Elections 2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

Elections 2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

Asante kwa mchango wako kiongozi; Nia yangu katika hatua ya mwanzo ilikuwa sio kuelezea sifa za hawa wawili bali sababu kwanini nadhani matukio ya sasa yatapelekea kuwa top three kwenye kinyang'anyiro hicho; Lissu nimemtaja kwa makusudi kama njia ya kuchokoza mada, hasa kuonyesha kwamba jina lako kupita CCM haitakuwa automatic kushinda Urais, hasa iwapo Chadema watafanyia kazi mambo kadhaa niliyojadili hapa na kwingineko; Vinginevyo nchi yetu inahitaji rais ambae:

1. Ana msimamo unaoeleweka juu ya muungano, hasa wenye kuweka maslahi ya Tanganyika na Tanzania kwa pamoja, na hafichi msimamo wake kwa kuogopa kuangamia kisiasa kwa kudai Tanganyika ndani ya Tanzania;
2. Ambae atakuwa ana heshimu utawala wa sheria;
3. Ambae atakuwa mkali juu ya ufisadi/rushwa;
4. Ambae ataendana na demographics zilizipo sasa katika population i.e. taifa kuwa ni la vijana;
5. Ambae anaonyesha uwezo wa kujenga hoja kuhusiana na maslahi ya taifa nje na ndani ya bunge;
6. Mwenye elimu, uelewa na pia upeo juu ya masuala la kisiasa, kijamii, kiuchumi, na kisheria, ndani na nje ya nchi;
7. ETC

Lissu anatosha katika mengi kama sio yote juu ya haya, na ni vizuri wagombea wa CCM muda ukifika nao wao tuwapime kwa haya na mengineo;

Add the eighth (8th) last point: Tundu Lissu is neutral and acceptable to all religious denominations ---- the prevailing situations qualifies only a person of that personality.
 
Mchambuzi naona leo umepitiwa tena sana tu, hivi January Makamba ana umri gani na aliwahi lini kupigiwa kura na Wananchi?

Kanda ya kusini haiwezi kutoa Rais tena kwa mara ya pili sawa na Muislamu hawezi kuwa Rais baada ya Kikwete. sorry for my Ignorance lakini huo ndio ukweli, atakayeniona mdini shauri yake lakini sifa ya kwanza ya Rais ajaye ni lazima awe Mkristo.

Ni muhimu ukasoma vizuri bandiko langu namba moja uelewe maudhui yake ni nini;
 
Mkuu Mchambuzi kwanza kabisa Heshima yako, analysis yako ni nzuri, kwa upande wangu naona kwa sasa inatosha tumeshaona udhaifu wa kuwa na Kiongozi asiye na msimamo, mfano Kikwete, Its enough. Tunahitaji Kiongozi atakaye restore Uzalendo, kutokomeza rushwa tunajuwa ni kazi ngumu lakini aonekane yupo serious kwa vitendo katika kupiga vita rushwa, kuzilinda rasilimali zetu za nchi, awe na heshima na unyenyekevu juu ya wananchi na awe anatujali kwa muda wote asiwe Waziri wa mambo ya Nje kama tulienaye kwa sasa.

Sikubaliani na wewe kusema kuwa January na Membe wanaweza kupiga vita ufisadi, hao ni Copy and Paste ya Mr. Kikwete watakuwa wadhaifu kama alivyo Kikwete. I don't trust them to lead my Country. I love my Country more than Kikwete they way he love this Country.

Lowassa he maybe good leader but sidhani kama ataweza kupigania vita ya ufisadi wakati yeye mwenyewe ametajwa sana katika wala na watoaji rushwa. This guy he is disaster if he will become president of my Country, I dont trust him too.

Dr. Slaa, he my be old and if he decide to run for President of my country, he has my vote and i do trust more than any politician in my country right now. And if he wont run, i will see who to trust. Lissu also he si good choice, but he is not popular like Zitto, will Tanzanian people accept him?
 
Labda rais awe Membe, January akae nafasi ya PM na Zitto Kabwe spika wa bunge.(Wishful thinking)
 
Mnasuka mpango tutawaliwe na chinga mwingine siyo! To hell with this. Heri kura yangu ya kula niwape CDM.

