Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Kama kuna asiyejua mpaka leo kuwa siasa ni unafiki basi huyo anaishi ili ale
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
Warudi tu huko Ccm watuachie chadema yetu
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
kwani huyo baba riz nae si ni msaliti tu, hana lolote, hivi watu wanadhani bila ccm hawaishi
 
Inatia raha pale Wanaccm mnapojifanya Wana CHADEMA! kupiga propaganda hasi!

So stupid!
 
confidence level ya wanasiasa wa bongo nje ya CCM ni ndogo kuliko punje ya haradali.
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
hao nyumbu niatshangaa wakikubaliwa kurudi ccm. hheri kua na wanachamaa wajinga wanajitambua na kukubali kuelimishwa kuliko watu wajinga walafi wanaoongozwa na njaa kujaza matumbo yao makubwa
 
hao nyumbu niatshangaa wakikubaliwa kurudi ccm. hheri kua na wanachamaa wajinga wanajitambua na kukubali kuelimishwa kuliko watu wajinga walafi wanaoongozwa na njaa kujaza matumbo yao makubwa
Umeongea pumba tupu
 
hehe! mimi nasema wasipokelewe wabaki hukohuko
Hao waendelee kuzungusha mikono ya Lowasa mabadiliko. Wakipokekewa mwishowe yule aliyesema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo ataomba arudi
 
Dr Slaa Hana Laana itayoishika chadema hata siku moja Kwa sababu yeye aliondoka chadema Kwa njia Haramu baada ya kununuliwa na Membe Kwa dola milion 2 pesa za NIDA pamoja na zile za marehemu Gadafi ambazo Membe kazichimbia kwenye Handaki nyumbani kwake. Hakuna Laana hapo Slaa mwenyewe ni msariti hapo hapo ni mnafiki mkubwa maana yeye ndiye aliratibu kila kitu kisha akageuka baada ya kununuliwa na Membe.
PALEKA MHAKAMANI HUU USHAHIDI WA MEMBE, KWANINI CHMA CHA HAKI KAMA CHADEMA MTETEZI WA WANYONGE, KISIMSHITAKI MEMBE NA USHAHIDI WOTEE HUU!
 
Back
Top Bottom