Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Leo ukiwauliza wapenzi wa Lissu wakupe hoja ambazo zitamfanya Lissu kumshinda JPM sidhani kama atakupa mwenyewe Lissu mpk leo hakuna solution aliyosema kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi zaidi ya kupiga kelele na kutoa lawama tu.
Hajo zipo jukwaani kampeni ikianza unataka hoja mda huu mje kusema Lisu kaanza kampeni kabla ya mda? Subiria hoja kwenye kampeni utasikia mengi yaliyofichwa pindi mtukufu kazuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba kwa mda wa miaka mitano.
 
Kichwani una mawenge ya lissu, kwanini kuniwekea maneno kinywani mwangu?
Mkuu kwani aliyesema tatizo la ajira nila dunia nzima ni nani? Au umeshasahau ulichoandika?
 
Kura zimeibiwa excuse inakuja soon....
 
Kawadanganye mazuzu wenzako huko lumumba
 

Mbaya zaidi maneno haya ya kibaguzi yanatamkwa na Rais wa nchi yetu mara kwa mara na amekuwa akiyarudia.
Waafrika tukienda Ulaya wakituita Nyani tunachukizwa na huu ubaguzi. Huku kwetu bado tunaendeleza huu ubaguzi. (Tafsiri ya neno Beberu ni Mbuzi Dume, iweje leo tunawaita hivyo Binadamu wenzetu) Tuna kiongozi wa hovyo kwakweli.
 
Walizoeshwa vya kunyonga, sasa wanaambiwa wachinje wanaanza ngonjera
Tafuta kazi ya kufanya mkuu , ccm mwisho wake oct 28 , ni masikitiko sana ! hasa kwa nyie mliokuwa mnalopiwa hadi kodi za nyumba .
 
Kwani Tanzania kuna corona?
Ajira hakuna, korona ndio imeongeza tatizo kabisa hilohalina ubishi zaidi ya hapo ni propaganda za kuomba kura , hilo halina ubishi, #hamna jipya chini ya jua .
 
Mkuu kwani aliyesema tatizo la ajira nila dunia nzima ni nani? Au umeshasahau ulichoandika?
Ajira ni tatizo la kidunia , vinginevyo wazee wa kupiga dili wawadanganye kwa kuiuza nchi kwa mabeberu , Tid anawatafuta.
 

Cdm hawahitaji upendo wako. Hakuna mwanacdm anaisema vibaya nchi bali mwenendo mbaya wa serikali, na hili litafanyika popote pale duniani. Jifunze tofauti ya serikali na nchi. Serikali inaheshimiwa, lakini haimaanishi serikali na Mungu hivyo haiwezi kukosolewa, kupingwa nk. Inaonekana kwako rais ni Mungu ndio maana unajipa haki ya kuzuia yeye kukosolewa. Hii ni kwasababu una maslahi binafsi na madaraka yake. Kazi ya cdm ni kukosoa serikali kwakuwa wao ni wapinzani, hiyo kazi ya kusifia na kusujudia wasisitizeni NCCR, CUF, TLP nk ndio wawafanyie.
 
Kiukweli nyomi lilikuwa kubwa hadi watu wakakosa pa kukanyaga na picha na video zimepigwa ila haziwezi kuwekwa hapa maana zote zimeliwa na virus.
 
Ndoto za mchana bana!! Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…