Mfumuko wa bei Zanzibar sasa imekuwa gumzo. Ni wakati sasa Rais Dkt. Mwinyi kujitafakari

Mie kila siku hushangaa ni vipi tunafeli kwenye suala la maji miaka yote hii. Yaani tupo kisiwani halafu tu nakosa maji kweli. Kitu muhimu kama maji, kweli!!!?
 
Tatizo ni wavivu, hakuna uzalishaji , wanawategemea wabara ndio wafanye kazi zao
 
Tatizo ni wavivu, hakuna uzalishaji , wanawategemea wabara ndio wafanye kazi zao
Hao wabara wamejazana Zanzibar wamekuja kutafuta maisha kwao huko bara imeshibdikana, wanyamwez kibao na familia zao wanamiminika
 
Huku Bars pia Hali ni tete,ila kumejaa wanafiki wanajifanya mabo safi kama hawaoni vile
 
Inawezekana wewe hujui chochote kuhusu maisha ya z'bar alichomisema muandishi kipo sawa sawa bidhaa kwa kipindi hichi zimepanda sana mfano saruji waziri wa biashara baada kuweka mambo sawa yeye ndio kaipandisha kabisa kwa kuagiza iuzwe kwa 18 elfu baada ya 15 elfu kwa mfuko mmoja
 
Hamna kitu saivi mawaziri wake wanapiga mzigo kama kawaida, hela inatafunwa kuliko chochote rushwa na ajira za kujuana zimerud pale pale
Ok. Weka watu watano tu unaowajua waneajiriwa bila vigezo. Kuhusu Mawaziri kupiga mzigo una maanisha?...🙏🙏🙏
 
Ok. Weka watu watano tu unaowajua waneajiriwa bila vigezo. Kuhusu Mawaziri kupiga mzigo una maanisha?...🙏🙏🙏
wanapiga hela ndugu vibaya sana hakuna maendeleo
 
Mbatata saivi kg 1800
 
Hussein Mwinyi ni kijana wa Mkuranga Si mzanzibari ,ameletwa kuendeleza uvamizi Na kuuza visiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…