DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hongeraa brother wenzetu Huko wanajua maana ya kulinda brand na kutunza reputation Yao,bongo wanajua hakuna madhara yoyote Yale yatawakuta kisheria na hata kitaswira Yao
Nchi zetu hizi taabu tupu
 
Dhambi hizii jamani daahhhh
Walidhani kafa au vipi...
 
Na kama ni wilayani rahisi kuibiwa maana vifo vya watu km hao hujulikana na watu wengi hvyo wanawahi fastaaa tu
 
Unachosema ni sahihi NMB haifai wizi na utapeli ni mwingi sana.
 
Ndo shida ya wamakonde kibri na dharau saña wakipata unammwagia mtu mafuta kisa 150m...an evil acts,ndo maana tunadharaulika mnoo...from no where ummwagie mtu mafuta
Ndo Yale ya kuyapa talaka makopa kisa pesa za koroshoo
Alifanya ujinga sana
 
Ndo shida ya wamakonde kibri na dharau saña wakipata unammwagia mtu mafuta kisa 150m...an evil acts,ndo maana tunadharaulika mnoo...from no where ummwagie mtu mafuta
Ndo Yale ya kuyapa talaka makopa kisa pesa za koroshoo
Alifanya ujinga sana
Kumbe mkuu nawewe ni wahuku? ila mtwara ilikuwa na mzinguko mkubwa wa pesa ila alivyoingia magufuli kaharibu mzinguko wote kwasababu makampuni yote yalihama hapa mjini na pia machafuko ya msumbiji nayo ikachangia kuuondosha kabisa mzinguko wa pesa mjini kwasababu mipaka ilifungwa
 
Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Kama aliweza kuchomoa hela, anaweza pia kumbadilishia namba kwenye profile. By the way, kama hujasajili mobile money, hupati ka meseji
 

Sasa hapa naona ni benki zote
 
Umenikumbusha mwaka fulani MKopo wangu wa kwanza nilichukua NBC. nikaambiwa mshahara wangu unaweza kupata milioni 10. Ila ajabu baada ya kupokea mkopo nikaanza kuona makato yanakuwa makubwa. Nikawaconsult. Kwa mshtuko mkubwa nikakuta makabrasha yanaonesha nimekopa 14m. Kumbe wale vijana wa mikopo walicheza mchezo. Sijui walimaliza vipi ila mi makato yangu yakawekwa sawa..
 
Kijizi nimecheka sana halafu ndio maana huwa riba nijuu sana
 
Ujinga wa kuiba pesa kwa kudonoa donoa mara nyingi huwa hazina cha maana unachofanyia. Ukute jamaa alikuwa anachukua Milioni moja moja na kwenda kulia bata, leo hii ukimwambia kapiga Mil. 100 ataona kama kaongezewa 00.

Mbongo mpe kichwa cha habari aandike story ndio ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…