Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Waafrica sijui wataelewa lini na kuacha kwenye uarabuni kufanya kazi kwa mashetani.

Na hapo dawa yao ni kuchoma ubalozi wa lebanon uliopo ghana
 

Wewe umejuaje kama hawachukuliwi hatua? Unataka kila cku wakuhabarishe kinachoendelea unafikiri hizo mahakama kama za uswazi! 2punguze chukiii,,,na ukitaka maisha ye2 yaende vizuri 2punguze chuki kwa weupe n.k. Juzi tu mdada kadedishwa na mweuc mwenzetu hamkutokwa povu,,na sasa unasema ananyea debe,,je umejuaje ananyea debe!
 
Tunaongelea kuhusu watu weusi we unaleta waarabu wa Indonesia na wafilipino si uwendawazimu huo.
Kwa hiyo hao wafilipino na wa Indonesia wao walikuwa wafanya kazi za ofisini?

Halafu hujui hata ni nchi zipi ndio raia wake wanaongoza kwa kwenda kufanya kazi huko uarabuni.

Narudia tena, panua wigo wako wa kufikiria, epuka kuongelea mambo kiujumla jumla.

Lete maegemezo yako kuwa kesi zote za watu weusi walionyanyaswa huko Uarabuni hazi kushughulikiwa.
 
Waafrica sijui wataelewa lini na kuacha kwenye uarabuni kufanya kazi kwa mashetani.

Na hapo dawa yao ni kuchoma ubalozi wa lebanon uliopo ghana


Ndio akili za mwafrika zilipoishia,,,tunawazaga ujinga muda wote,, eti kuwachomea ubalozi 😁 akili zngine. Chuki za wagalatia weuc azitaisha kwa weupe hadi Qiyamah kitapocmama,,,na ndiomana hamuendelei mnakufa masikini kwa chuki zenu ziczokua na maana yoyote.
 
Kuna mmoja nilisoma story yake kwenye gazeti. Anatoka Nigeria, baada ya kufanya kazi miezi 24 Dubai aliweza kurudisha nauli iliyompeleka na akafungua mgahawa kwao. Sasa ni boss kwenye mgahawa wake.
Mataifa mengi ya uarabuni si yakufanya kazi..

Ni vile tu wa Africa hawasikii.
There's nothing there zaid ya mateso.

Wengi wa wadada hudanganywa kwenda kufanya kazi kwa kupata mishahara minono lakin mwisho wa siku huishia mikononi mwa madangulo,mateso na kibaya zaid huchukuliwa passport zao.

Unakuwa huna ujanja na unaishia kufanya ufusuka ili aliyekuleta arudishe pesa yake..

It is so sad.

Recruitment agency wengi huwalaghai lakin ukwel ni kuwa ni hatar zaid.bora ubak tz ufanye kibarua kuliko kwenda huko..

Ajira nzur ni zile za ulaya ambazo kwa sasa nazo ni ngumu sana kupata.wengi waliofanikiwa kwenda kule ni kuanzia mwaka 2000 had 2010 ndo maisha waliyaweza hata permanent resident walipata..
 


Chuki zake binafc zinamfanya aropoke bila kuwa na ushaidi wowote,,na kama ataenderea na chuki atapata tabu sana katika maisha yake.
 
Hebu tuishie hapa mzee...sababu jambo lipo wazi wewe unaleta irrelevant things... Tuishie hapa coz sitakujibu tena. m
 


Mzungu anakutambua sokwe, mzinzi, co wa kufanya kazi,,,na ictoshe walitesa babu zetu hawa mashoga zako.

Mwarabu je? Acheni chuki za kijinga, ndio hufa mackini.
 
Hebu tuishie hapa mzee...sababu jambo lipo wazi wewe unaleta irrelevant things... Tuishie hapa coz sitakujibu tena.
 
Mzungu anakutambua sokwe, mzinzi, co wa kufanya kazi,,,na ictoshe walitesa babu zetu hawa mashoga zako.

