Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Huihui we ni mshenziiiiiii,huwa unawanyanyapa punda kuangalia nyeti zao.Tutakupeleka desk la wanyama.
 
Kama investment zipi mkuu
 
Mwehu huyo achana nae. Na sio mtumishi haelewi kitu
 
Yule marehemu wenu hakuongeza hata Mia, na bado mazwazwa mlimshangilia.
Unavyoongea utafikiri hujawahi kufiwa. 😁😁 fika sehemu ukute wanamuongelea vibaya marehemu ndg yako uone utakavyojisikia hata kama alikuwa mtenda maovu kwenye jamii.
 
Hasa malimu yanakenua hovyo ngoja tuone
Ulivyoandika km vile huna akili. 😁😁 malimu as if ni takataka wakati ndo walikufanya ujue kuchangia nyuzi za jf. Jifunze kuwa na adabu hata kama walimu hao hawakukufikisha sehemu ulikotaka but shukuru hata kujua kusoma na kuandika ilitosha.
 
😁Sema Bongo hii….
Uzi wako una lengo zuri la kuhitaji mfumuko wa bei udhibitiwe japo ni swala la dunia nzima….
Ulipoharibu ni huo ushabiki maandazi uliouweka kwenye Nyongeza ya mshahara hiyo ni haki ya Wafanyakazi
Mkuu kama Una ndoto za kuwa kiongozi Nenda Tukuyu ukalime maparachichi yanaweza kukusaidia kuongeza kipato
 
Unavyoongea utafikiri hujawahi kufiwa. 😁😁 fika sehemu ukute wanamuongelea vibaya marehemu ndg yako uone utakavyojisikia hata kama alikuwa mtenda maovu kwenye jamii.
Kama alikuwa muovu na Mimi nashiriki kumsema. Hata hivyo haiumi Kuliko kukaa miaka Saba bila kuongezwa mshahara na masimango juu.
 
Vp ule mghahawa wako!
Ulikufa au bado unaendelea

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…