DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duh!...hii kali..
 
Hiyo picha ni ya mfanyabiashara au ni ya tapeli? Benki ya kitapeli hiyo mnawekaje pesa nyie?!!
Nmb
 
hivi inakuwaje mtu achomoe pesa halafu usipate msg kwenye simu yako? au kuna namna huwa wanamute? na nini nifanye ili nisiibiwe, hapo hiyo bank wanatutisha sasa.
 
NMB na CRDB huwa nashangaa wanaozitumia. Ni benki za hovyo. KCB, Amana Bank, Azania, Exim, na ACB kwa uchache hazina shida.
binafsi NMB huwa hela ikiingia ni ya kutumia au kufanyia mambo ya biashara, au la, naichomoa naweka STANBIC hiyo ndio huwa naamini ni benki yenye macho makali walau.
 
Daahh..kumbeeee....baasii Kuna watu wengi pesa zao zinachotwa haswaa ukifa bila nduguzo kujua kitu
 
Barclays pia kuna mwana aliikula milioni 300 alikuwa ameimaliza yote kwenye Bata alipokamatwa alikuwa hana hata hela ya mawakili.Tulimsaidia tulikuwa hatujui mwenzetu hela anapata wapi. Yaani tulishangaa hela yote huo hana hata kiwanja hata shamba.
Hiyo banki ndio imetoa Bwana Koroso wa Helmi@#$** kwani alipiga 1B. Watu wanapiga sana huko mabenki.
 
Mipa nammya nnume uyooo
 
Duhhhh...kumbee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…