Mfanyakazi wa ndani auawa Uarabuni na mwili wake kutupwa chini ya gari

Riski ni kubwa mno.....
Uko sahihi, lakini hatari hizo zimekuwa zikielezwa na matukio kushuhudiwa miaka nenda rudi. Ila watu hawaachi kwenda kwa sababu ya uwezekano wa kutoka huko.

Kila kazi ina hatari zake, ingawa zatofautiana. Kuanzia shughuli za uchimbaji madini, mchanga, udereva, unesi, uvuvi n.k

Hata kuwa na pesa hapa Bongo ni hatari, majambazi watakuwa wanakumendea mendea. Lakini kila mmoja anapenda awe nazo.

Wenyewe wanasema ni bora ufe watafuta pesa kuliko kufa kwa umasikini na njaa.
 
Jiulize waarabu waliwachukua wafrika wengi sana kwenye utumwa kama vijakazi lakini hakuna waarabu weusi uko kwao kwann mbona marekani wapo ulaya wapo south america wapo na wamejichanganya vizuri tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha umbumbumbu wako. Jaribu hata kugoogle hao waarabu weusi kabla yakuongea vitu usivyovijua. Tatizo lako kubwa ni kutotoka nje ya mipaka ya Tanzania.

Hawa wanaongelewa hapa kuwepo Iraq, Saudia, Jordan na Palestina ni wazungu au wachina?

Utakuta nawe eti nawe wazazi wako walikusomesha pengine mpaka kiwango cha digrii lakini washindwa ng'amua vitu vidogo kama hivi.

 


Mkuu hawa wanaolongalonga na kupayuka wivu tu unasumbua,,,mishahara wanayolipwa haifiki hata robo wanayopewa housegirl kule uarabuni.

Housegirl anapewa 600,000 mpaka 900,000 per month ,,,wakati bongo mfanyakazi wa benki,, secondary, msingi au hata serikalini sidhan ata laki4 wanapewa.


Housegirl mshahara mdogo na kunyanyaswa juu.
 

Na wewe ukaamini ulichoambiwa kwa hao mashuhuda bila kwenda mwenyewe kuhakiki,,,,yawezekana ulikuwa na plan ya kwenda kutafuta life kule ila ukakutana na mahasidi yasiopenda ufanikishe,,,,co binadamu wote tunapendana au kutakiana kheri katika mafanikio ye2,,wengine wapo kukukatisha tamaa.
 


Haya lete hizo facts zako
 

Umeanza mabango sasa....Ila Uhalisia ndo huo...hata kama ukikaza sidhani kama utaubadilisha.
 
Mnanyanyaswa halafu mnang'ang'ania kuishi huko,hamna makwenu??
 

Arabs towards Africans was also a catalyst. The famous Arab historian of the 14th century, Ibn-Khaldum, wrote: “The only people who accept slavery are the Negroes, because of an inferior degree of humanity, their place being closer to the level of animals.” The question then was: how to see to it that these “animals” did not reproduce in Arab-Muslim
 
........................Nimefungua hiyo link aisee hawa jamaa siyo watu,wana roho mbaya sana hawa umbwa!

Mungu amrehemu huyu binti

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mabalozi wa kiafrika na serikali zao huwa hawajali matukio kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…