DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bank Kuna michezo michafu sana sio NMB tu
BOA waliwahi nichomolea vimilioni kadhaa kwenye account yangu nadhani walijua nmefariki kwa sababu nilikuwa siitumii hiyo account nahifadhi tu
Sasa ikapita miaka miwili sijagusa hiyo account
Siku naenda kucheki balance kwenye ATM yao nikakuta hamna milioni....the rest was bad Ila waliiweka hiyo pesa na nikaitema hiyo account
 
Bank Kuna michezo michafu sana sio NMB tu
BOA waliwahi nichomolea vimilioni kadhaa kwenye account yangu nadhani walijua nmefariki kwa sababu nilikuwa siitumii hiyo account nahifadhi tu
Sasa ikapita miaka miwili sijagusa hiyo account
Siku naenda kucheki balance kwenye ATM yao nikakuta hamna milioni....the rest was bad Ila waliiweka hiyo pesa na nikaitema hiyo account
Duuh miaka 2 hata wew Ungechomoaa kiasii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna jamaa aliweka mamilion alafu akaenda nje kufanya kazi miaka 5 sijui kuja kurudi ile Bank iko moshi sijui imelambaa mpunga wa maaana mbona Bank iliuziwa mali zake
 
Duuh miaka 2 hata wew Ungechomoaa kiasii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna jamaa aliweka mamilion alafu akaenda nje kufanya kazi miaka 5 sijui kuja kurudi ile Bank iko moshi sijui imelambaa mpunga wa maaana mbona Bank iliuziwa mali zake
Ni njaa tu wafanyakazi wa bank hawalipwi vizuri plus makato pale wanapoleta shot sasa mtu anapokea laki mbili akiona account Ina 1b ambayo haina kazi lazima achomoe
 
Ila mtu unakuaje na kiasi kingi hicho cha pesa na wala usifatilie hata balance asee. Daah kweli tuko tofauti.
Watu wana hela kuna mshkaji mmoja pale mtwara mjini aliwahi kumkopesha mtu milion 18 halafu akasahau kama kuna mtu aliemkopesha pesa ilikuja kugundulika baada ya miaka kama 7 hivi baada ya huyo mtu kuachana na mkewe ndipo mke akaja kufichua kuwa ulimdhulumu baba zai pesa yake alikukopesha ukakaa kimya bila kulipa basi aliposikia huyo mshkaji badala ya kuanza kudai aliishia kucheka tu,na kuna mzee mmoja anaitwa bambo yupo hapo mtwara wakati anatokea dar na klugger lake lenye miezi kama 5 tangu litue nchini kutokea japan alipata ajali pale rufiji ukatoka mlango wa nyuma tu na ilijichuna chuna tu rangi ila mzee alivyo kiburi alisema hii siitaki tena akaagiza nyingine siku ileile na ile iliyopata ajali akampa kinyozi mmoja ambaye huwa anawanyoa watoto wake na yeye mwenyewe na akamsaidia kuifanyia marekebisho na jamaa mpaka leo anavimba nayo mtaani
 
Watu wana hela kuna mshkaji mmoja pale mtwara mjini aliwahi kumkopesha mtu milion 18 halafu akasahau kama kuna mtu aliemkopesha pesa ilikuja kugundulika baada ya miaka kama 7 hivi baada ya huyo mtu kuachana na mkewe ndipo mke akaja kufichua kuwa ulimdhulumu baba zai pesa yake alikukopesha ukakaa kimya bila kulipa basi aliposikia huyo mshkaji badala ya kuanza kudai aliishia kucheka tu,na kuna mzee mmoja anaitwa bambo yupo hapo mtwara wakati anatokea dar na klugger lake lenye miezi kama 5 tangu litue nchini kutokea japan alipata ajali pale rufiji ukatoka mlango wa nyuma tu na ilijichuna chuna tu rangi ila mzee alivyo kiburi alisema hii siitaki tena akaagiza nyingine siku ileile na ile iliyopata ajali akampa kinyozi mmoja ambaye huwa anawanyoa watoto wake na yeye mwenyewe na akamsaidia kuifanyia marekebisho na jamaa mpaka leo anavimba nayo mtaani
Hi chai kbsaa
 