Baba umeona eeh...Mchambuzi is trying his level best kuwa twist CDM....Huku akianza kupenyeza agenda ya CCM kwa umma wa Tanzania....Angalia conclusion yake kwa macho mawili utagundua what he wants to echo.....CDM is too good for that...My friend ujanja wa CCM kwenye daftari la mpiga kura CDM knows it more than you can think....Naona mnataka kuingiza functions ambazo zitaleta margin yenye minor difference kuonyesha eti CDM was just to win ila tatizo ni kuwa walishindwa kurekebisha tatizo la simple majority....This time CDM knows everything behind the carpet just wait for surprises na mjue kuwa common sense is not common.....
 
Nimevutika kuchangia tena baada ya kuona thread kadha wa kadha kuhusu watajwa wawili!!!January na Tindu

1: January
Binafsi huyu kijana ,kwa jinsi nilivyomwelewa Mchambuzi kumuhusisha kwenye kinyanganyiro cha Urais wa 2015 kwa tiketi ya CCM,ni jambo sahihi kwa kuwa tunakokwenda hakutabiliki, kwa kuwa kunamambo yaliyokuwa yanapswa kuwa yamekwisha pewa majibu lakini mpaka sasa hayana majibu. Hivyo walio na dhamana, mamlaka na maslahi ndani ya chama na serikali,licha ya umma wao pia wana uhitaji wao wa nani akae wapi kwa ajili ya nani, na kwa faida ya nani, na kwa sababu gani?.Japokuwa si sahihi lakini kwa zama tulizo nazo sasa hivi ni kitu cha kawaida kabisa katika mwenendo mzima wa chaguzi ndani ya chama Tawala na hata ndani ya vyama vya upinzani, vinginevyo umma kungamua hilo nakusema HAPANA la hasha sivyo basi mwendo mdundo, its not what you know its who you know!!!

Sasa kwa walio nje kwa kuona uteuzi huo ambao,umekuwa engineered, ndio watu wanapata picha ya kuunga dot!!January anajulikana kafikaje hapo alipo,lakini kama yuko supportive katika graph ambayo ni vile sharp kupanda basi kwa waelevu wenye ufahamu upaswi kuhoji kafikaje bali unapaswa kuhoji dhamira ya aliyemfikisha kwenye sharp graph on top.

Wengi ndio tunaona hastahiki kuwa potentila Predentila Candidate wa CCM, lakini hatuhoji dhamira nyuma ya pazia ya aliye/kilichomfikisha kwenye cleam hiyo, yeye na vijana wenzie.Kwa kuwa hali halisi tuionayo sasa siyo tunayoiona kwa sie tulio nje ya cycle, sasa mpaka kufika 2015 basi kuna ombwe la mengi tusiyoyajua vinginevyo utakapofika muda timu zote ndani ya CCM zinakuwa na either kati ya haya matatu

1: Kundi moja kulishtaki kundi mmoja kwa umma na kwa kuweka ushahidi dhahiri, hivyo kulihukumu kwa kulichinjia baharini period haijalishi, kushibana au ushikaji kwa level ipi!!!, au

2: Msambalatiko wa CCM hivyo chanzo cha kuwa na mmoja CCM FISADI na kipande kingine CCM UADILIFU, na hivyo kuludi kwa umma na kila mmoja kusimama kuomba yeye ndiye anaestahiki kupewa dhamana kwa mujibu wa sera ya kuu na dira ya CCM ambayo watanzania wanaziamini zile zilo asisiwa na Marehemu Baba wa Taifa, hivyo Taifa kujihukumu lenyewe kukubalina na mmoja kati yao wao wawili CCM FISADI VS CCM UADILIFU.

3: Mkubaliano [Memorandanu of Undestanding] na kisha kila mmoja kutembea kwa mujibu wa makubaliano ambayo kwa hakika utakuwa ni mzigo usio weza kuwapa ushindi.Japo ni wazo linafikilika lakini kwa utekelezaji ni ngumu kwa kuwa Umma nao una nafasi yake katika yale yanayojili ndani ya chama CCM.Hivyo hoja number moja na number mbili zina nafasi ya kutekelezeka.

Kwa mambo kadha wa kadha ukileta mwenendo mzima ambao pia wa TAIFA nalo likiwa na chamgamoto zake [Yani external Force nje ya chama cha CCM] kama vile kizazi cha wapiga kura wa sasa ni kizazi changa yani vijana waliozaliwa baada ya uhuru na chini yao wakiwa na wadogo na ama watoto wao waliozaliwa baada ya kuzaliwa CCM.Kwa msukumo huo wa Kitaifa inawezekana walio ndani ya CCM wakatengeneza mchakato pia wa kumuunda mtu ambaye anaweza kukidhi matarajio ya kizazi hodhi kwenye nguvu ya umma, pindi ikidhihirika kuna uhitaji huo,ambao unaweza kuwa pia ni turufu makini ambayo yaweza chezwa na wapinzani kwa nia ya kuchukua madaraka.

