Huyu Dada alitoa jina ila tume walirudisha jina,na mtatiro wala hajalalamika,na alipendekeza Dada apewe viti maalum, wala Dada hana kosa tume ndiyo waliogoma kutoa jina
Huyu dada kuna wakati alikuwa akizunguka kivyake,mi nipo segerea,kama alijitoa haya mabango yake pia tume walimuwekea huku mtaani?alikuja kuzunguka na mtatiro mwishoni baada ya watu kwenye mitandao kulizungumzia hili tatizo chadema walikuwa na waroho wengi,nimeona sehemu nyingi walipocmama cuf,chadema pia wapo,ila walipocmama chadema ,cuf wanaheshimu,nilitoka mheza b4 uchaguzi nikakuta mambo ni hayo hayo na jimbo limepotea