Watu wana hela kuna mshkaji mmoja pale mtwara mjini aliwahi kumkopesha mtu milion 18 halafu akasahau kama kuna mtu aliemkopesha pesa ilikuja kugundulika baada ya miaka kama 7 hivi baada ya huyo mtu kuachana na mkewe ndipo mke akaja kufichua kuwa ulimdhulumu baba zai pesa yake alikukopesha ukakaa kimya bila kulipa basi aliposikia huyo mshkaji badala ya kuanza kudai aliishia kucheka tu,na kuna mzee mmoja anaitwa bambo yupo hapo mtwara wakati anatokea dar na klugger lake lenye miezi kama 5 tangu litue nchini kutokea japan alipata ajali pale rufiji ukatoka mlango wa nyuma tu na ilijichuna chuna tu rangi ila mzee alivyo kiburi alisema hii siitaki tena akaagiza nyingine siku ileile na ile iliyopata ajali akampa kinyozi mmoja ambaye huwa anawanyoa watoto wake na yeye mwenyewe na akamsaidia kuifanyia marekebisho na jamaa mpaka leo anavimba nayo mtaani
Pesa haina adabu aisee
 
Upigaji upo kila sehemu. Wengi wetu hapa tunakataa, ila ukweli ni kuwa karibia kila mahali kuna mianya ya upigaji na watu wanapita nayo.

Swala la upigaji wa kibenki, hii ipo karibia benki zote. NMB na CRDB zinatajwa sana kwa sababu ndiyo benki kubwa na zilizotapakaa mno. Hivyo, zina wateja wengi mno.

Si jambo jema hata kidogo. Kila mtu ajenge tabia ya kufanya ukaguzi kwenye akaunti yake.
 
Hi chai kbsaa
Siwezi kukudanganya kama wapo watu wa mtwara humu ndani watakuwa wanamfahamu mzee haule bambo ana fremu zake kama 10 pale sokoni karibu na shule ya chikongola na huyo kinyozi ni saidi mkwango ana saluni yake kule bima na pale kwenye jengo la mother house anayo saluni nyingine na hiyo kluger anayoendesha kapewa bure na huyo mzee bambo,na tukija kwa huyo kichaa aliekakopesha pesa ni rama lupanda maarufu daresalama ndogo na huyo aliekampa ni mbalawazi ambae siku hizi ana kiwanda cha kufyatua matofali hapo magomeni kwenye makutano ya barabara
 
Watu wana hela kuna mshkaji mmoja pale mtwara mjini aliwahi kumkopesha mtu milion 18 halafu akasahau kama kuna mtu aliemkopesha pesa ilikuja kugundulika baada ya miaka kama 7 hivi baada ya huyo mtu kuachana na mkewe ndipo mke akaja kufichua kuwa ulimdhulumu baba zai pesa yake alikukopesha ukakaa kimya bila kulipa basi aliposikia huyo mshkaji badala ya kuanza kudai aliishia kucheka tu,na kuna mzee mmoja anaitwa bambo yupo hapo mtwara wakati anatokea dar na klugger lake lenye miezi kama 5 tangu litue nchini kutokea japan alipata ajali pale rufiji ukatoka mlango wa nyuma tu na ilijichuna chuna tu rangi ila mzee alivyo kiburi alisema hii siitaki tena akaagiza nyingine siku ileile na ile iliyopata ajali akampa kinyozi mmoja ambaye huwa anawanyoa watoto wake na yeye mwenyewe na akamsaidia kuifanyia marekebisho na jamaa mpaka leo anavimba nayo mtaani
Hao ndo matajiri wa roho sasa. Kuna jamaa alinikopesha milioni kadhaa nikawa namlipa kwa awamu. Kuna siku baba alikuwa anaumwa ikabidi nifunge safari kwenda kumcheki, nikiwa njiani jamaa akanipa pole na kuniambia kwenye deni kata milioni moja ikusaidie mambo ya safari na kumuona mzee.
 
Back
Top Bottom