Mbali ya hayo ni kijana aliyetayari kutetea au kumtetea yeyote yule aliyemfikisha hapo alipo kwa gharama yeyote,kwa kuwa hakufika mwenyewe basi anawajibika kwa aliyemfikisha hapo !!!! hii ndiyo dhambi ya kubebwa ili kufikia madraka ya ngazi kuu za umma,matokeo yake graph yake pia upanda na kushukia jinsi ilivyopanda.

2:Tindu
Huyu kwangu u ni mziki mwingine, yamesemwa ya kusemwa huyu jamaa, kwangu mimi ni A young Sign Presidential Opposition Candidate,ukiondoa DK Slaa.Kuna msemo tumeusikia yasemekana kuwa mkuu alipata kusema niheri DK Slaa awe Rais wa Tanzania kuliko Tindu LIssu kuwa Mbunge!!!Kwa wenye ufahamu wanajua maana yake nini!!!

Kwangu mimi nilianza kumfahamu jamaa huyu miaka ile ya kesi za migodi enzi hizo za mhe Mkapa, kwa ujumla alijijenga hakujengwa he is a free Man, my self I respect A free man kwa kuwa najua maana ya kuwa A free man!!!Na mtu yoyote ambae ni freeman kwangu aweza kuwa Rais wa Tanzania haijalishi ana level gani ya elimu ila kukidhi maitaji ya kimataifa basi asiwe chini ya form six.Hivyo kwa uzoefu wake kisheria na kushughulikia migongano ya kimaslahi na maonezi kwenye sekta ya madini vs sheria huyu jamaa amepevuka katika swala zima la kusimamia jamii, na anajua jisni ya kudeal navyo na ndio maana wenye ufahamu wanamjua.

Ukiongeza kofia yake kama Mbunge na kofia nyingine ndani ya chama chake,na mengineyo ndani ya bunge yamempa alama kwa waelevu kuwa ni Potentila Opposition Candidate,kwa ujumla wake elimu yake ya uanasheria inampa GREEN LIGHT ya kuwa Rais mwenye mafanikio, angalia OBAMA. Kwa taaluma yake inampa challange kuendesha Nchi katika misingi ya sheria na kufanya mambo kwa kuzingatia viwango na protocol.Taaluma yake tu tayari pia ni kigezo bado karama ya unyambushaji wa sheria hizo kwa kiwango ambacho kinastahabisha.Kwa ambayo amekwisha yafanya Kimataifa na Taifa ukiambiwa utastuka.

Mengineyo ni mapungufu kama waliyonayo wengine,kwa kuwa Mungu katuumba na vilema vyetu vya tabia vinavyo onekana na visivyo onekana mbele ya nyuso za watu, wengine tundapenda sketi, wengine tunapenda konyagi na Martin, wengine tunaongea kwa ukali au kwa sauti kubwa kama vile tunagombana lakini ndio hivyo tena na ndio maana hata taaluma inawajenga kuwa hivyo,Ongea ya Dk Mwakyembe aina tofauti na ongea ya Tindu Lissu, kwanini? Fuatilia kwenye vyumba vya mahakama na court utajua ni kwanini?
 
Mkuu Mchambuzi kwanza kabisa Heshima yako, analysis yako ni nzuri, kwa upande wangu naona kwa sasa inatosha tumeshaona udhaifu wa kuwa na Kiongozi asiye na msimamo, mfano Kikwete, Its enough. Tunahitaji Kiongozi atakaye restore Uzalendo, kutokomeza rushwa tunajuwa ni kazi ngumu lakini aonekane yupo serious kwa vitendo katika kupiga vita rushwa, kuzilinda rasilimali zetu za nchi, awe na heshima na unyenyekevu juu ya wananchi na awe anatujali kwa muda wote asiwe Waziri wa mambo ya Nje kama tulienaye kwa sasa.

