Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Tushukuru Mungu nchi ina waziri Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malalamiko yalikuwepo hata wakati wa shujaa wako, hatukuona waziri akifukuzwa. Hivyo, acha unafiki. Kuongea kote huko ni sababu ya uhuru alioutoa mama.Ni jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Labda Mh Raisi SSH akiweka mkeka mpya aondoleweHuu ni upuuzi. Hili suala lilimhusu kwa asilimia kubwa waziri wa Fedha lakini amekimbia show yake.
Huyu atumbuliwe tu au ajiuzulu arudi tu Iramba.
Waziri mkuu kakosea kumkwepesha kukinywa kikombe chake.
mbona hiyo inawezekana wanafanya prorata ya kodi ili kila mfanyabiashara awe na risiti yake ya kodi anayolipia mzigo wake.Ukifanya biashara utaelewa. Mfano mpo 30, mmeagiza mzigo China ili kujaza contena, mzigo unapita kwa tin moja pale bandarini. Mkishagawana mzigo unatoa wapi risiti yenye tin yako?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama bonge anafunguka na issue ya vitenge.....
Naona Kasim anauliza "ndio mama bonge wewe"
Majasusi hao wabobezi- TISS..CCM ni dhiki kuuKuna watu wanapanda jukwaani sidhani kama ni wafanya biashara maana wanazomewa kabisa, ni kama wanaenda kupoteza muda na hata wanavyoongea ni kama kuwafanya wafanyabiashara waonekane hawajui wanataka nn.
Wafanyakazi mgome PAYE ipungue.Hongereni wafanyabiashara mmetema cheche kweri kweri, mmetuwakilisha vyema.
Na sisi wengine tugome ajenda iwe matumizi ya kodi zetu sahihi ya kodi zetu. 😝
Kodi ni msingi wa maendeleo, tulipe na tuilinde kwa wivu mkubwa sana.
Umeshaagiza mzigo kupitia mtu wa tatu ukafanya hiyo prorata?mbona hiyo inawezekana wanafanya prorata ya kodi ili kila mfanyabiashara awe na risiti yake ya kodi anayolipia mzigo wake.
Angepanda pale kizimbani angetema ndoano leo. Majaliwa kamlinda yeye na huyo waziri wa viwanda.Wanalindana ilitakiwa alambishwe mchanga hapo hapo mnazi mmoja.
Umechanganya auntie achana na wa Millard ayo huyu mama bonge wa vitenge wa kontena 15 zilizokamatwa na tra[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona kwa Millard amemuomba PM Mawasiliano yake waongee kando asizidi kuhatarisha usalama wake...
Ni mara ya kwanza nashuhudia mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, soko letu pendwa (baadhi). Vilevile mkutano kama huu wakitema cheche mbele ya Serikali. Hakika, kodi ni msingi wa maendeleo.Hongereni wafanyabiashara mmetema cheche kweri kweri, mmetuwakilisha vyema.
Na sisi wengine tugome ajenda iwe matumizi ya kodi zetu sahihi ya kodi zetu. 😝
Kodi ni msingi wa maendeleo, tulipe na tuilinde kwa wivu mkubwa sana.
Endelea subiri mshahara, sitakujibu tenaHakuna utofauti wowote wa faida. VAT unalipa wewe?
Unajua kweli hiyo VAT kiongozi wangu?
Atupishe Kidogo, Tunamazungumzo