johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Endelea kukariri bwashee.Kuna tetesi kwamba baadhi ya wakuu wa idara fulani fulani wameishaanza kuandika barua za kujiuzulu , wanaogopa utawala mpya wa Rais Lissu
Kama tume ni ya baba mkwe wako hapo sawa.
Hajo zipo jukwaani kampeni ikianza unataka hoja mda huu mje kusema Lisu kaanza kampeni kabla ya mda? Subiria hoja kwenye kampeni utasikia mengi yaliyofichwa pindi mtukufu kazuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba kwa mda wa miaka mitano.Leo ukiwauliza wapenzi wa Lissu wakupe hoja ambazo zitamfanya Lissu kumshinda JPM sidhani kama atakupa mwenyewe Lissu mpk leo hakuna solution aliyosema kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi zaidi ya kupiga kelele na kutoa lawama tu.
ulalamishi ndio silaha ya upinzani asingejenga mngelalamika pia, hamna jipya chini ya jua.
Mnatafutwa na Tid.Jiandae kuhamia kwenu koromitdje
Hahhaha.. Ataapishwa kuwa rais wa nyumbu
Mkuu kwani aliyesema tatizo la ajira nila dunia nzima ni nani? Au umeshasahau ulichoandika?Kichwani una mawenge ya lissu, kwanini kuniwekea maneno kinywani mwangu?
Wahitimu vyuo vikuu na sekta zinginezo hawana ajira, na wachache wanaajiliwa kwa upendeleo na hira.
Wafanyakazi hawakupandishwa mishahara wala kupewa nyongeza ya mwaka iliyopo kisheria kwa miaka5.Wametukanwa na kudhalilishwa hadharani.
Wakulima wamepolwa mazao yao, bei ya mazao imeshuka na wakulima kutishiwa kupigwa wao na Shangazi zao.
Wafanya biashara wamepokwa Mali zao, biashara zinasua sua na wafanya biashara wengine wameswekwa rumande mpka sasa na hakuna hukumu iliyotolewa kama kweli ni waharifu miaka5 mtu yupo mahabusu hakuna ushahidi lakini amefungwa kibabe.
Raia wameuwa, kupotezwa na kuteswa kikatili.
Ni mtanzania wa aina gani ambaye hana Akili atachagua Utopolo huu wa CCM.
Safari hii tunamchagua Mtanzania mwenzetu anaye jali utu wetu, tamaduni zetu, haki zetu na Uhuru wetu.
Hatuwezi kumchagua mtu anaye jali madaraja au reli kuliko utu wetu na Uhuru wetu.
Makaburu wa Afrika kusini walijenga barabara, madaraja ya juu, reli tena bora kuliko hivi anavyo jenga Magufuli.Lakini Tanzania tulikuwa mstari wa mbele kuwasaidia Afrika Kusini kupigania haki yao ya Uhuru.
Tuliamini kuwa Uhuru wa mtu unazidi thamani ya vitu. Hata wakoloni hapa Tanganyika walijenga reli, shule, barabara na mengine mengi mazuri. Lakini tuliwaondoa kwa kuwa hawakutupa uhuru wetu. Hatuwezi kurudishwa utumwani tena mara ya pili.
Maendeleo hayana vyamaa.
Tusidanyane na wala msijifariji!.Kiuhalisia ni ngumu sana kukataa jitihada za rais Magufuli ni mtu aliyeifanyia mambo makubwa sana Tanzania na anahitaji muda zaidi ili taifa letu liendelee kupiga hatua kubwa zaidi.
Ukiangalia kiuwalisia Lissu pia ni mtu mwenye uweledi kutokana na elimu yake ya sheria lakini ni mapema mno kwasasa kwa yeye kuingia madarakani ingempendeza zaidi angegombea 2025.Ila kwa Sasa ni anatafuta sympathy tu, kura atakazo pata ni chache sana huo ndo ukwel mchungu. Yaan mtu kakaa Belgium huko miak 3 alafu simply eti anagombea Urais kisa alipigwa risasi kwamba ataonekan shujaa na kupata kura za huruma!. Never ! Urais sio kama kuokota dodo chini ya muembe.