Sikubaliani na wewe kusema kuwa January na Membe wanaweza kupiga vita ufisadi, hao ni Copy and Paste ya Mr. Kikwete watakuwa wadhaifu kama alivyo Kikwete. I don't trust them to lead my Country. I love my Country more than Kikwete they way he love this Country.

Lowassa he maybe good leader but sidhani kama ataweza kupigania vita ya ufisadi wakati yeye mwenyewe ametajwa sana katika wala na watoaji rushwa. This guy he is disaster if he will become president of my Country, I dont trust him too.

Dr. Slaa, he my be old and if he decide to run for President of my country, he has my vote and i do trust more than any politician in my country right now. And if he wont run, i will see who to trust. Lissu also he si good choice, but he is not popular like Zitto, will Tanzanian people accept him?

You people have to be very careful with these people called 'CCM'....Hao wanafahamu Dr. Slaa is already popular enough kuweza kumpiku kwa kura hata waki-rig elections.....Sasa what they are trying is to convince CDM wabadili mgombea ili nao waweze kufanya magic zao waendelee kupeta.....CDM need to be very consistent campaign kwa Dr. Slaa ni kama kusukuma mlevi hakuna mtanzania asiyelifahamu hili jina kwa sasa mpaka mtoto mdogo more than it was for Jk in 2005...Hiyo tu ni plus kwa CDM....Second hakuna mtu anaogopeka CCM kama Dr. Slaa kwani wanafahamu fika anaheshimika hata na system and so hata rigging elections will be a difficult task if at all he is going to contest.....Third he is a man ambaye hana compromise inapokuja swala la rushwa kitu ambacho elites wote wanatamani hii kitu ifikie mwisho sasa so he has votes from all middle class ambao hawana cha ku-loose zaidi ya kufaidi matunda ya kazi ya mikono yao....

Lakini kuna kitu cha ziada ambacho wengine wote hawana ila Ame pekee....And this is a word of the King which can never be broken unless that King is thrown out of His throne.....Hapa shuguli ni nzito na mimi nimesha maliza kazi bado manifestation tu anayependa kujifurahisha aendelee..The only way Dr. will fail to be what most of reasonable Tanzanians want him be is yeye kutotaka na ku hesitate basi otherwise watch and see....
 
Nimevutika kuchangia tena baada ya kuona thread kadha wa kadha kuhusu watajwa wawili!!!January na Tindu

Hii si bahati mbaya my friend its a CCM agenda na wanaanza campaign rasmi....Wanajua CDM wakishawishika waka mbadili mgombea wao watapata nafasi ya kufanya mambo mengine behind the curtains......The only mistake CDM can do is not to nominate Dr. Slaa maana huyu ndiyo tishio namba moja kwa CCM sasahivi....Tundu is good but his name is not very much advertised as it is to Dr. Slaa tena kwa slogan ambayo CCM hawapendi kuisikia Rais wa mioyo ya wa Tanzania....

Ili kupunguza havoc watatengeneza margin kati ya CDM na CCM kuwa ndogo sana kiasi ambacho watu watapata moyo kwamba we are almost there tujaribu tu next time (wamefanya haya majaribio kwenye uchaguzi wa kata uliopita think kura 29,000 kata 20 plus hwere as 20,000 kwakata 5 think big...open your eyes).....

Wengi wa wanaopenda iwe hivyo ni outgoing leaders maana umri wao unakwenda sasa so wanchofanya ni delay technique ili wasije vurugiwa mambo yao hayo ya baadaye ama maendeleo haiwahusu sana mtajijua nyie vijana lakini watu wanalinda maslahi yao kwa sasa the reason ya ku-resort kwenye delay tactic.....Vijana kataeni kutumiwa nchi hii sisi tuna muda mrefu wa kuishi kuliko hao wano phase out they enjoyed their time let us now build a good future for our country the future can never lie what plant today is what we are going to reap at our old age....

Its time for true change a change for the better life for each of us hao mafisadi tutawatengenezea affirmative measure kama wanaogopa kudhalilika ila pesa zetu wazirudishe adhabu tutawasamehe maana walifanya kwakudhani wanatengeneza future kumbe ubinafsi hauwezi kukutengenezea future ila utaku-destroy tu just a matter of time....

Future ya Tanzania inabebwa na CDM maana inatupa nafasi ya kuanza upya kwakujenga system mpya iyakayo kuwa inclusive na ambao ita base katika kujenga uchumi wa nchi ki-mfumo na siyo hii ya siasa kuwa short cut ya watu kutajirika kwakujiwekea monopolies na ku-exclude majority katika production systems ya nchi...

