JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Vijana wanachezea na system tu, pesa yako been, ni namba tu kwenye rekodi, sio kwamba kuna kikapu cha pesa zako,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini msiombe bank statement??Ni kweli. Kuna kesi nyingi za warithi kudhulumiwa na kudanganywa kuhusu kiasi cha fedha kilichokuwa kwenye account ya marehemu.
Binafsi mzee wangu alikuwa anafanya shughuli zake na alikuwa anaweka fedha benki pia Alikuwa mstaafu so alikuwa analipwa Pension yake via NMB. Mwaka ambao mzee alifariki, alivuna mpunga na akauza gunia zaidi ya 500 ambazo alipeleka benki. Baada ya kufariki na tulikaa muda mrefu kupata utaratibu wa mirathi kwenda benki tunaambiwa mzee alikuwa na laki saba tu benki.
Uzi uko wapi mkuu?Wanachofanya anagushi sahihi yako kisha kila kitu kinaendelea kwa kughushi tu kuanzia kuomba kadi na kuendelea. Naku-mention kwenye uzi mmoja ambao mfanyakazi wa CRDB ubungo aliiba pesa za mteja zaidi ya milioni 100 kwa mtindo huu mwaka 2019.
Nimeufufua, nakumensheni.Uzi uko wapi mkuu?
Nimention piaNimeufufua, nakumensheni.
Nimeufufua, nakumensheni.
Kupata msg ni Alert tu,ambayo wana iondoa unakua hupati msg yoyoteInakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Kupata msg ni Alert tu,ambayo wana iondoa unakua hupati msg yoyoteInakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Kweka namfahamu sana alifariki kwa kugongwa na gariDaah wewe wa mtwara kabisa unamkumbuka kweka boss nsijute na skoya alikua ana pesa ndefu ila alifariki tayari.
Inaonesha kuna roopholes ambazo zinaweza kumsaidia cashier kubadili notifications zozote za simu kwa mteja, hilo ni tatizo!Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Tusaidie tujue Bank wakitupiga tupambane naoMbona kesi rahisi sana hiyo bank wanapaswa walipe haraka kanuni ya vicarious liability bank hawachomoki. Kama mna shida kisheria semeni niwasaidie
Ukiwa na 100k unaweza acha elf moja sehemu na usikumbukeIla mtu unakuaje na kiasi kingi hicho cha pesa na wala usifatilie hata balance asee. Daah kweli tuko tofauti.
Kweka namfahamu sana alifariki kwa kugongwa na gariDaah wewe wa mtwara kabisa unamkumbuka kweka boss nsijute na skoya alikua ana pesa ndefu ila alifariki tayari.
Polisi wanadeal na waandamanaji kiliko wahalifu kama haoMtanzania haaminiki kwenye mambo ya fedha. Narudia tena: mtanzania haaminiki kwenye mambo ya fedha. Najua duniani kote binadamu kwenye fedha ni kitu kingine lakini kwa Tanzania ni zaidi. Benki nyingi tu (labda ondoa zile za kimataifa) wafanyakazi wake hawaaminiki. Bongo ukiwa na fedha benki inatakiwa kila uchwao uwe unaangalia balance. Na wakati wa kutoa kama unatoa fedha nyingi uwe makini sana kwani unaweza kuwekewa majambazi.