Mambo mengine msiwe mnatuletea hapa, mnakera sana ujue...ina maana mnataka kulazimisha watu wafanye kazi hata kama hawataki hizo teuzi zenu? Hivi mnafikiri watu wote wanapenda hizo teuzi zenu?Akapige Private? Angeomba kwanza ushauri kwa yule aliekataa U DC kwa ajili ya kazi yake Tigo ili ajue kilifuata nini?
Una-balance kutoka kwa nani kwa mfano? Kwamba unaamini kuna mtu atakubali kuwa alikuwa anamshinikiza? Yaani watu wanapoamua kuacha kazi tuanze kutafuta watu wa kubalance? Acha tuheshimu uamuzi wa Dk Shimwela hao wa kubalance najua watatuletea blah blah tu kama tulizoanza kuziona hapa .....eti ooh mara anamiliki Suzuki as if kumiliki gari maana yake ni wizi! Sawa, kwa mwendo tunaoenda nao haiwezi kushangaza tukiambiwa Dk Shimwela alikuwa mzigo au "mdokozi", lakini kwa sasa acha tuheshimu uamuzi wake mkuu busy bees!wengi wanaonekana kuegemea upande mmoja bila kuwa na uhakika hasa mashinikizo hayo ni yapi .... then kupata na taarifa ya upande huo mwingne unaolalamikiwa .....
THE FACT OF ANY ISSUE IS WHEN A STORY IS BALANCED FROM BOTH SIDES CONCERNED
Ya ukweli ipo wapi acha kutokwa povu
Kwani Ni nani kakwambia madaktari Ni maskini, hizo range akiwa Nazo kamhasibu au mwanasheria bomba daktari? Mwizi. We utakuwa ulikula kinyesi wakati unazaliwa maskini wa akiliHuyu dr shimelwa achunguzwe nilishangaa anapata wapi pesa za kununua magari ya kifahari kama vile Range rover na Suzuki tena zero kilometa kutoka cfao motors yeye kama mtumishi wa umma atuambie pesa hizi amezitoa wapi[/QUOTE
Kwani Ni nani kakwambia madaktari Ni maskini, hizo range akiwa Nazo kamhasibu au mwanasheria bomba lakini daktari? Mwizi. We utakuwa ulikula kinyesi wakati unazaliwa maskini wa akili
kwani imeshasibitika kuwa ni kweli au bado ni tetesi maana nauna watu wanachangia kama ishasibitikaNi kweli mkuu. Tupo hapa tulipo kwa sababu ya siasa uchwara za wanasiasa uchwara.
mwanahabari kazi yako wewe ni kufuatilia mabaya tu yanayofanywa na serikali,je hakuna mazuri acha unafiki mbona humsemi fisadi bosi yako ambaye hapo zamani ulikuwa huishi kumsema leo hii sababu ni bosi wako umeufyata,huna jipya mwandishi kihiyo wewe ndio maana ulifunguliwamashtaka juu ya uandishi wa uongo.Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
TETESI [emoji1]Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Amana Jijini Dar Es Salaam Dr.Shimwela amejivua madaraka hayo na kuacha kazi ndani ya masaa 24 baada ya kuchoshwa na kufanya kazi kwa mashinikizo na kufuatiliwa kila mara na vyombo vya dola, kasema ni heri afanye shughuli zake binafsi kwa uhuru kuliko hivi ilivyokuwa.
Nimechekaaaa kwa ndaniiiMganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
Mganga mkuu kachoka yani kila kukicha mara kaja mkuu wa wilaya hajakaa vizuri kavamia waziri hajakaa vizuri mara kaja katibu, hajakaa vizuri kaja Makonda na makamera.
hii nchi kila mtu anajifanya anahusika na kila kitu.
First in first outHalafu bila mpangilio, wanaweza kugongana hospitalini wote. Sasa sijui dokta atamsikiliza nani at first