Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
CHADEMA kuweni macho na LISSU. Nimeshawatahadharisha mara nyingi sana, msiponisikiliza mtakiingiza chama kwenye mgogoro mkubwa sana.

Ninachokiona mimi kama LISSU atafumbiwa macho si tu kugawanyika kwa chama bali kundi moja kuhama chama na kuanzisha chama kingine. Asilimia 50 ya wanachama wa CHADEMA watagawanyika na kuhamia chama kipya.
 
Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
Habari nchini ni hii haya mengine mnataka kupoza joto tu.
FB_IMG_1675369226000.jpg
 
Wewe unajiita zitto junior, Zitto original amewahi kuandika humuhumu JF akiwa naibu katibu mkuu wa chadema, kuwa hao wahuni wakithubutu kumfanyia kama walivyomfanyia Wangwe, hata mende kwenye vyoo vyao hawatasalimika. Was he stupid?

Labda naye bila ule mkwara tungeshamsahau.
Unamwamini Zitto , Mpinzani Pekee aliyebaki bungeni kusikiliza Magufuli akizindua bunge ?
 
Ni upuuzi wa hali ya juu, watu kutumia akili ndogo ya kiwango cha kusoda, wakiamini kuna wajinga wanaoweza kuamini tungo za kijinga kutoka kwa watu wajinga wa kiwango cha huyu mleta mada.

Hata uhangaike vipi, wachukue na ukoo wako wote mkashughulike kumgombanisha Lisu na Mbowe, hamtafanikiwa kamwe. Hawa ni watu wwnye principles. Jiwe alihangaika kweli amhadae Mbowe na Lisu kwa cheo na pesa, vyote alishindwa. Akawatesa kupindukia, akashindwa. Baadaye akaamua amwue kabisa Lisu, nalo akashindwa. Sembuse ninyi msio na mbele wala nyuma, mnaamini mnaweza kuwagombanisha? Mtagombana na kukorofishana ninyi ukoo wenu wote, mshindwe hata kusalimiana, lakini Mbowe na Lisu hawatagombana, maana kila mmoja anaujua upendo na uaminifu wa kiwango cha juu wa mwenzake.
 
Wewe unajiita zitto junior, Zitto original amewahi kuandika humuhumu JF akiwa naibu katibu mkuu wa chadema, kuwa hao wahuni wakithubutu kumfanyia kama walivyomfanyia Wangwe, hata mende kwenye vyoo vyao hawatasalimika. Was he stupid?

Labda naye bila ule mkwara tungeshamsahau.
Kwamba Zitto amtishe Mbowe 🤣🤣🤣 acheni utani. Mbowe kma angekua mafia Zitto angeshamalizwa kitambo. In fact hata gari ya kampeni alitumia ya Mbowe so angeweza hata kuitegea bomu ikammalize mbele kwa mbele.
 
Haikusaidii lolote, Hilo limefeli tafuta lingine. Bladifaken bastard haikusaidii
Ndio ukweli sio kwamba aisaidii lolote uwongozi sio lele mama uwongozi nikipawa uwongozi ni mikakati uwongozi ni uvumilivu ukileta tamaa kwenye uwongozi unakwenda kuangamiza haki na ndoto zawaTanzania walio wengi

Ukweli Chadema wamekoswa msimamo sio leo hapana bali toka kuundwa chama hiki ndani ya mfumo wa vyama vingi iki chama akijawahi kuwa chama chenye mikakati dhidi ya maisha ya watanzania ukijaribu kukifatilia kwakina Chadema imekuwa km taasisi inayo elekeza na kufundisha upuuzi wenye kubomoa ndoto zaviongozi wengi wenye malengo na mipango mizuri dhidi ya Taifa hili
 
Haya niliyasema ila wabishi wanashupaza shingo kama kawaida.

Kwanza kupotea kwa baadhi ya wanachama wao huwa wanatupia lawama ccm kama camouflage ila wenyewe wanajuana.

Acha panyeshe tujue panapo vuja. Mama ameupiga mwingi🤭🤣 wanachapana viboko wenyewe.