Umaskini upo kichwani mwako, Africa nzima tunaitwa ni maskini , ni ccm wamesababisha?Ccm mmetutia umasikini kwa zaidi ya miaka 60
Ni ajabu sana kwamba unaweza kumtaja Mwenyenzi Mungu na kuwaita MABEBERU (kwa herufi kubwa) watu ambao wameumbwa kwa sura na mfano wa huyo Mwenyenzi Mungu!!
Watu hao unaowaita MABEBERU wanachangia asilimia kubwa ya budget yetu ya kuendesha serikali na miradi ya maendeleo, na siku hizi wakitua KIA, mawaziri wanatupa takwimu!!😂 lakini kuweza kumtaja Mungu na kuita wanadamu wenzako MABEBERU, Wewe ni genious!!😂
Tafuta kazi ya kufanya mkuu , ccm mwisho wake oct 28 , ni masikitiko sana ! hasa kwa nyie mliokuwa mnalopiwa hadi kodi za nyumba .
Ajira hakuna, korona ndio imeongeza tatizo kabisa hilohalina ubishi zaidi ya hapo ni propaganda za kuomba kura , hilo halina ubishi, #hamna jipya chini ya jua .
Ajira ni tatizo la kidunia , vinginevyo wazee wa kupiga dili wawadanganye kwa kuiuza nchi kwa mabeberu , Tid anawatafuta.Mkuu kwani aliyesema tatizo la ajira nila dunia nzima ni nani? Au umeshasahau ulichoandika?
Sawa mkuu. Mimi binafsi nawapenda sana cdm lakini mujitahidi sana kuwa wazalendo kwa mama Tanzania. Kuisema vibaya Tanzania nje ya mipaka sio jambo poa. Lakini jitahidini kuheshimu mamlaka za kiserikali.utovu wa adabu kwa mhe rais, hii kitu sio nzuri.
Kenya ipo corona wana haha kama nini.Kwani Tanzania kuna corona?
Ndoto za mchana bana!! LolWahitimu vyuo vikuu na sekta zinginezo hawana ajira, na wachache wanaajiliwa kwa upendeleo na hira.
Wafanyakazi hawakupandishwa mishahara wala kupewa nyongeza ya mwaka iliyopo kisheria kwa miaka5.Wametukanwa na kudhalilishwa hadharani.
Wakulima wamepolwa mazao yao, bei ya mazao imeshuka na wakulima kutishiwa kupigwa wao na Shangazi zao.
Wafanya biashara wamepokwa Mali zao, biashara zinasua sua na wafanya biashara wengine wameswekwa rumande mpka sasa na hakuna hukumu iliyotolewa kama kweli ni waharifu miaka5 mtu yupo mahabusu hakuna ushahidi lakini amefungwa kibabe.
Raia wameuwa, kupotezwa na kuteswa kikatili.
Ni mtanzania wa aina gani ambaye hana Akili atachagua Utopolo huu wa CCM.
Safari hii tunamchagua Mtanzania mwenzetu anaye jali utu wetu, tamaduni zetu, haki zetu na Uhuru wetu.
Hatuwezi kumchagua mtu anaye jali madaraja au reli kuliko utu wetu na Uhuru wetu.
Makaburu wa Afrika kusini walijenga barabara, madaraja ya juu, reli tena bora kuliko hivi anavyo jenga Magufuli.Lakini Tanzania tulikuwa mstari wa mbele kuwasaidia Afrika Kusini kupigania haki yao ya Uhuru.
Tuliamini kuwa Uhuru wa mtu unazidi thamani ya vitu. Hata wakoloni hapa Tanganyika walijenga reli, shule, barabara na mengine mengi mazuri. Lakini tuliwaondoa kwa kuwa hawakutupa uhuru wetu. Hatuwezi kurudishwa utumwani tena mara ya pili.
Maendeleo hayana vyamaa.
Usipanic lisu atakuwa rais wa mioyo yenu nyie nyumbu kama ilivyokuwa kwa LowasaNyumbu ni wewe na walio kuleta hapa duniani.
Ahahahah! Mimi sio nyumbu ujue. By the way, njoo hapa Nanenane Nyamhongolo unywe angalau bia mbili tatu na kitimoto! Ahahahahahah!Lissu ndiye rais wako ebu kuwa na heshima wewe "taga"