paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Avae wapi? Yale Yale ya kumsema Lowasa fisadi papa mwisho wa siku akagombea Uraisi kupitia Chama Chao!Kwanza alivaa barakoa?
Three solid years..hakuna hata.mtuMungu amlinde Tundu Lissu maana hata Sasa hamna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa shambulio la Tundu Lissu
Kamanda tutumie picha za mafuriko ya dodomqWe baki na miimvi yako
Hata miji midogo inayoanza kukua hawapimi viwanja, badala yake watu wanauziana viwanja pasipo kupimwa , unategemea nini kama siyo squatters zingine? Yaani kweli bongo under this system ni bahati mbaya.Sijaelewa swali lako. Unamaanisha kuvunjiwa nyumba au kukosa makazi ili eneo lipangwe???
Kama ni kuvunjiwa nyumba ndio, Nipo tayari.
Kama kukosa makazi hapo ndo sipo tayari!! Ninamaanisha nini kusema hivi???
Katika kutengeneza mipango miji na makazi bora, hili jambo linaweza kufanywa kwa hatua na likafanikiwa hakika!!! Litafanikiwaje???
Kama nchi tuna maeneo ambayo hayajaendelezwa, tunaweza kusema tunajenga nyumba za wakazi 5000- 10000 kwenye eneo ambalo likizo wazi tuliloamua kuliendeleza na tukishamaliza tunawahamishia Mf. Wakazi wa tandale kwenye eneo hilo. Tukiwahamishia tunachofanya sasa ni kupabomoa pale tandale tulipowatoa watu na kupajenga kisasa. Tukimaliza kupajenga hapo tunawahamishia wengine ambao tutaenda kupabomoa kwao ili kupajenga na kupapanga vizuri.
Tatizo CCM mmeishiwa watu wenye akili mmeishia kuwa na watu wasio na akili wanaowaza matumbo yao.
Haya mambo ni CHADEMA tu wanaweza kuyafanya kwa ufanisi
Ndo maana katiba yetu haiwezi kubadilishwa bila damu kumwagika maana ccm inapendwa sanaKuna tatizo mahali...mitandaoni cdm kinatoa mwanga na matumaini ya ushindi.
Kwenye kura sasa! Kila mtu na analolijua moyoni mwake.
Sijui upinzani unafeli wapi.
Kwani kura zikipigwa hazihasabiwi? Wakala wako anashuhudia kura ikitumbukizwa, anashuhudia uhesabuji na anapewa nakala ya fomu ya matokeo. Mnaweza kujumlisha na kulinganisha na kilichotangazwa. Katika dunia ya leo usipojitahidi kujenga uwezo wa kufikiri critically na badala yake ukaruhusu kuongozwa na mihemuko utapata taabu sana. Wewe endelea kuamini unaibiwa lakini mradi usichezee amani.Uchaguzi hausimamiwi na rais bali tume ya uchaguzi, anaahidi yeye kama nani wakati tunajua fika kuwa yeye ndio huwa anaagiza box la kura linajisiwe?
Hakuna uwezekano wowote wa ccm kushinda hata kama itashinda kwa zaidi ya 60%. Na hata hizo 60% ccm itafikisha kwa sababu tume sio huru, na kila taasisi ya nchi hii inadhani ina wajibu wa kuibeba ccm itangazwe washindi fullstop.
Imekuingia hiyo naona kinena kina nepa nepa tuu!! Ni Lissu pombe mwisho kaunta.Ni mafuriko dodoma,,
Haha
Kuna sababu 1000 za kuiondoa CCM madarakani mwaka huu ndugu. Lissu ndo jibuHata miji midogo inayoanza kukua hawapimi viwanja, badala yake watu wanauziana viwanja pasipo kupimwa , unategemea nini kama siyo squatters zingine? Yaani kweli bongo under this system ni bahati mbaya.
Hivyo viwanja unavyotaka vipimwe ni mashamba ya watu ndimo wanapata riziki zao na ndio chakula unachokula kinazalishwa. Matumizi ya ardhi sio kwa ajili ya kitu kimoja tu.Hata miji midogo inayoanza kukua hawapimi viwanja, badala yake watu wanauziana viwanja pasipo kupimwa , unategemea nini kama siyo squatters zingine? Yaani kweli bongo under this system ni bahati mbaya.