Dr. Slaa is that mana who can take us through not because of anything ila kwasababu so far he has a trust of many inside his politcal party and even outside....He is also going to take aboard all abled Tanzanians who had been excluded kwasababu ya nepotism na favouratism mpaka ikaonekana eti kina J Makamba ndiyo peke yao wanaoweza zaidi ya vijana wengine ambao are very smart lakini wamefichwa kwakutumia blanket la favouratism....Vijana hao wapo ndani ya CCM kama ilivyo ndani ya CDM na hao ndiyo sasa ninao waita wakatae huu ushamba wa kuchaguliwa watu wakuwaongoza... Each of these know themselves wherever they are...It's their time and we gonna build our country....
 
Mchambuzi

Kwa ujumla uchambuzi wangu ni wa kimaswali zaidi kwa ifuatavyo?

Unatumia vigezo gani kusema wengine sio presidential material? Kwa ufahamu wako ili mtu awe presidential material atakiwa awe na sifa gani? Kumbuka katiba ya Tanzania inaeleza wazi sifa za mtu anayeweza kuwa rais. Najua utasema licha ya sifa zilizoelezwa kwenye katiba kuna sifa nyingine, sasa hizo sifa ni zipi ambazo wewe umeona ni Membe na January tu ndio wanazo na sio hao wajumbe wengine?

Pili unasema umri hautawaruhusu? Katiba ya Tanzania inasema wazi kuwa umri wa mtu kugombea urais ni kuanzia miaka 40 na kuendelea. Itakapofika mwaka 2015 je hao watu hawatakuwa na umri wa miaka 40 na kuendelea hivyo kutimiza sharti hili la katiba?

Je January Makamba na umri gani kwa sasa? Membe najua yeye lazima atakuwa umri wa zaidi ya miaka 40 ifikipo 2015.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Ame
Umejitahidi sana Kiongozi kufanya analysis inayojenga hoja zenye mantiki. Lakini hapo mwishoni umemaliza kuwa Rais bora uonavyo wewe ni Tundu Lissu; lakini huyo Tundu Lissu hujamuelezea kiundani kama ulivyowaelezea Membe na Makamba. Kama ungeweza kutoa maelezo japo kidogo, kwanini unadhani Tundu Lissu ni Rais bora, nadhani hoja yako ingependeza zaidi Kiongozi.

kweli,mtoa hoja anatakiwa amwelezee huyo Tundu lissu kwanza,huwezi kuwaelezea watu wawili halafu ukasema wa tatu ndio anafaa bila kutoa sifa zake..ikiwezekana arudi kumwelezea TL
 
Baba yake alikuwa katibu mkuu wa CCM au hiyo si sifa ?.


Mchambuzi
I say,we are like Cursed nation. Hivi kwa lipi January Makamba anastahili kuwa Raisi wa nchi hii?? na wewe inakuingia akilini? Kwa vigezo vyoooote vile,the guy is too low. Kikwete amefanya uraisi uwe "cheap"..hata anayetoka Maliwatoni anaona anaweza kuongoza nchi.
Poor tanzania.
 
Hii si bahati mbaya my friend its a CCM agenda na wanaanza campaign rasmi....Wanajua CDM wakishawishika waka mbadili mgombea wao watapata nafasi ya kufanya mambo mengine behind the curtains......The only mistake CDM can do is not to nominate Dr. Slaa maana huyu ndiyo tishio namba moja kwa CCM sasahivi....Tundu is good but his name is not very much advertised as it is to Dr. Slaa tena kwa slogan ambayo CCM hawapendi kuisikia Rais wa mioyo ya wa Tanzania....Ili kupunguza havoc watatengeneza margin kati ya CDM na CCM kuwa ndogo sana kiasi ambacho watu watapata moyo kwamba we are almost there tujaribu tu next time (wamefanya haya majaribio kwenye uchaguzi wa kata uliopita think kura 29,000 kata 20 plus hwere as 20,000 kwakata 5 think big...open your eyes).....Wengi wa wanaopenda iwe hivyo ni outgoing leaders maana umri wao unakwenda sasa so wanchofanya ni delay technique ili wasije vurugiwa mambo yao hayo ya baadaye ama maendeleo haiwahusu sana mtajijua nyie vijana lakini watu wanalinda maslahi yao kwa sasa the reason ya ku-resort kwenye delay tactic.....Vijana kataeni kutumiwa nchi hii sisi tuna muda mrefu wa kuishi kuliko hao wano phase out they enjoyed their time let us now build a good future for our country the future can never lie what plant today is what we are going to reap at our old age....