Kulia kupokezana, chama kilishakufa wanang’ang’ania tu saizi nani azikwe wapi🤣
 
Haya niliyasema ila wabishi wanashupaza shingo kama kawaida.

Kwanza kupotea kwa baadhi ya wanachama wao huwa wanatupia lawama ccm kama camouflage ila wenyewe wanajuana.

Acha panyeshe tujue panapo vuja. Mama ameupiga mwingi[emoji2960][emoji1787] wanachapana viboko wenyewe.

Kulia kupokezana, chama kilishakufa wanang’ang’ania tu saizi nani azikwe wapi[emoji1787]
Nyie ni maskini wa propaganda!.
 
Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
DUA za Lumumba hizo toka kitengo cha Propaganda. Unajitahidi.
 
Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
Kusubiri mgogoro CHADEMA ni sawa na kupanda Mahindi kwenye tiles.
20230203_051827.jpg
 
kuwa chama chenye mikakati dhidi ya maisha ya watanzania
Ni chama gani basi kimtimiza hayo?😀😀😀😀😀😀 CCM? Chawa mnahangaika san; mnalo mwaka 2024 &2025! Sidhani kama propaganda zitasaidia maana Chadema kimesajiliwa kwenye mioyo ya watanzania na si kwenye makaratasi au propaganda kama zenu! Poleni sana! Magufuli alisema atahakikiha anaiua chadema, limekufa limeiacha inashamiri kenye mioyo ya wapenda haki! bawe utakufa utaiacha kama magufuli
 
Wengi tuliamini kuwa kuondolewa kwa zuio la mikutano ya kisiasa ya hadhara ingekuja na neema na utulivu wa kisiasa lakini hali imekuwa tofauti baada ya viongozi waandamizi Chadema kutofautiana kimtazamo huku kundi moja linaloongozwa na John Heche kutaka Tundu Lissu ndiye awe M/Kiti wa chama na Mbowe arudi nyumbani.

Kundi lingine linalodaiwa kuongozwa na Halima Mdee aliyefukuzwa uanachama na wenzake 18 bado wanaomuona Mbowe kama nguzo ya Chadema. Aidha, taarifa kutoka ndani ya makundi hayo kupitia group la WhatsApp la kundi la kwanza likijiita "Mageuzi 2025" wanamshutumu Mbowe kukiuka Katiba ya chama na kuifanya chama hicho kuwa mali yake na familia.

Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya Mbowe kunusa taarifa hizo baada ya kuletewa screenshot za mawasiliano ya kundi linalompinga na kudai amelamba asali bila kuwaonjesha wenzie kina Msigwa, amemshitutisha Lissu kukanusha kuwa hana mpango wala hajawahi kuoa kuwa hata Makamu M/Kiti lakini aliombwa na chama. Kauli hii imemuudhi mno Mbowe na kuona kwamba kumbe aliombwa pia kuwa Mwenyekiti wa chama hicho basi Mbowe hana chake.

Taarifa kutoka kwenye familia ya Mbowe zimedai kwamba baada ya Mbowe kuomba ushauri wa kimkakati muasisi wa chama hicho ambaye pia ni babamkwe wake Edwin Mtei, Mzee huyo alimjibu mkwewe kifupi na kumwambia "call him here". Tayari Lissu ameitwa na Mtei na logistic itakayotumika ni "kwenda kumpa pole Mtei Kwa kufiwa na mkewe Mbowe akiwa jela".

Hata hivyo familia ya Lissu wakiongozaa na kaka yake Aluta wamemtahadharisha Lissu kuwa makini na Mbowe huku wakimkumbusha ya Chacha Wangwe. Inaelezwa kuwa aliyebaki bila upande ni John Mnyika na haijulikani ni kwa nini.

My take: Chadema nyumba mnayoijenga ni moja ya nini kugombania fito kiasi Cha kutoaminiana maana mwisho mtauana. Nawasilisha.
Blah blah bila ushahidi wa hizo screen shot za kwenye group, ni maneno matupu hayo, weka ushahidi watu waamini siyo hizi siasa maji ya tope
 
Back
Top Bottom