Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Leo wamejua kumuweka wazi… kazi kwake Mama.
Siasa haina rafiki wa kudumu ina maslahi ya kudumu. Pengine ile ni mbinu ya mfumo inayotumiwa na Rais mwenyewe kumuondoa Mwigulu katika cheo chake,kwamba hana msaada na wadau wake ni mashahidi.

Samia anatumia mbinu zile zile za JK za kumfanyia mtu kitu mbaya halafu jioni moja anakula nae chakula cha jioni huku wakitabasamu na kupiga picha nyingi.
 
Sio kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tz hamna bunge
Nashangaa watu wasio na exposure inakuaje wanatunga sheria za Nchi?


Huu mjadala nimeona wafanya Biashara wapo na akili Sana kuyazidi makundi yote hapa TANZANIA wapo a head of time
Mfanyabiashara hata Kama kafilisika mtaji,bado anabaki na akili zake za kuanzia upya!!!
 
Ni jambo jema sana tena mno!

Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Hebu acheni upuuzi na kero zenu!
'shujaa' wenu Magufuli:-

1. Aliongeza utitiri wa kodi, ushuru wa maghala, hata kodi za pango aliingilia.
Kipindi chake nchi iliongozwa na miongozo na 'maagizo toka juu' badala ya Katiba na Sheria za nchi.
Biashara na makampuni mengi vilifungwa, kuhujumiwa na/au kufikisiwa mfano burea de changes, makandarasi, wapinzani wake.

2. Nani aliyehalalisha rushwa kwa polisi, traffic na hata TAKUKURU? Ni Magufuli.
Nani alyeanzisha huo upuuzi wa task forces? Ni Magufuli
Sasa ndio sehemu ya matunda ya utawala mbovu wa shujaa wenu yanasumbua watu.

3. Retrospective tax nani muasisi wake? Ni huyo huyo shujaa wenu - fisadi Magufuli.

4. Rushwa, kubambika kesi za kila namna (uhujumu uchumi, kodi za forodha na plea bargains nk nk), vyote hivyo ni kazi na alama zake Magufuli.

5. Aliyetuletea hilo Bunge 'mfu' ni nani? Ni huyo shujaa wenu Magufuli.
Magufuli alikuwa doa na unajisi mkubwa kwa nchi na taasisi ya uRais.
Hiyo ndio legacy yake.

Leo hii Bunge limethbitisha TENA kwamba limeshindwa kabisa kuisimamia serikali - iwe sakata hili la Kariakoo, ripoti za CAG nk nk

Ni kwa vile tu siasa zimejaa unafiki na upumbavu; maana hata PM huyu huyu alishiriki kutengeneza hayo ambayo leo amekiri kuwa hayafai.

Tunataka Katiba Mpya!
 
Hoja za wafanyqbiashara ni aibu kubwa kwa CCM na serikali nzima


Serikalini watumishi wezi ndo wanapanda madaraja haraka na wakipewa nafasi zaidi wanawania nafasi za uteuzi.

Hapo wa kuwajibishwa ni CCM maana mwigilu yeye ni waziri tena mwanasiasa nguli wa CCM ..
 
Umeshapanic 😂😂😂😂😂😄😄
 
Tz hamna bunge
Nashangaa watu wasio na exposure inakuaje wanatunga sheria za Nchi?


Huu mjadala nimeona wafanya Biashara wapo na akili Sana kuyazidi makundi yote hapa TANZANIA wapo a head of time
Graduate kibao wapo Kariakoo wanapiga mishe zao,na wengine pia wako huko huko serekalini! Wanapiga migu yote miwili!!!
 
Huyu mchaga anayesoma matatizo ya wafanyabiashara kwenye daftari inaonesha kabisa sio mfanyabiashara wa kariakoo.

Usanii unaendelea katika maisha ya watu...yaani mtu anasoma kwenye daftari utafikiri ni mwanafunzi wa chekechea
Kwa hiyo mtu anayepangilia hoja kwa kuziandika si mtu sahihi bali yule anayetiririka bila mpangilio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…