Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
Pumbavuuu!!
 
Miafrika inajua madaraka ni kuiibia nchi badala ya kuijenga

Wote wanaotamani madaraka ya juu sio kuwa wana nia njema na masikini bali wana nia njema na matajiri tu
Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Siku si nyingi chadema mtakuja hapa jukwaani kumuomba msamaha mwendazake baada ya kujua aliyetaka kumuua lissu ni nani.
 
Magufuli alisema atahakikiha anaiua chadema, limekufa limeiacha inashamiri kenye mioyo ya wapenda haki! bawe utakufa utaiacha kama magufuli
Kauli ya kipumbavu sana hii. Wewe utakufa pia, utaondoka na chadema?
Jinga sana.
 
Ni chama gani basi kimtimiza hayo?😀😀😀😀😀😀 CCM? Chawa mnahangaika san; mnalo mwaka 2024 &2025! Sidhani kama propaganda zitasaidia maana Chadema kimesajiliwa kwenye mioyo ya watanzania na si kwenye makaratasi au propaganda kama zenu! Poleni sana! Magufuli alisema atahakikiha anaiua chadema, limekufa limeiacha inashamiri kenye mioyo ya wapenda haki! bawe utakufa utaiacha kama magufuli
Magufuli alikuacha ukiwa na mimba ya miezi mingapi?
 
Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
Yaani kusubiria ugomvi utokee ndani ya chadema ni sawa na kusubiria TREN ndani ya airport..
IMG-20230202-WA0016.jpg
FB_IMG_16751504591944234.jpg


Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Uzushi mpya baada ya ule wa CHADEMA imekufa kufeli badala yake MUUAJI wa CHADEMA akafa yeye chawa wa mama kazi hamzijui mnakula posho za bwelele .
 
Hizi drama za kujaribu kupandikiza mgogoro Chadema ni kazi ya Sukuma Gang kujaribu kupoza makali ya sakata la kashfa ya plea bargain ambayo imemvua nguo mungu wao na wapambe wake. Huyu dhalim aliwaaminisha wajinga kuwa alikuwa mtetezi wa wanyonge kumbe lilikuwa jizi lililokubuhu. Aliyeibua uozo huu ni Rais Samia sasa kwa vile Sukuma Gang hawawezi kumvaa mama direct ndiyo wameamua kuhamishia ugomvi wao Chadema. Mh. Rais kanyagia hapo hapo lazima kila ubaya ulipwe hapa hapa duniani. Poleni sana Sukuma Gang legacy ndiyo hiyoooo inayoyoma. Wezi na wauaji wakubwa nyie
 

Attachments

  • JamiiForums1190257988.jpeg
    JamiiForums1190257988.jpeg
    69.9 KB · Views: 1
  • IMG-20230201-WA0000.jpg
    IMG-20230201-WA0000.jpg
    20.5 KB · Views: 1
CHADEMA kuweni macho na LISSU. Nimeshawatahadharisha mara nyingi sana, msiponisikiliza mtakiingiza chama kwenye mgogoro mkubwa sana.

Ninachokiona mimi kama LISSU atafumbiwa macho si tu kugawanyika kwa chama bali kundi moja kuhama chama na kuanzisha chama kingine. Asilimia 50 ya wanachama wa CHADEMA watagawanyika na kuhamia chama kipya.
Hatuhitaji ushauri toka kwa shetani . Kama wewe ni mshauri mzuri basi washauri Sukuma Gang na Msoga Gang wawe kitu kimoja
 
Back
Top Bottom