Its time for true change a change for the better life for each of us hao mafisadi tutawatengenezea affirmative measure kama wanaogopa kudhalilika ila pesa zetu wazirudishe adhabu tutawasamehe maana walifanya kwakudhani wanatengeneza future kumbe ubinafsi hauwezi kukutengenezea future ila utaku-destroy tu just a matter of time....

Future ya Tanzania inabebwa na CDM maana inatupa nafasi ya kuanza upya kwakujenga system mpya iyakayo kuwa inclusive na ambao ita base katika kujenga uchumi wa nchi ki-mfumo na siyo hii ya siasa kuwa short cut ya watu kutajirika kwakujiwekea monopolies na ku-exclude majority katika production systems ya nchi...Dr. Slaa is that mana who can take us through not because of anything ila kwasababu so far he has a trust of many inside his politcal party and even outside....He is also going to take aboard all abled Tanzanians who had been excluded kwasababu ya nepotism na favouratism mpaka ikaonekana eti kina J Makamba ndiyo peke yao wanaoweza zaidi ya vijana wengine ambao are very smart lakini wamefichwa kwakutumia blanket la favouratism....Vijana hao wapo ndani ya CCM kama ilivyo ndani ya CDM na hao ndiyo sasa ninao waita wakatae huu ushamba wa kuchaguliwa watu wakuwaongoza...Each of these know themselves wherever they are...Its their time and we gonna build our country....

Ame ur right bro,lakini mimi na wewe tutakubaliana baadhi na mengine tutatofautina,kwangu mimi nasukumwa na UTAIFA zaidi sina chama,ingawa naona unaniambia "Future ya Tanzania inabebwa na CDM" mimi kwangu future inabebwa na yeyote yule iwe CDM, CCM au Mgombea Binafsi kwangu shwanga!!Ilo moja.

Ukizingatia mchango wa mchambuzi na wanajf wengine ndan ya thred hii ni kuwa kuna kitu ambacho upaswi kukiogopa Mzee Mwinyi anasema kila zama na vitabu vyake.Haya ya wazee usisahau msemo wa what goes around comes around!!Hivyo nyakati nazo zinamsukumo wake ilo upende usipende.

Ndio Dk Slaa ni Pontetial Opposition Candidate lakini nikasema LIssu ni Young Sign Potential Presidential Candidate.Uwezi kwenda vitani bila matayarisho na ndio maana CCM nao wanatayarisha silaha hizo wakiwemo wakina January!! na mchambuzi huku nae akatoa taadhari kwa kuwaambia CDM yeye anamuona TINDU LIssu kwenye upinzania kama mtu ambae anuwezo wa kusimama na January ambae CCM wamesha muweka kwenye uwanja wao wa nyumbani anafanya mazoezi ya kupasha misuli joto aungane na kina usain Bolt wengine kwenye mbio za CCM na hatimae akifaulu uenda akapelekwa kwenye national stadium kwa mbio za kitaifa kama atawapiku wakina Usain Bolt wa chama chake.Na sie wengine tuka support analysis ya mchambuzi kwa uchambuzi wa majina aliyotuletea kwa jinsi kila mwanajf anavyowaona haijalishi uko chama gani!!!

Ni kweli hawa wazee wanayo yao waliyoyafanya ambayo ni madudu,lakini hayatuzuii kwenda mbele,hata aliyelogwa kwa desturi ya waafrika ufika sehemu wakesema ngoja LIMBWATA liishe,watajuta waliomlisha limbwata hilo.KIla jambo linanyakati zake.

Pia upepo wa viongozi vijana upo japo sio kiihivyo, na haustahiki kuzalauliwa ila unastahiki kupewa jicho pana, lakini upo inategemea makundi ya maslahi ya kivyama yakiongozwa na CCM yatacheza vipi mchezo huu,hii ni political game manipulation,si utendaji huu baba,hakuna sheria hapa hapa nani anatwist vipi mambo kumuaminisha Mtanzania kuwa hiki ni sahihi.Uwezi kuwazuia CCM kusimamia ajenda ya kuwaaminisha umma kuwa kiingozi kijana ndio sifa mama!!Wana haki na uwezo huo wa kuileta na kuwaaminisha umma kama wanaona kwao wao hiyo ndio sera kuu.Je upinzani nao watakaa kimya kuwa uo ni mchezo mchafu au wataingia kwenye hadhira /umma na kuwajenga umma kutofautisha au kulinganisha ubora au ujana wa mgombea wao.