Mwarabu je? Acheni chuki za kijinga, ndio hufa mackini.

Unakwama wapi mkuu..?
Mimi nimetoa maoni yangu kulingana na uelewa wangu,.hebu na wewe toa maon yako kulingana na uelewa wako,na usi criticize watu...
Ifike mahala mtu akitoa hoja,mjibu kwa hoja na si kumkhebehi
Huo umaskini unaousema una sababu zake za msingi,na chanzo chake,na theory zake.zipo kisomi si kwa maneno wewe unayoyasema..

Usitake nilete critical facts hapa..jkija kwa hoja pia nitakujibu kwa hoja,ila ukija unajibu kwa kebehi ina maana huna unachoelewa zaid una piga kelele.
 
Umechambua vema tatizo la watu kwenda huko nchi za waarabu kufanya kazi.

Ila natofautiana nawe kwa hiyo kusema wote hawatoki kimaisha. Nina fahamu watu wawili wako huko mmoja amefanya makubwa kwao. Mwingine yupo huko na zitokeapo shida za kifamilia huwa akisaidia familia yake.

Halafu hizo nchi za Ulaya zipi wazizungumzia maana umeongelea kwa ujumla jumla? Na kazi waziongelea zipi?

Uzuri wa bahati niliwahi ishi huko Ulaya na nafahamu pia manyanyaso yaliyopo huko. Lakini siwezi kujumuisha kuwa watu wote wa nchi fulani ya Ulaya wananyanyasa watu wengine.
 
Hebu tuishie hapa mzee...sababu jambo lipo wazi wewe unaleta irrelevant things... Tuishie hapa coz sitakujibu tena.
Mkuu amekwelewa,mi nishamwambia aje na facts asije na maneno ya mtaani,nimpe pia facts zangu.ila akileta kelele hatutawezana..
 
Mkuu
Ni kwel,labda naona hoja yangu imekuwa ya mjumuisho zaid lakin nilichokuwa naanisha si wote wanaoenda hawafanikiwi,
Ila kuna baadhi wanafanikiwa na pia kina nafasi za kazi ambazo zina mateso zaid.mfano
Ukipata nafasi kama ya udereva kwa dubai watu wanapata rizik nzur sana kuliko kuwa mfanyakaz wa ndani,pia security.
Hizi ni baadh tu.
Pia kwa upande mwingine,kwa nchi za ulaya napo si zote,naelewa.
 
Hebu tuishie hapa mzee...sababu jambo lipo wazi wewe unaleta irrelevant things... Tuishie hapa coz sitakujibu tena.
Huwezi kujibu wa hoja, kwa sababu huna maarifa hayo ya kujenga hoja.
Na tayari nimekuwekea screen shot ya mfanyakazi wa kibantu aliyeuawa na kisha bosi wake wa kisaudi kunaswa.

Ujifunze kutoongelea mambo pasi na data.

Ndio watakuwepo wafanyakazi wengi tu ambao mabosi wao wanakwepa mkono wa sheria. Lakini haimaanishi woote wafanyakazi (weusi) hawapati haki zao wanaponyanyaswa au kuuawa.

Mfano wake mwingine ni kuwa pamoja na kuwepo watu wanaouawa Tanzania na pengine wauaji wasichukuliwe hatua kwa namna moja au nyingine, huwezi kuongea kilayman (kiujumla jumla) kuwa watu wote wanaofanya mauaji Tanzania hawachukuliwi hatua.
 
Chuki haijengi bali inabomoa,,,hapo Mwenzio anakuweka sawa,,,acha kuwa na akili kama za wenzio.

Wewe nae walewale tu....hujui ila unakisia tu...mimi nina ushuhuda kutoka kwa watu mbalimbali waliokuwa huko...tena kheri uwe muislamu ukiwa mkristo ndo utapata ugumu zaidi....najua unawatetea kisa dini moja ila ujue ni ujinga tu unatetea.
Na kuna waislamu wengi tu wapo against na haya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…