DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha ,dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha,ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower Arusha na mtumishi wa benki hiyo.

Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mfanyabiashara huyo amedai kuwa siku za usoni alienda katika benki hiyo kwa ajili ya kuchukua fedha ndipo alipopigwa na butwaa kukuta kitita hicho hakipo.

Meneja wa benki hiyo kanda ya kaskazini PRAYGOD MPHURU alipohojiwa alikiri kuwepo kwa tukio hilo akidai tayari wamemsimamisha kazi mfanyakazi wao SAMWELI na kwamba suala hilo linafanyiwa kazi na kuomba suala hilo lisitangazwe.

Joseph ambaye hufanya biashara za bar na kusambaza vyakula kwenye kambi za jeshi anadaiwa kulundika kiasi hicho cha fedha kwa muda mrefu bila kutoa kiasi kwamba mfanyakazi huyo aliona huenda anayeimiliki alishakufa na kuanza kuchomoa kidogo kidogo na kufikia zaidi ya sh,milioni 100.

Hata hivyo baada ya taarifa hizo kubainika uongozi wa benki ulifanya kikao kizito na kubaini kwamba mfanyakazi wao aliyefahamika kwa jina moja la SAMWELI ndie aliyehusika na wizi huo kwa kuchomoa fedha hizo kidogo kidogo hadi kufikia hicho cha fedha .

Uongozi wa benki hiyo tayari umemsimamisha kazi lakini suala hilo bado lipo kimya huku Mfanyabiashara huyo akilalamikia hatima ya fedha zake maana benki hiyo kuwa kimya na haimpi jibu linaloeweka namna ya kurejeshewa.View attachment 2714317
Inaonesha huo ni Mchongo wa watu wengi. Wanajipanga kurejesha
 
Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha ,dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha,ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower Arusha na mtumishi wa benki hiyo.

Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mfanyabiashara huyo amedai kuwa siku za usoni alienda katika benki hiyo kwa ajili ya kuchukua fedha ndipo alipopigwa na butwaa kukuta kitita hicho hakipo.

Meneja wa benki hiyo kanda ya kaskazini PRAYGOD MPHURU alipohojiwa alikiri kuwepo kwa tukio hilo akidai tayari wamemsimamisha kazi mfanyakazi wao SAMWELI na kwamba suala hilo linafanyiwa kazi na kuomba suala hilo lisitangazwe.

Joseph ambaye hufanya biashara za bar na kusambaza vyakula kwenye kambi za jeshi anadaiwa kulundika kiasi hicho cha fedha kwa muda mrefu bila kutoa kiasi kwamba mfanyakazi huyo aliona huenda anayeimiliki alishakufa na kuanza kuchomoa kidogo kidogo na kufikia zaidi ya sh,milioni 100.

Hata hivyo baada ya taarifa hizo kubainika uongozi wa benki ulifanya kikao kizito na kubaini kwamba mfanyakazi wao aliyefahamika kwa jina moja la SAMWELI ndie aliyehusika na wizi huo kwa kuchomoa fedha hizo kidogo kidogo hadi kufikia hicho cha fedha .

Uongozi wa benki hiyo tayari umemsimamisha kazi lakini suala hilo bado lipo kimya huku Mfanyabiashara huyo akilalamikia hatima ya fedha zake maana benki hiyo kuwa kimya na haimpi jibu linaloeweka namna ya kurejeshewa.View attachment 2714317
NMB ni wezi wakubwa, kijana wangu aliibviwa 100,000 Tsh kutoka akaunti yake
 
Wafanyakazi wengi wa Bank ni makanjanja sijui kwanini
Huwa hawajali mteja kabisa
Unaweza kuambiwa hela zimepungua kumbe kaiba tayari
Bora nikaweke Amana hela zangu

Yaani na bank bado wanamsitiri mwizi kwa kuweka jina moja tu kama hawamjui
Jina moja linatumika zaidi labda kwa watu wanaofanya kazi ngumu kwa kujiajiri ila sio mfanyakazi wao

Hapo ndio tunafeli wabongo kufichiana uchafu
 
Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha ,dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha,ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower Arusha na mtumishi wa benki hiyo.

Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mfanyabiashara huyo amedai kuwa siku za usoni alienda katika benki hiyo kwa ajili ya kuchukua fedha ndipo alipopigwa na butwaa kukuta kitita hicho hakipo.

Meneja wa benki hiyo kanda ya kaskazini PRAYGOD MPHURU alipohojiwa alikiri kuwepo kwa tukio hilo akidai tayari wamemsimamisha kazi mfanyakazi wao SAMWELI na kwamba suala hilo linafanyiwa kazi na kuomba suala hilo lisitangazwe.

Joseph ambaye hufanya biashara za bar na kusambaza vyakula kwenye kambi za jeshi anadaiwa kulundika kiasi hicho cha fedha kwa muda mrefu bila kutoa kiasi kwamba mfanyakazi huyo aliona huenda anayeimiliki alishakufa na kuanza kuchomoa kidogo kidogo na kufikia zaidi ya sh,milioni 100.

Hata hivyo baada ya taarifa hizo kubainika uongozi wa benki ulifanya kikao kizito na kubaini kwamba mfanyakazi wao aliyefahamika kwa jina moja la SAMWELI ndie aliyehusika na wizi huo kwa kuchomoa fedha hizo kidogo kidogo hadi kufikia hicho cha fedha .

Uongozi wa benki hiyo tayari umemsimamisha kazi lakini suala hilo bado lipo kimya huku Mfanyabiashara huyo akilalamikia hatima ya fedha zake maana benki hiyo kuwa kimya na haimpi jibu linaloeweka namna ya kurejeshewa.View attachment 2714317
 
FNB walishawahi mfanyia jamaa yangu hivyo hivyo kumchomolea pesa kibao kwenye account yake ya USD. Jamaa alikuwa kifungoni nje ya nchi. Alipotoka kaibuka kudai mpunga wake, mavi yaliwagonga chupi maana kipindi cha kifungo walimzungusha sana mkewe katika kufuatilia pesa.

Walimpa fidia ya 35% juu ya kile kiasi kilichopigwa kwa ombi kwamba asitangaze wala kwenda kwenye vyombo vya sheria. Baada muamala kusoma tu, jamaa akafunga na account yenyewe.
Aiseeee, vipi hakuwalipua kwenye media?
 
Ndiyo maana mimi naamini wasimamizi wa mirathi hupewa taarifa za uongo na benki kuhusu pesa walizoacha marehemu hasa wale wa fixed.
Mimi nimewahi kuwa msimamizi wa mirathi ya ndugu yangu mmoja aliyekuwa mtumishi wa serikali. Wakati familia yake wakiamini kwenye akaunti yake, ambayo pia ilikua inapitishia mshahara, ina salio la kutosha, nilishangaa nilipofika kwenye hiyo bank yake nikaambiwa balance inasoma zerooo!! [emoji12]
 
Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
NMB wana shida sana, inaonesha mfumo wao wa kielektroniki unaotuma ujumbe kwa mwenye akaunti ni wa hovyo kiasi kwamba mfanyakazi wa hiyo bank anaweza kuuchezea anavyotaka.

Nimewekeza pesa kwenye hii bank, ila cha ajabu muda wa gawio ukifika pesa zinaingia kimya kimya.
Nimeshawalalamikia sana na kuwaambia huo utaratibu ni mwanya wa wizi, wakaziba masikio....yametimia!
 
Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Inakuwaje pesa zichomolewe asipewe taarifa kwa ujumbe mfupi? Au huyo jamaa alifanya yake zikitolewa asipate taarifa?
Huwa wanaondoa hupati sms yoyote

Benki nazo sio za kuamini Sana hasa
Nmb na Crdb hizo benki sina imani nazo kabisa hasa Crdb.
 
Back
Top Bottom