Hivyo hayo mengine kuhusu ujana tulijadiliana tukijikita kwenye mazingira ambayo TAIFA linapitia,hapa cha msingi ni kuhoji dhamira zilizo nyuma ya wateuzi na kupima record ya utendaji wao bila kusahau kuwa JE hapo walipofika wamefikaje?Ndio maana wengine kwa kuchangia tukatoa taadhari kwa wanaccm kuwa kama watagiribika kuangalia dhana ya RAIS KIJANA kwa lengo la kuvuta kura za walio wengi katika kupiga kura 2015 na si matakwa ya TAIFA basi Candidate wao kwa tiketi ya CCM ni mzigo.

Wazungu wanamsemo usemo TIME WILL TELL,usihofu si lazima sana kuwa tiba ya UFISADI yaweza kupatikana CDM humo humo ndani ya CCM yaweza kupatikana tiba kali na tena chungu kuliko hata ambayo ingepatikana kupitia CDM.Mahali popote inapopatikana ama kuzaliwa conflict of interest [COI] basi msambalatiko na mnyukano uibuka na kama kawaida ukweli haufichiki uweka wazi ili kujustfy utetezi mbele ya umma na umma upima pande zote mbili na kutoa hukumu,kila mmoja akiishia kupata kile alichostahiki.Ndio maana wenzentu usema People have Spoken!!!!!!.
 
Mkuu Mchambuzi, saa hizi nimesha pata kidogo, nikitulia nitakusoma kwa kituo na kukukumbusa ni lini na wapi nami nilisema 2015 ni Membe!.

Lowasa na kundi lake, katu hawatakubali Membe awe mgombea Urais kupitia CCM, wanaweza kumkubali na kumuunga mkono January, ingawa he is too young for Precidency in this corrupted country.
Tunahitaji mtu mature ambaye hatishiki na hana cha kupoteza hata kama itamgharimu uhai.
 
Uchambuzi ni maridhawa sana
ila ktk predictions za nani atakua rais ajaye wa nchi hii nadhani ni mapema mno kwa siasa za nchi hii
2015 ni mbali kias chake,lolote laweza kutokea hapa kati kati
by the way zitto na lissu i think zitto is smarter than lisssu
 
Unayoyasema yanawezekana ,ila ulitakiwa uende deep zaidi kwa sababu kuna uvumi kwamba January , Mwigulu na Shigella walitumia nguvu kubwa sana A.k.a mijihela , sasa kwenye kigezo chako namba 4 January hawezi ku fit, hata hivyo Urais siyo rahisi kiasi cha mtu kama January kuuweza , sijui kwa nini umejaribu kumpromot mtu huyu ! Ukizingatia tathmini yako , kumbuka kigezo cha 4 .
 
Kati ya hao wawili, My vote goes to January. He is a new generation leader, with a vision. He will run the country with result oriented policies! Nawapenda Chadema, lakini kama CCM ndio itashika hatamu, of those 2, Go January!
Kama unataka nchi yetu iendelee na mfumo huu uliooza naku
unga mkono, lakini kama unataka mfumo huu utifuliwe na tupate mfumo mpya, January hatakufaa.
 
You people have to be very careful with these people called 'CCM'....Hao wanafahamu Dr. Slaa is already popular enough kuweza kumpiku kwa kura hata waki-rig elections.....Sasa what they are trying is to convince CDM wabadili mgombea ili nao waweze kufanya magic zao waendelee kupeta.....CDM need to be very consistent campaign kwa Dr. Slaa ni kama kusukuma mlevi hakuna mtanzania asiyelifahamu hili jina kwa sasa mpaka mtoto mdogo more than it was for Jk in 2005...Hiyo tu ni plus kwa CDM....Second hakuna mtu anaogopeka CCM kama Dr. Slaa kwani wanafahamu fika anaheshimika hata na system and so hata rigging elections will be a difficult task if at all he is going to contest.....Third he is a man ambaye hana compromise inapokuja swala la rushwa kitu ambacho elites wote wanatamani hii kitu ifikie mwisho sasa so he has votes from all middle class ambao hawana cha ku-loose zaidi ya kufaidi matunda ya kazi ya mikono yao....

