Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

๐๐จ๐ซ๐š ๐“๐š๐ฌ๐ค ๐Ÿ๐จ๐ซ๐œ๐ž ๐ฐ๐š๐จ๐ง๐๐จ๐ฅ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ฏ๐ข๐ฅ๐š๐ณ๐š
 
๐Š๐š๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฃ๐ž๐ฌ๐ก๐ข ๐ฅ๐š ๐ฉ๐จ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข ๐ฌ๐ข๐จ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐จ๐๐ข ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง๐๐š ๐ซ๐š๐ข๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฅ๐ข ๐ณ๐š๐ค๐ž
 
Wafanyabiashara wamewachana live Waziri wa Fedha Dr Mwigulu na Waziri wa Biashara Dr Kijaji kwamba udaktari wao hauna faida yoyote kwa Wafanyabiashara

Wamedai Mawaziri hao siyo Wasikivu na wanawadharau Wabunge wao

Source: Channel ten
Kwanza Kijaji anashangaa hata huyo Waziri Mkuu kwenda huko Kariakoo wakati yeye kama Qaziri mhusika alishatoa msimamo kuwa Kariakoo hakuna mgomo wala tatizo isipokia wafanyabiashara wanatumia haki yao ya kufungua au kutofungua Maduka.

Zaidi anawashangaa hao waliompa Ulaji kupitia nafasi ya Uwaziri.
 
Hakuna Rais aliyekuwa anawasikiliza watanzania kama Magufuli ni manyumbu wachache mmeaminishwa hivyo
Hapo juu nimetoka kuelezea namna wananchi walivyopigwa kwa kunyanyua mabango ambayo yalikuwa yanaelezea kero zao.

Hapo ilikuwa ni hotuba ya Magufuli mwenyewe na kuthibitisha hilo sio kama hakuona kinachofanywa na wale TISS.

Kipindi ambacho wanapigwa aisema kabisa kuwa "hata mkilia siwasikii"
 
Nasubiri mgomo wa waagizaji na wauzaji wa magari niwaunge mkono
 
Huyu Zungu hana akili vzr. Hamna anachoongea
๐๐š๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐ž๐ฅ๐ฐ๐š
 
Ni Kwa namna gani katiba mpya itakusaidia?Kwa Sababu utakuwa katiba IPO na wanasiasa Wanavunja Tu kama kawaida.

..Katiba iliyopo inalinda wale wanaoivunja na kuadhibu wanaoitetea.

..Kwa mfano kuna vipengele vibaya vinavyosema Raisi hatashtakiwi kwa lolote atakalofanya akiwa madarakani.

..Kwa hiyo Katiba inamlinda Raisi ktk kuivunja Katiba.

..Katiba iliyopo inasema masuala yanayohusiana na fedha au kodi ni lazima yapate ridhaa ya Raisi kabla hayajajadiliwa bungeni.

..Katiba mpya iweke kipengele kinachoruhusu mbunge yeyote kuwasilisha hoja binafsi kuhusu masuala ya fedha, kodi, na tozo.

..Pia katiba mpya iweke utaratibu sahihi na wa haki wa matumizi ya kodi ktk eneo kodi inapokusanywa. Kwa mfano, eneo lenye makusanyo makubwa ya kodi lipewe mgao wa haki wa kodi yao, na kiasi kingine kiende kusaidia maeneo yenye uhitaji.

..Katiba ya sasa hivi inaruhusu serikali kukusanya kodi maeneo mbalimbali na kuielekeza ktk matumizi ya anasa mfano manunuzi ya ma-V8, ujenzi wa mji mkuu mpya, etc bila kuzingatia mahitaji ya wananchi maeneo ilipokusanywa kodi.
 
Nimegundua JF imejaa kuku wa kizungu....wapambanaji wachache sana humu ndani
๐ฐ๐ž๐ค๐š ๐ก๐จ๐ฃ๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ฐ๐š๐ณ๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ž ๐ก๐ฎ๐จ ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ ๐ฎ๐ค๐จ๐ฃ๐ž ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฌ๐ข๐จ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ง๐ž๐ง๐จ ๐ญ๐ฎ.....๐ญ๐ฐ๐ž๐ง๐๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐จ๐ฃ๐š
 
Asietoza VAT kwenye mauzo, na yeye awezi dai VAT ya kununulia.

Anaetoza VAT kwenye mauzo, na yeye anatakiwa adai kurudishiwa VAT aliyonunulia.

VAT sio kodi ya mfanyabiashara
Na ndo tatizo lingine. Kuna watu wana mzigo mkubwa hawana risiti za manunuzi inabidi awape machinga. Akiuza yeye kwa Tin yake hawezi claim VAT.

Halafu kuna wale sasa ambao input zao hazina VAT mfano hoteli ananunua nyanya, hoho, nyama kwa watu wasio VAT ila Output keshafika M100 anatakiwa kuwa VAT. Anaclaim vipi? Anajikuta anakwepa kutoa risiti.
 
๐“๐ˆ๐’๐’ ๐ฌ๐š๐ฆ๐š๐ก๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐š ๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ข๐ซ๐ž๐Ÿ๐ฎ ๐œ๐ก๐š๐ค๐ž ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฌ๐š๐ฆ๐š๐ก๐š๐ง๐ข
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