DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mifumo haiko imara sana, nakumbuka back 2009 jamaa wa benk flani alikua makao makuu, mimi nilikua nazurura maofisini pa watu as sales officer, sasa sijui alipata kamwanya gani alikua anaweka laki4 au5 kila baada ya siku2 au 4, akishaweka ananistua tunakutana ATM kisha naitoa tukiwa wote anachukua laki3 nabaki na 1, aise hadi mshahara unafka nakua na mkwanja amazing, kidogo then nikashtukia hapa iko day ntanyakwa wakati sina hata 10 na jamaa atapotea.

Nikaachana na jamaa, baada ya muda mfupi jamaa akapotea hadi ofisini kumbe kapiga 300M kazihamishia exim bank huko nako akatambaa nazo, akatafutwa kidogo na polisi baadae tukasikia yupo UK.
Mifumo na kuaminiana kumezidi mno kwenye mabenki.
 
Chai peleka fb
 
Najitahidi sana kuwaheshimu wazee ila wao hawataki kuniheshimu mimi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu siyo ulijishtukizia? Kwasababu nyie mkishikaga vimilioni mna wenge sana.
 
Mkuu tafadhali ongezea nyama hapo namba 1 Kilimanjaro coop kina ombeni kingazi na makwebe.
 
Ungenyakwaaa vibayaa wewe yani ungesotaa balaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
10 years ago hiyo 4000$ ilikuwa hela ndefu sana.
 
10 years ago hiyo 4000$ ilikuwa hela ndefu sana.
Kichekesho nimeibiwa hela zangu Citibank wakati mimi mwenyewe nafanya kazi Global Information Security Administration ya Citigroup on Wall St.

Kwa hesabu za Wall St. hizo zilikuwa hela ndogo tu.

Kuna siku mshkaji alitoa hela kwenye ATM, akawa kama kasahau kuchukua ile risiti ya ATM. Mimi kuidaka nikakuta akaunti yake ina $60,000.

Halafu jamaa mshkaji poa tu ukimuangalia huwezi kumjua kama ana hata $10,000.
 
Nakumbuka kuna dada alikua Barclays ila ana miaka kadhaa sasa amefariki. Alipiga pesa million 500. Na ni binti wa familia bora sana. Na ni vigogo wa serikali humo. Kama sikosei alisoma chuo uingereza.
Ile account haikutumika muda sana. Basi wakafoji, akatengenezwa mtu akaja akasema anataka kujua akaunt yake na pesa ila amesahau password. Basi marehem akachezesha game mlolongo mzima ukapita. Jamaa akaambiwa akaingize finger print upya. Kitu kikajibu. Mil 500 ikasombwa. Dada mwenyewe alikua mtu wa bata sana. Hakuna cha maana hivyo. Kwanza always alikua na madeni. Najua lazima munamjua. Sitaki kutaja jina lake ama waliokua wana associate nae karibu kazini.

Hamad. Mwenye akaunt akaja. Hakuamini kilichotokea ktl akaunt yake. Basi tena bank ikawa responsible na bibie akawa na kesi hata sielewi iliishia wapi lkn alikua mtaani later
Pumzika kwa amani mla bata wetu
 
Duuh nani huyoo mla bataaa...[emoji3][emoji3][emoji3]Aisee unaweza viziwaa uuliwee bipa kujuaa watu wanapoteza ushahidi
 
Chai peleka fb
Hahahaha njaa itakuua sana dogo bahati mzuri nimewataja wahusika wote na humu wapo wengi watu wa mtwara tena wa sokoni na hivyo visa wanavijua vizuri sana...acha makasiriko sasa je nikikuletea kisa cha pedeshee kide baada ya kuipiga zaidi ya milion 150 za ambari kwa ujeuri wake akachukua karai lililo na mafuta ya moto ambayo wanakaangia chipsi akammwagia mtu pale mnarani na akampeleka yeye mwenyewe hospital na akawalipa ndugu zake mgonjwa Cash napo si utabisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…