Lakini kuna kitu cha ziada ambacho wengine wote hawana ila Ame pekee....And this is a word of the King which can never be broken unless that King is thrown out of His throne.....Hapa shuguli ni nzito na mimi nimesha maliza kazi bado manifestation tu anayependa kujifurahisha aendelee..The only way Dr. will fail to be what most of reasonable Tanzanians want him be is yeye kutotaka na ku hesitate basi otherwise watch and see....

Dr.slaa ndiyo chagua letu watanzania, wamejaribu la kumtumia zitto wamechemsha sasa wanaanza kumtia tamaa tundu lissu ya urais ili naye ajitose kumbe hawajui tundu lisu ni mzalendo wa kweli asiye na chembe ya tamaa ameridhika na nafasi aliyo nayo ya kuwatumikia watanzania.Tulishasema zitto kabwe si mzalendo wa kweli ni mzalendo-pesa sasa najiuliza hili la fedha za uswizi ni lake kweli au ni zitto-membe and other co ltd.?????????????????????
 
Asante kwa mchango wako kiongozi; Nia yangu katika hatua ya mwanzo ilikuwa sio kuelezea sifa za hawa wawili bali sababu kwanini nadhani matukio ya sasa yatapelekea kuwa top three kwenye kinyang'anyiro hicho; Lissu nimemtaja kwa makusudi kama njia ya kuchokoza mada, hasa kuonyesha kwamba jina lako kupita CCM haitakuwa automatic kushinda Urais, hasa iwapo Chadema watafanyia kazi mambo kadhaa niliyojadili hapa na kwingineko; Vinginevyo nchi yetu inahitaji rais ambae:

1. Ana msimamo unaoeleweka juu ya muungano, hasa wenye kuweka maslahi ya Tanganyika na Tanzania kwa pamoja, na hafichi msimamo wake kwa kuogopa kuangamia kisiasa kwa kudai Tanganyika ndani ya Tanzania;
2. Ambae atakuwa ana heshimu utawala wa sheria;
3. Ambae atakuwa mkali juu ya ufisadi/rushwa;
4. Ambae ataendana na demographics zilizipo sasa katika population i.e. taifa kuwa ni la vijana;
5. Ambae anaonyesha uwezo wa kujenga hoja kuhusiana na maslahi ya taifa nje na ndani ya bunge;
6. Mwenye elimu, uelewa na pia upeo juu ya masuala la kisiasa, kijamii, kiuchumi, na kisheria, ndani na nje ya nchi;
7. ETC

Lissu anatosha katika mengi kama sio yote juu ya haya, na ni vizuri wagombea wa CCM muda ukifika nao wao tuwapime kwa haya na mengineo;
Tundu Lissu is very very capable of becoming the next president of TZ.....Inasikitisha sana kuna watu wanahoji uwezo wa LIssu kuwa rais TZ.......infact....kwa hali ilivyo tz kwasasa......tunahitaji sana mtu wa upinzani awe rais(considering kwamba ndani ya ccm kumeoza)...Hakika....kwa maana hii...Tundu Lissue angekuwa rais mzuri sana wa kuiweka tz kwenye mstari.....Lissu is very smart.....ana msimamo.....hayumbishwi.....hazungumzwi hovyo kama mtu wa rushwa(he is not corrupt)....anaheshimika kwenye jumuiya ya professionals....ni mtu wa watu.....anaheshimu wajibu....

Na mwisho ni mzalendo sana.......Mimi simjui Lissu personally.....ila ninamsoma na kumsikiliza...na kumwona kama mtu makini sana hapa tz....We need people like Tundu Lissu to lead this country......Tz tuna watu wachache sana kama Lissu....I wish people in tz would be able to understand this come 2015.....haswa viongozi na wanachama wa CDM....ambao ndio watahusika kupitisha jina la mgombea wa CDM......Hakika.....let them kindly take my words...

Lissu ni candidate mzuri sana kwa urais kupitia CDM.....hawa kina Dr.Slaa na Mh.Mbowe...wanaweza kumpitisha na kumsupport Lissu....na tukapata a good candidate......I support your judgement Mchambuzi......hata hao kina Membe na Makamba....hawamfikii Lissu hata nusu.........Lissu is unique.....take my words....
 
Back
Top Bottom