Ndio mbona hili liko wazi sana nani unayemtegemea angethubutu?
Fikiria tu hiki kikao kingefanyika katika utawala wa Magufuli, ungemtegemea kumuona nani ambaye angekuwa ana point uozo wa viongozi kama Mwigulu bila hofu?
Nani angeweza?
Wakati Magufuli anakuja Chunya mkoani Mbeya kwenye ziara yake, kulikuwa kuna wananchi ambao walibeba mabango kuelezea kero ambazo zinaikumba wilaya yao lakinia TISS waliwakamata wale watu na kuwashushia vichapo, na yeye Magufuli alisema "hata mkilia mi siwaoni"
Wale watu walibebwa wakaenda kutupwa kule kona za mkoa wakiwa wamepigika
Achana na hilo
Siku ya meimosi Makonda alitoa kauli ya kuwatisha wafanyakazi kuhusu kunyanyua mabango ya kudai kuongezwa maslahi, sasa kwa uzito wa jambo hili nani angethubutu?