Mfumuko wa bei Zanzibar sasa imekuwa gumzo. Ni wakati sasa Rais Dkt. Mwinyi kujitafakari


Kaishi kongo
 
Serikal ya Zanzibar sijui kodi zina tumika wapi maana ukiangalia mji umechoka Barabara mbovu zime choka Yani Una weza kuondoka Zanzibar maiaka 7 ukija kurudi hakuna mabadiriko Yan kupo vile vlle
 
Zanzibar kubaya Zanzibar makaz ya wananchi ni duni vijumba vibovu yani Zanzibar ni kama Tandale, keko, magomeni, Mwanyamala Yani ni sehem ya hovyo hakuna mipango miji
 
Serikal ya Zanzibar sijui kodi zina tumika wapi maana ukiangalia mji umechoka Barabara mbovu zime choka Yani Una weza kuondoka Zanzibar maiaka 7 ukija kurudi hakuna mabadiriko Yan kupo vile vlle
Mkuu uko sahihi, Kodi zinaliwa na wajanja wachache na wake zao
 
Mkuu uko sahihi, Kodi zinaliwa na wajanja wachache na wake zao
Call spade a Spade !! Mnawaita wajanja ?? Yaani wanaokula kodi za wananchi ni wajanja ??!! Mimi naamini Hao ni wezi tu kama wezi wengine !! Kama ni kweli wapo !
 
Call spade a Spade !! Mnawaita wajanja ?? Yaani wanaokula kodi za wananchi ni wajanja ??!! Mimi naamini Hao ni wezi tu kama wezi wengine !! Kama ni kweli wapo !
Waziri wa fedha alisema billion 230 za mkopo wa corona zimeenda Zanzibar lakin kiuwalisia mitaan hatuon zime tumika sehem gani
 
Call spade a Spade !! Mnawaita wajanja ?? Yaani wanaokula kodi za wananchi ni wajanja ??!! Mimi naamini Hao ni wezi tu kama wezi wengine !! Kama ni kweli wapo !
Mkuu hawa watu wanakula pesa vibaya mno kisheria na kinyume na sheria

Kisheria ni hivi
a. wanajilipa marupurupu manono pamoja na posho za kufa mtu. Mtu kaenda kisafari kidogo akirudi anakabidhiwa bahasha ina dola elfu 5 tena huyu ndo mtu wa chini.

b. Wamejiwekea sheria kwamba Serekali hainunui gari iliotumika yaani gari zao ni mpya tu Prado, Vx za kuanzia milioni 100 kwenda juu. Hizi gari gharama yake ya kuzitunza ni balaaa. halafu sasa ni full Ac everytime. unaikuta gari ya Serekali imepark switch on vioo tinted inanguruma masaa mawili huku Ac iko wazi.

c. Kuandaa sherehe na matamasha kila kukicha ambazo zinateketeza mabilioni.

Haya ni mfano tu wa mambo yanayoteketeza kodi zetu ukiachilia mbali ufisadi na ubadhirifu wa kutisha wa mali za Umma.

RIPOTI YA CAG YA MWAKA JANA IMEBAINI KATI YA BILIONI 10 ZILOTENGWA KWA MAREKEBISHO YA BARABARA , NI BILIONI MOJA TU NDO ILOTUMIKA , TISA HAZIJULIKANI ZIKO WAPI!!!!! KIDUMU CHAMA TAWALA
 
Hapo kwenye Chipsi huwa nalima Viazi. Mfuko wa Mbolea umepanda kutoka 65000 mpaka 110000. Gunia la Viazi kwa sasa Dsm ni 80000 kutoka 45000 mwezi August
 
Duh!
 
Vita dhidi ya rushwa.
Hamna kitu saivi mawaziri wake wanapiga mzigo kama kawaida, hela inatafunwa kuliko chochote rushwa na ajira za kujuana zimerud pale pale
 
Amefeli
 
Poleni sana. Suluhisho sasa ni kuchimba kisima chako. Ukisubiri maji ya zawa utaoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…