Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ooh. Inabidi wajitambulishe kwa namba.Huyu ni malalamiko fc
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh. Inabidi wajitambulishe kwa namba.Huyu ni malalamiko fc
Ova
Au sio!? Bado anaonja utamu wa awamu ya sita , ila nightmares za awamu ya tano zinamsumbuaWewe sio mfuasi wa Magu vinginevyo ungemfuata huko aliko ili mkaongoze malaika..
Uzuri mm mme wetu na mama yako tunamjua...
Kwani mfumko wa bei wakati wa kamanda Magu ulikuwaje? Ukilinganisha na sasa!Mtukufu Jiwe aliongeza asilimia ngapi vile?
Huihui we ni mshenziiiiiii,huwa unawanyanyapa punda kuangalia nyeti zao.Tutakupeleka desk la wanyama.Hivi wewe Suzy Elias una kichwa au una cabbage juu ya shingo yako? Unaanzaje kubeza Tsh 30,000 wakati yule mungu wenu wa Chato mwenye kichwa kama pumbu ya punda hajawahi kuongeza hata Tsh 100/= kwa miaka 5.
Wasukuma tuacheni na Mama yetu Samia, wakati wenu wa kufanya UHAYAWANI ulikwisha 17/03/21
Kama investment zipi mkuuNani kakwambia watumishi wanaishi kwa mshahara, mshahara ni kwa ajili ya kuombea mkopo. Sipati picha jinsi mabenk yalivyokenua meno maana tegemeo lao ni kuwakamua watumishi wa umma Ili bank ziende. Unakopa milioni 20 unarejesha milioni 15.Kukopa ni rahisi kukatwa maumivu. Bora ukope uweke kwenye real investment.
Uzi kama huu unakufanya uonekane mtoto na mpuuzi fulani tu usiye na shukrani.Ulishamuuliza km yeye ananipenda?!
Huenda mm ni baba/mama yako-shika adabu yako!Uzi kama huu unakufanya uonekane mtoto na mpuuzi fulani tu usiye na shukrani.
Mwehu huyo achana nae. Na sio mtumishi haelewi kituAcha uongo!! Hayo madeni ulilipa wewe? Madaraja watu tumekaa miaka nane ndo kaja kupandisha Samia,..na hizo hisabati unazojua ziko wapi mbona umeongea porojo tupu,..watu wengine bwana!! Hebu tuacheni watumishi machungu yetu hamyajui nyinyi na li Magufuli lenu
Unavyoongea utafikiri hujawahi kufiwa. 😁😁 fika sehemu ukute wanamuongelea vibaya marehemu ndg yako uone utakavyojisikia hata kama alikuwa mtenda maovu kwenye jamii.Yule marehemu wenu hakuongeza hata Mia, na bado mazwazwa mlimshangilia.
Ulivyoandika km vile huna akili. 😁😁 malimu as if ni takataka wakati ndo walikufanya ujue kuchangia nyuzi za jf. Jifunze kuwa na adabu hata kama walimu hao hawakukufikisha sehemu ulikotaka but shukuru hata kujua kusoma na kuandika ilitosha.Hasa malimu yanakenua hovyo ngoja tuone
Utasema vile wewe ni Mkurugenzi mahali fulani ,Kumbe hukunywa chai asubuhi ili uweke bandoHasa malimu yanakenua hovyo ngoja tuone
Kama alikuwa muovu na Mimi nashiriki kumsema. Hata hivyo haiumi Kuliko kukaa miaka Saba bila kuongezwa mshahara na masimango juu.Unavyoongea utafikiri hujawahi kufiwa. 😁😁 fika sehemu ukute wanamuongelea vibaya marehemu ndg yako uone utakavyojisikia hata kama alikuwa mtenda maovu kwenye jamii.