Cha kufanya ni kuhakikisha tume inatenda haki.Niko area D watu wabugujika machozi ya furaha kwa kutaka kumuona Mh, Lissu ..aaah Magufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia ,nadhani hii coalition yake na Tlp ndo itamsaidia kuingia top 5
Pamoja na maendeleo aliyoyaleta,Kaburu afrika kusini haikua nchi yake, ndo maana wazawa walikua na sababu ya msingi ya kupigania uhuru wa kujitawala na kupinga ubaguzi wa rangi. Sasa unataka hapa Tanzania Mimi nipinge nini labda? Tunajitawala wenyewe na maendeleo yanafanywa nasisi wenyewe.
Tukana mengine tena!Imekuingia hiyo naona kinena kina nepa nepa tuu!! Ni Lissu pombe mwisho kaunta.
WAANGALIE VIZURI HIYO FOMU NA WAANDIKISHIENE HADI IDADI YA KURASA NA RANGI YA FOMU, HAO JAMAA WA NEC HAWACHELEWI KUJA KUSEMA LISSU AMERUDISHA FOMU FEKI KWA KUWA HAINA UKURASA WA 3 NA IMEGONGWA MUHURI UNAOONYESHA YUPO UBELGIJI. MARA OOOH FOMU ZA NEC TULIZOMPA ZILIKUWA NA RANGI ZA TAIFAILA HII ALIYORUDISHA HAINA. USHINDI WA CCM HUWA NI MKUBWA NJE YA BOX LA KURA. WANA MSEMO WAO KUWA NDANI YA BOX LA KURA HAKIJULIKANI KILICHOMO. TUKIJUACHO NI KILE TUNACHOKIONA NJE. KUWENI MAKINI SANA NA RAFU ZA CCM NJE YA SANDUKU LA KURA. YULE MZEE HAPENDI USHINDANI KABISA.Kutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais.
===
Tundu Lissu leo kwa Mara ya kwanza anarejea katika mji wa Dodoma akienda kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea Urais. Ikumbukwe Tundu Lissu mara ya mwisho kuondoka katika mkoa huu ni baada ya kupigwa risasi.
Fuatilia baadhi ya matukio na picha mbalimbali za tukio hilo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Tundu Lissu akiwa amewasili katika Ofisi za CHADEMA Kanda ya Kati zilizopo jijini Dodoma na kupokelewa na viongozi mbalinbali wa Chama, wanachama, wapenzi na mashabiki wa CHADEMA, kabla ya kuelekea Ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu, leo Jumamosi 08/08/2020.
====
TUNDU LISSU AFIKA OFISI ZA NEC KUCHUKUA FOMU YA UTEUZI
View attachment 1530861
View attachment 1530862
View attachment 1530863
Mgombea Urais Tanzania kupitia Chama cha CHADEMA, Tundu Lissu amefika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu ya Uteuzi ya kugombea Urais
Lissu amefika katika Ofisi hizo na Mgombea Mwenza Salum Mwalim huku wakiwa wamesindikizwa na Wanachama wengine. Wamekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage
Uchukuaji fomu za kugombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 umeanza Agosti 5 hadi 25,2020.
Lissu amechukua fomu, wamezihakiki na kujiridhisha kisha wameondoka katika Ofis za NEC ili kuendelea na taratibu nyingine za kichama.
#JamiiForums #Siasa #JFSiasa #Uchaguzi2020
Samahani una elimu gani??? Mbagala kuna mashamba??? Tandale kuna mashamba?? Manzese kwa mfuga mbwa Kuna mashamba??? Mbeya kwenye zile squatters kuna mashamba??? Mwanza kule milimani watu wamejenga bila vyoo hovyo Kuna mashamba?????Hivyo viwanja unavyotaka vipimwe ni mashamba ya watu ndimo wanapata riziki zao na ndio chakula unachokula kinazalishwa. Matumizi ya ardhi sio kwa ajili ya kitu kimoja tu.
Yeye ameongea kama mkuu wa nchi. Hayo mengine unayosema wewe ni siasa za kawaida sana.
Sasa tukiwambia humu kwamba ccm iko imara mbona knabisha?Ndo maana katiba yetu haiwezi kubadilishwa bila damu kumwagika maana ccm inapendwa sana
Mkuu ningeshangaa sana Kama Kuna mwanaccm angeleewa nilichoandikaSasa tukiwambia humu kwamba ccm iko imara mbona knabisha?
Umeona kwanza mafuriko yq Lisu dodoma kwenye kuchukua forom?
[emoji3][emoji3][emoji3]