mkuu kakosea kumkwepesha kukinywa kikombe chake.Lameck Madelu ajitathmini kwa kauli zake za Kebehi ,Akiendelea hivyo ipo siku pdf litatoka amelambishwa mchanga.