Wewe unajiita zitto junior, Zitto original amewahi kuandika humuhumu JF akiwa naibu katibu mkuu wa chadema, kuwa hao wahuni wakithubutu kumfanyia kama walivyomfanyia Wangwe, hata mende kwenye vyoo vyao hawatasalimika. Was he stupid?Huwa nakuona makini sijui Leo kwanini umetumia speculations? Kama Mbowe ni mkatili Mdee ange survive? Hao waliomtukana bungeni kina Lijualikali na Silinde wange survive?
Hiki chama Cha kanda ya kaskazini chini ya wachaga Bora life tuWengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada...
Uzuri ni kuwa hizo propaganda zinawafurahisha wenyewe sawa na mtu anayepiga punyeto akijua kuwa anajiongopea mwenyewe kuwa anakula mzigo.Umeandika Kweli kuhusu Mnyika kutokuwa na upande au kutabirika na hujui sababu!!!
Anyway mengine ni SIRI za CDM,
Nawashauri CHADEMA wafanye pia propaganda japo Kwa uchache, maana Lumumba wamewekeza sana huko.
Na wewe umeungana na Sukuma Gang kwenye huu uzushi.Kwanza Mnyika Kwa Sasa amekonda na huenda akawa anawazia kwenda ccm
Mods wako na Sukuma Gang kupandikiza mgogoro Chadema.@Moderator kuacha uchafu kama huu jukwaani ni sawa na kutaka kuharibu amani ya nchi
Hata kuwaza tu huwa siwazi kuwa kuna siku Lissu, atamkosea adabu Mbowe, hasa ,hasa alivyookoa maisha yake! Sidhani kama Lissu, na sisi tunaompenda, tunaweza kuonyedha ukosefu wa shukraan kwa Mbowe!ujinga tu huo, hamtaweza kukigawa chadema mtandaoni, kwa kuwa hakikujengwa mtandaoni.
kwa namna mbowe alivyookoa uhai wa lisu na pia jinsi alivyojitoa maisha yake kiuchumi na kiuhai hakuna mtu tanzania hii awe wa ccm au mpinzani anaeweza kumfikia mbowe na hakuna.
umetumwa na limtu uje kujaribu watu huku nyoko wewe
Yaani watu wengine bure kweli. Huyu mzee mgojwa na amesahau kila kitu kwa ugojwa wake leo hii ataweza vipi kuongea mambo ya siasa wakati nasikia hata jina lake hakumbukiš¤! Tuache kuzusha vitu ambavyo havipoWengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada...
meambiwa mjibu hoja za chadema, saa ndiyo majibu hayo? Today nilikuwa na Lisu , Mbowe in cordial mood!Usiogope
Utajua hujui soon meku!
Hata muachukie bado haitaondoa ukweli kwamba magufuli alikuwa muuaji na mwizi wa pesa za umma.
propaganda za kijingaWengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.
Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.
Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.
Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".
Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.
My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.